Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Barua ya uteuzi pekee haitoshi kutuwaaminisha wananchi kuwa Mzee baba ni mzima waafyackabisa.

Wanaomzushia kuwa anaumwa wamekuja na hoja zifuatazo.
1: kusitisha ghafla ziara kanda ya kusini

2: Kubadilishwa wahusika kwenye matukio zaidi ya mawili ambayo ililipotiwa kuwa atakuwepo yeye mwenyewe.

3: Reaction yake baada ya wizi wa vipande vya komputa. Kwa ninavyomjua asingeligumbia macho.

4: Barua ya uteuzi imekuja ikiwa na makando kando mengi. Miongoni ni location ya mheshimiwa wakati wa uteuzi, tarehe ya kuanza uteuzi na tarehe ya kuapishwa katika maeneo yao, sahihi kupishana na za awali.

Vile vile barua hiyo nimekuja na sambamba na taarifa ya TAKUKURU ambayo inaonesha maagizo ni ya tar 15 Oct 19. Sasa huenda na hili la uteuzi lilifanyika kabla.

Tuombe wahusika watafute chakula cha kutushibisha hii barua ni Sawa na kuwapa chipsi wapasua mawe. Tunahitaji kushibishwa la sivyo tutaendelea kula matango pori kwa kukosa mlo mhusika.

Barua ya uteuzi imeshindwa kufanya kazi kwani ilitakiwa pia iendane na kanusho la uvumi uliopo kutoka Idara hiyohiyo kitu ambacho hakikufanyika, lakini turudi nyuma hebu angalia kwa Nyerere kuna lugha ilitumika "Hali ya baba wa taifa ni mbaya" hii ilifanya watu wasiwe ndege wala wanyama tofauti na hawa wenzetu ambao nafikiri hawajaamua kuvaa nguo au kutupa nguo
 
Hizi Habari za Raisi kuugua zimeninyima raha. Sina uhakika na hizi taatifa Lkn nahisi km nauguliwa na Baba yangu mzazi. Acha nisali tu labda nitapata amani.
Mungu baba wa mbinguni naomba utusamehe makosa yetu yote tuliyofanya kwa kukusudia au kutokukusudia. Tunatubu makosa yetu yote.
Mungu wa mbinguni naomba umlinde Raisi wetu. Ee baba Mungu, namuombea afya njema Raisi wetu mpendwa. Am praying in the name of the father, the son and the holly spirit. Eee bwana usikie maombi yangu. Amen
Ameen,neema ya Mungu na iwe juu yake,tunaachilia damu ya Yesu kristo iwe ulinzi wake.
 
Wamefanya kosa kubwa sana, wametake risk kubwa sana ambayo isipokuwa kama watakavyo itawagharimu sana

Hawajui lolote kuhusu siasa and yet wanataka kuongoza

Unathubutuje?? Kamari walio cheza sasa hiv ni kubwa kuliko kamali ya kumsimamisha Lowasa

Matokeo yakiwa ndivyo sivyo

1)watajulikana nia yao ovu
2)watapoteza credibility ya kuwa wanazushaga tu mambo

Matokeo yakiwa has kwa taifa

Watabeba lawama kuwa walihusika moja kwa moja, itakuwa ngumu kwa jamii kutoamini kuhusika kwao

Usioneshe chuki yako waziwazi ni kosa kubwa sana kisiasa

Saa nyingine nawaza hawa watu kama kweli zimo timamu, ni heri vyama vyote vya upinzani vifutwe na vianzishwe vipya na hawa waliopo wapigwe ban kuviongoza
Hiyo ni vita yenu wana Lumumba mtajuana wenyewe
 
Naweza nisikubaliane na mambo yanavyoenda lakini siwezi kuunga mkono uchuro Wa kuombeana maovu kwa binadamu mewenzangu. Na kwa maombi yauovu tujue Mungu hapangiwi. Mungu anaweza kuwageuzia kibao wanaoomba yeyote apate yaysiypstahii.
Sisi tunaendelea kupiga goti tu mpaka ziraili achukue roho yake. Tanzania ni nchi nzuri sana na watu wake wazuri, hawastahili kuongozwa na huyu shetani Mnyarwanda.
 
Barua ya uteuzi imeshindwa kufanya kazi kwani ilitakiwa pia iendane na kanusho la uvumi uliopo kutoka Idara hiyohiyo kitu ambacho hakikufanyika, lakini turudi nyuma hebu angalia kwa Nyerere kuna lugha ilitumika "Hali ya baba wa taifa ni mbaya" hii ilifanya watu wasiwe ndege wala wanyama tofauti na hawa wenzetu ambao nafikiri hawajaamua kuvaa nguo au kutupa nguo
Kwa nini uamini uvumi na uzushi? Msigwa yupo kwenye nafasi yake kutoa taarifa za maana na sio kukanusha habari za kizushi na kiswahil
 
Wamefanya kosa kubwa sana, wametake risk kubwa sana ambayo isipokuwa kama watakavyo itawagharimu sana

Hawajui lolote kuhusu siasa and yet wanataka kuongoza

Unathubutuje?? Kamari walio cheza sasa hiv ni kubwa kuliko kamali ya kumsimamisha Lowasa

Matokeo yakiwa ndivyo sivyo

1)watajulikana nia yao ovu
2)watapoteza credibility ya kuwa wanazushaga tu mambo

Matokeo yakiwa has kwa taifa

Watabeba lawama kuwa walihusika moja kwa moja, itakuwa ngumu kwa jamii kutoamini kuhusika kwao

Usioneshe chuki yako waziwazi ni kosa kubwa sana kisiasa

Saa nyingine nawaza hawa watu kama kweli zimo timamu, ni heri vyama vyote vya upinzani vifutwe na vianzishwe vipya na hawa waliopo wapigwe ban kuviongoza

Ni hivi serikali hii imemuonyesha Lissu chuki ya wazi wazi, msitake kujifanya mnatisha watu hapa kwa double standard. Mngekuwa na support ya umma mnayotambia tungeona watu wakijiandikisha kwa wingi kwenye uchaguzi kwa hiari. Aeneze chuki kisha utoke mrejesho mkimbie majibu? Akitoka huko alipo atakuja kupitia maoni atajifunza anakwama wapi. Ile dunia ya watu kuficha hisia zao huku wanaumizwa zilishapita, sasa hivi ukimfamyia mtu ndivyo sivyo anakupa ukweli wako, na hata ukifa atasherehekea waziwazi iwe somo kwa madhalimu wengine wote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom