The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Ukweli ni ukweli tu...tetesi hazipuuzwi.... Na sio mambo ya Roho ya kufurahia tetesi...wake up stand up...bi dada
Hongera kwenye kua bi dada, ila mie ni man.
Pia haya mambo ni maamuzi binafsi. Ni kweli kija jambo huanza kama tetesi lakini ikitegemea na chanzo cha taarifa na mazingira vinaumuhimu sana.
Kama umenisoma vizuri tatizo langu ni hapo kwenye chuki ya kupindukia. Roho mbaya inamtafuna mhusika na ni hatari kwa ustawi wa afya.