Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Eti alipokuja msimamizi! Nyie watu sijui mmerogwa na nani!!! Mambo yanaendeshwa nyuma ya pazia halafu mnataka kudanganya watu kwamba msimamizi! Si ni huyo huyo unayedai ni msimamizi ndie alitamka hadharani kwamba RC wake amesaidia watu kukwepa kodi?! Unaweza kumsaidia mtu kukwepa kodi hivi hivi?! Alimchukulia hatua gani baada ya kuthibitisha amehusika na ukwepaji kodi?! Kuna mengine mangapi aliyafanya ambayo wananchi hawayafahamu?!

Kadanganyaneni wenyewe kwa wenyewe! Hata Mkapa na yeye alipokuwa madarakani alikuwa anajifanya msafi kama JPM na kwavile hakuwa anaendesha mambo yake kwa uwazi, kila mwenye akili timamu anafahamu nini kilitokea baada ya Mkapa kutoka madarakani!

Zaidi ya 75% ya ufisadi unaozungumzwa nchi hii unatokana na yule yule aliyekuwa anajitangaza kwamba ni Mr. Clean na watu wakamuamini kwamba ni Mr. Clean kwa sababu hakuna aliyekuwa anafahamu nini kilikuwa kinaendelea nyuma ya pazia!
 
Hakika c jambo jema kufurahia,mwanadamu mwenzio akipatwa na baya lolote. Lakini cha kujiuliza,mbona yalipo mkuta Tundulisu kuna baadhi walishangilia na ha sa ccm? Mimi ni mkristo,cpendi kuona au kufutahia baya lolote kwa mwanadamu mwenzangu. Km ni kweli mkuu wa Kaya anaumwa,binafsi namuombea kwa Mungu apone haraka na kurudi ktk hali yake ya kawaida,aje aendeleze harakati za maendeleo. Lakini pia,km ana makandokando yake,ni wakati wa kurudi na kusukudu kwa muumba,na kikiri makosa nankiujisafisha,kisha kuanza upya. C ishara nzuri kwa mwanadamu mwenzio kufurahia kifo chako au shida yako
Ulishangilia au kuchukizwa na kitendo cha kumpiga risasi Tundu Lissu?
Tuanzie hapo mengine yafuate.
 
Duh .... yuko safi tu. Mafisadi na majambazi wa nchi wasichekelee sana..
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Ujeremani kwa mabeberu kufanya nini? Kwanini wasingempeleka kwenye zahanati anazodai kujenga nchi nzima, akakutane na waganga ambao miaka 4 imepita bila nyongeza ya mshahara
 
Wewe una uhakika na habari ipi? Anaumwa? haumwi? Lete habari yako acha kuibania basi
Binafsi, sina habari yoyote inayo muhusu, lakini kwa kuwa hata waliotuletea hizi habari hawana uhakika, ndio nami nikasema tuwe na subira maana kana zina ukweli tutazipata tu hazitafichwa indefinitely.
Hata ugonjwa wa Mugabe walificha lakini finally ilibidi waweke wazi.
Subira ni muhimu kwenye kila jambo, haitasaidia kushangilia mashambulizi. Subirini mshangilie magoli.
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Sikujua waTanzania tumefikia hatua ya kufurahia kifo cha mtu kama taifa tuangalie wapi tulipojikwaa.

Hata kama unamchukia lakini tusifike kugombea na kifo au kufurahia kifo cha yoyote
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike.
afe tu,afe kabisa analigawanya sana taifa kwa kuua na kuteka watu, watanzania hatuna utamaduni huu,afe kabisa yeye ni nani asababishe watanzania tuishi kwa huzuni,afe tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…