Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.

Attachments

  • pix.png
    pix.png
    314 KB · Views: 1
Ukweli kibinadamu huwezi furahia mwenzio kupata mabaya, hizi chuki sijui nani alizianzisha... haya ni matokeo tu
 
Mkuu kwanini unahangaika namna hii? Ungekuja na taarifa mbadala kuthibitisha unachokiamini wewe kuwa ni sahihi, nadhani ingependeza zaidi.
Hivi ww mtu asipumzike watu wanaanza ujinga nchi iko kazini jidanganyeni msivuke mipaka ya mijadala bora hawa wanataja kwa mafumbo huyo mjinga Hustling anataja jina hv anaijua dola au aanaisikia
 
Mzuqa!

Hii Lugha ya malkia kweli ilikuja na meli. Hule mlingoti wa kupeperusha bendera nilidhani unaitwa tu flagpost kwa Kiingereza kumbe hata jina la mast linatumika kwa mfano the flag is flying half mast yani nusu mlingoti.

Aidha Kiingereza kinachanganya zaidi unaweza kutamka neno moja lakini ikawa na tofauti katika maandishi mfano morning na mourning.

Waiter kaa stendby!

View attachment 1238717

Cc Etwege Magonjwa Mtambuka
Half pole flying flag hi oicha ya Lino naona hapo ni Molina I city
 
Siyo hekima kuyafurahia matatizo ya mwenzako hata kama mnatofautiana kwa kiwango gani.wote sisi tuna mabaya yetu hata watoto wetu kwenye familia zetu sometimes kuna wakati wanatuchukia ila hawatuombei mabaya kama tunavyojaribu kuwaombea wenzetu.

Tuwe na mioyo tusiongozwe na hisia!!;
Kwa LISSU Ilikuwaje? Had I mkasema kakimbia jimbo katelekeza wananchi wakati aliimia hivi.
KARMA IS A BITCH.
2108469_IMG_20190708_112420_395.jpg
IMG_20190917_093616.jpg
 
Hivi ww mtu asipumzike watu wanaanza ujinga nchi iko kazini jidanganyeni msivuke mipaka ya mijadala bora hawa wanataja kwa mafumbo huyo mjinga Hustling anataja jina hv anaijua dola au aanaisikia
Upuuzi mtupu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom