Ukweli ni ukweli tu...tetesi hazipuuzwi.... Na sio mambo ya Roho ya kufurahia tetesi...wake up stand up...bi dada
Mbona eti ana moyo wa chumaR.i.P in advance
Ndani ya masaa kadhaa baada ya uvumi kuenea kuwa rais wa jamhuri ya watu wa Tanzania anaumwa Mafisadi waliokuwa wanaiibia nchi ya Tanzania wamefurahi na hata kumuombea mabaya zaidi.
Hii ni kwa sababu Mzee Magufuli amedhibiti mianya yote ya ubadhirifu na wizi ndani ya serikali.
Habari hazina uhakika kama anaumwa au la lakini mafisadi na wasio wazalendo wanamuombea mabaya yamkute rais wa wanyonge.
Hii inadhihirisha ni namna gani Rais Magufuli amewadhibiti.Mungu yupo maana leo nimesikia wazee wa miaka zaidi eya sabini wanasema Tangu tupate uhuru ni JKN na JPM tu ambao wamediliki kupambana na wezi.
Na Mungu atamlinda JPM.Wanadhani asipokuwepo duniani watarudi kule walipozoea kuibia Tanzania.
Wewe hutakufa?
Wewe hutakufa?
Hali ikae shwari kwanza Dr Abbasi atakuja tu na nenoDah wametuchomesha sana mahindi. Mbona breaking news haiji?
Hajakosea wacha afePamoja na akili zako kuwa ndogo!hapo umekosa sana!katubu
Mkuu hata kama ni hasira lakini hutakiwi kutukana.Kumamae zako....R.I.P in advance to yo father.....
Hembu fkiria angekua babako ama hata nduguyo hata wa mbali 2....
U deserve to be beheaded asshole.
Siku ya matanga nachinja mbuzi tatu na nguruwe tano.
Yaani nimeshangaa na comments za humu.kama rais yupo ICU tumuombee apone haraka
Kwani wamesemaje?sijui wataambia nini watu maana wanajikuta wao ndo news breaker AIBU YAO
Yajayo yanafurahishaMakonda kafukuzwa kazi
Alishasema tumuombee sana vita anayoipigana ni ngumu mno, na sasa ndio nazidi kugundua kuwa kiwango cha uadui unaomzunguka ni kikubwa kupita maelezo...Acheni uchuro basi
Ukiunganisha dots hapo, unapata jawabu....