Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Ivumayo sana ndio ipasukayo, muda si mrefu tutajuwa ukweli wa yaliyo fichika nyuma ya pazia [emoji124]
 
ameshakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,subiri taarifa ya maziko kijijini kwake chato,afe kabisa
Usicheze na dola ww koma kama ulivyokoma kunyonya kwenye titi la mama yako
 
ameshakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,subiri taarifa ya maziko kijijini kwake chato,afe kabisa
Unadhani umejificha kwenye fake ID utajulikana tu mshenzi huna adabu kikaragosi ww
 
BAVICHA utawajua tu akili zao mende anaafadhali
 
Mlikuwa mnachekelea yaliyompata TL leo tulieni dawa iwaingie tu.
 
ameshakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,subiri taarifa ya maziko kijijini kwake chato,afe kabisa
Usithubutu kutajataja bure jina la Rais nakuonya tena nakuonya
 
Mtoa mada hebu weka na michango yako uliyo changia humu alipo pigwa risasi TL ili nikwambie rangi yako.
 
Ivumayo sana ndio ipasukayo, muda si mrefu tutajuwa ukweli wa yaliyo fichika nyuma ya pazia [emoji124]

Usihangaike sana kuumiza kichwa endapo upo huko Tz jijini Dsm nenda night club msake Le mutuz mpaka umpate kisha mpeleleze atakupa ukweli wote
 
Yale ya Lissu mmesha sahau mapema hivi, Only God knows

Asiyekuwa na power huenda hio ndio ikawa revenge yake, so usiwalaumu sana
 
ameshakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,subiri taarifa ya maziko kijijini kwake chato,afe kabisa
Vijana mnavuta bangi na kukosa mipaka
 
Watu wanaoombea apotee ni watumishi wa umma ambao wanalilia nyongeza ya mishahara kwa miaka minne bila mafanikio huku baadhi wakikerwa na Serikali kuhamia Dodoma
 
ameshakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,subiri taarifa ya maziko kijijini kwake chato,afe kabisa
Kuna watu mnaijaribu dolla ikiwachakata mnalalamika mmeonewa
 
Mkuu naona umeanzia watu walipoanguka, rudi nyuma ujue walijikwaa wapi.. ndio ulete uzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…