Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Ni tamaa tu. Kila Rais akiingia anaangalia cha kupiga mnada. Nini kimetushinda kwenye bandari zetu hadi za Maziwani huko? Tunashindwa kufanya maamuzi na kujiendeleza, tunamchukua mwekezaji ambaye naye anataka profit. Mwekezaji ndio mwenye kutupenda? mwenye kuipenda Tanzania? Mwenye uchungu na TZ? Mwenye kuijivunia Tanzania? This will be one of the riskiest decision kufanywa na Taifa hili kupitia kwa viongozi wake vilaza. Kwani waliounda DP World sio binadamu? Kwanini tunaamnini katika kufanyiwa vitu? Kwanini tunaamini katika kuendelezwa na siyo kujiendeleza?
 
Ni tamaa tu. Kila Rais akiingia anaangalia cha kupiga mnada. Nini kimetushinda kwenye bandari zetu hadi za Maziwani huko? Tunashindwa kufanya maamuzi na kujiendeleza, tunamchukua mwekezaji ambaye naye anataka profit. Mwekezaji ndio mwenye kutupenda? mwenye kuipenda Tanzania? Mwenye uchungu na TZ? Mwenye kuijivunia Tanzania? This will be one of the riskiest decision kufanywa na Taifa hili kupitia kwa viongozi wake vilaza. Kwani waliounda DP World sio binadamu? Kwanini tunaamnini katika kufanyiwa vitu? Kwanini tunaamini katika kuendelezwa na siyo kujiendeleza?
Hakuna anayeipenda Tanzania hata ukiweka watanzania ni mwendo wa kuiba mwanzo mwisho hakuna cha maana watakachofanya
 
ATCL, TRC, TTCL, na mashirika mengine lukuki huko nyuma yalishawahi kubinafishwa kwa wageni! Na matokeo yake kila mtu aliyaona. Kwa hiyo watu wanapotikia shaka huo uwekezaji, wana sababu za msingi.

Viongozi wengi wenye dhamana kwenye hii nchi siyo wazalendo! Mara nyingi wamekuwa wakiingia mikataba tata yenye manufaa binafsi zaidi kuliko Taifa.
Ubinafsishaji wa enzi zile uliinufaisha Serikali, mashirika yake na makampuni binafsi. Wananchi, mmoja mmoja au makampuni yao binafsi hawakuwahi kushirikishwa Kama ilivyo kwenye yale machache ya Twiga Cement, TCC CRDB....nk.

Kama TPA imepata mwekezaji wa kimkakati basi apewe hisa 50+1.... Hisa 49 zinazobaki Serikalini .... Zigawanywe kwa wananchi na makampuni binafsi kwa asilimia 25, Serikali ibaki na asilimia 24 tu. Iwe hivyo kwa mashirika yote yanayoitwa ya umma.....kwa kufanya hivyo mwananchi ambaye ndie mmiliki wa mali za nchi hii atakuwa na sauti.... Vinginevyo ni mipango ya ubadhirifu tu inaendelea.
 
Ukishauza bandari, ndio unakuwa umeuza nchi. Bandari mpaka wa Kimataifa wa nchi. Kitakachofuata ni viwanja vya ndege. Kuna mtu atakuja kuuza maeneo yetu katika maziwa kama vile Viktoria, Tanganyika, Nyasa. Na hata maziwa madogo kama Rukwa, Manyara, Eyasi na Nakuru.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote ua Tusubirie tushindwe ndio tuombe usaidizi?

Inaendelea....
Paskali
Kwa ufupi tu Pascal Mayalla ni kwamba serikali imeshindwa kusimamia sehemu nyingi sana kwa mfano wizara ya Elimu. Je, kuna mtoto wa waziri anasoma shule ya Serikali?

Kama viongozi wanajua kabisa kwamba wameshindwa kusimamia Elimu kwa nini wizara ya Elimu isibinafisishwe ili kuleta ufanisi. Shule nying za serikali ufaulu ni duni mno tena sana.

Kama suala la ubinafisishaji lina tija kiasi hicho kwa nini serikali yote isibinafisishwe?

Hii serikali kweli inamnufaisha mwananchi wa kawaida anayekatwa TOZO au inawanufaisha viongozi tu. Na kibaya zaidi hata rasilimali za asili zinazowasaidia wananchi wa kawaida kama NGORONGORO wanaziuza ili waendelee kuishi maisha ya peponi hapa duniani.
Je, Mwananchi ananufaika na nini na hii serikali? Huduma za serikali ni mbovu mno tena sana.
 
Haijapita hata miaka 5 toka tumetoka kwenye itikadi za uzalendo, mabeberu wabaya, na kuimba nyimbo za kujiamini na tunaweza. Na pengine baadhi yetu tulishiriki kubwagiza hayo. Leo yameshakuwa haya.

Hivi tuna fikra huru kweli kwenye jamii yetu ama hata free thinking tukubali imetushinda tuwaachie wengine?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.



Inaendelea....
Paskali
Sema ccm awawezi waachie vyama vingine waongoze nchi. Bandari inakazi gani kuendesha?

Maji yanafanyiwa services gani? Je yangekuwa yanapakwa rangi ingekuwaje? hapa shida ni ccm imechoka tuitoe kwanguvu madarani.
 
Sasa yakibinafisishwa unadhani itasaidia nini,Mashirika mangapi yamebinafisishwa na Mkapa Leo yapo wapi??????????
Yote yaorodheshwe kwenye soko la hisa ili wananchi tununue hisa tuyamiliki, ili tusimamie kiasi cha hisa tulizo nunua. Serikali inayotokana na watu kujimilikisha hisa zote kwa asilimia mia ndio mwanzo wa mipango ovu ya ubadhirifu.
 
Ubinafsishaji wa enzi zile uliinufaisha Serikali, mashirika yake na makampuni binafsi. Wananchi, mmoja mmoja au makampuni yao binafsi hawakuwahi kushirikishwa Kama ilivyo kwenye yale machache ya Twiga Cement, TCC CRDB....nk.

Kama TPA imepata mwekezaji wa kimkakati basi apewe hisa 50+1.... Hisa 49 zinazobaki Serikalini .... Zigawanywe kwa wananchi na makampuni binafsi kwa asilimia 25, Serikali ibaki na asilimia 24 tu. Iwe hivyo kwa mashirika yote yanayoitwa ya umma.....kwa kufanya hivyo mwananchi ambaye ndie mmiliki wa mali za nchi hii atakuwa na sauti.... Vinginevyo ni mipango ya ubadhirifu tu inaendelea.
Serikali haikuwa kunufaika na ubinafsishaji. Mashirika mengi yalikufa kabisa, mengi tukaja kushtuka yapo hoi trc, tanesco, atcl, ttcl
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.



Inaendelea....
Paskali
Hata serikali hatuwezi kuiendesha; tutafuta watu wengine watusadie.

Juzi nilikuwa naangalia documentary ya maendeleo ya Singapore, sikuona walipokodisha sehemu yoyote ya nchi yao na walikuwa maskini kuliko sisi wakati tunapata Uhuru.

Watanzania tunasumbuliwa sana na mediocracy, kila mara viongozi hawajiamini na huwa wanajiwekea low expectations tu. Miaka takriban ishirini tu iliyopita mashirika yetu mengi (mfano ATCL, TRC) yalibinafsishwa kwa madai ya kuleta ufanisi, yakafa yote na wala nchi haikupata faida yoyote ikabidi Magufuli ayaanzishe upya. Leo hii mediocracy inataka kuturudisha tena huko huko.

China ina mashirika mengi sana ya serikali, lakini mbona yenyewe hayafi? Mtu akipewa shirika akshindwa kuperform anavikwa kitanzi tu, siyo kubembelezana.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Natamani liwe bunge kwanza tusaidiwe.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Paschal toka mwaka 1961 mpaka leo hatujiwezi kusimamia bandari, raslimali kama gesi,dhahabu,mafuta n.k.,tumeshindwa kusimamia wenyewe viwanda, mbuga zetu na mashirika yetu mengi tu?? Kuna haja ya kuwa na serikali sasa? Ni kama nchi nchi ni " state of nature" Masikini Tanzania🇹🇿🤔🤔🤔🤔!!!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Paskali, kusaidiwa siyo jambo baya, lakini ili usiingie mkenge zaidi lazima ujitathmini ulikwama wapi. Bila tathmini ya kina hata unachokitaka katika huo usaidizi hakitatimia. Jee muundo na Uendeshaji wa mashirika ya umma uko je? Tunajua vigezo vya teuzi za watendaji wakuu unaofanywa na serekali bila ushindanishi wowote? Je hao wateule wana ubavu wa kusema hapana kwa watendaji wakuu wa serikali bila kutumbuliwa? Nachelea kusema bila kujitathmini kwa kina hata wizara zafaa kubinafsishwa.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.

Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania wenyewe hatuwezi!, na inapptokea kuna vitu hatuwezi, tunapojaribu tukashindwa, lazima tujikubali hili tumeshindwa, hatuwezi!. Swali ni unaposhindwa kuna ubaya wowote kubali kusaidiwa au tuendelee tuu kujitutumua tukomae tuu mpaka tuweze?

Kiukweli kabisa uamuzi wa kulipa kampuni ya Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, Dar Port, kwanza msiuamini upotoshaji wa miaka 100!, ni uzushi tuu!, lakini uamuzi huu ni uamuzi sahihi, na kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!

Kuna vitu Watanzania hatuwezi na tunashindwa sio kwasababu ni vilaza, au hatuna uwezo, tunashindwa kwasababu tuu hatujui kutazama mbali!

Mfano saa hizi tuko busy kujenga SGR, lakini hatuna mkakati wowote wa kujiandaa kwa mzigo wa kuendesha SGR kwa faida. Waona mbali hili tukaliona, tukashauri Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta..., sasa tusubirie SGR yetu ikamilike, tujaribu kuioparate tushindwe ndipo tutafute usaidizi?, au wakati ujenzi unaendelea, tutazame mbali kwa kujenga uwezo wa uendeshaji na maandalizi ya kutafuta mzigo wa kushiba wa kubebwa na SGR?.

Hivi tuu tuna reli ya TAZARA tumeshindwa kuiendesha!, Tunduma ndio the busiest border kwa mizigo ya Zambia inabebwa na malori, huku mabehewa ya Tazara yamelala bure!.

Reli ya kati tumeshindwa kuiendesha to it's full capacity!, nenda Bandari kavu ya Isaka!, ukiwa mzalendo mwenye machozi ya karibu, unaweza kutoa machozi!. Reli ya Tanga, Moshi, Arusha, almost zimetelekezwa!. Mtu aliyeshindwa kuendesha kidogo hiki uje umpe kukuendeshea li SGR!, nategemea nini?. Kuna ubaya kuwaita watu wenye uwezo wakuendeshee kwa kipindi fulani huku unajenga uwezo wa ndani kuendesha, ukiwa tayari ndipo uendeshe?.

ATCL, tushukuru Magufuli kwa kuwa bold kukimbilia kununua midege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi, bila kuwa na business plan!.

Tumenunua midege ya masafa marefu, long hauls, tunaizungusha Dar-Mwanza-Kia!, tunaichosha bure, wear and tear ni kubwa!, matokeo yake by now, tume ground midege 4 kwa uchovu wa engine, tutatengeneza kwa millions of dollars halafu tuje kuharibu tena!. Ukiangalia abiria wa Tanzania wanaokwenda Ulaya na America kwa ndege za mashirika mengine ni abiria wa kujaza a 7 day flights, lakini sisi wenyewe hatuwezi!, lazima tusaidiwe!.

Pale unaposhindwa kitu fulani, hakuna ubaya wowote kuomba msaada kwa wenye uwezo usaidiwe!.

Tuliwahi kujaribu kwa ATC, TTCL, Tanesco, Dawasco, tukaja kuvunja mikataba kwasababu tulikuwa kuzaliwa!. Ukitaka kula ni lazima uliwe!, hivyo hata huu mkataba wa Bandari, kwavile tunataka kula, ni lazima tuliwe!. You can't eat your cake and have it!.

Kuna vitu vingi tuu tunashindwa lakini hatusemi!. Juzi kati Tundu Lissu kashambuliwa kwa kupigwa risasi mchana kweupe, Ben Saanane wetu humu, kakosoa kitu, kayeyuka!. Azory Gwanda kaandika kitu, kafuatwa na Toyota Land cruiser ya mkonga, kapotezwa!.

Serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi kwasababu hatuna uwezo huo wa.... Watu tumejitokeza humu tukasema tuna uwezo kusaidia, tunachotaka ni serikali ijitokeze tuu na kukiri imeshindwa, na kuomba msaada kwa wenye uwezo!. Kuna watu wanadhani Scotland Yard, wanazaliwa na uwezo huo!, no!, Scotland Yard wanafanya scouting kuwapata watu wenye uwezo huo!, hapa Tanzania watu hao tunao lakini hatuwatumii!.

Niliwahi kuuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Naunga mkojo hoja naomba mpaka mke wako hauwezi kummiliki pia naomba nije kukusaidia kumla
 
.... kwa maoni yangu, baada ya Bandari, hata ATCL peke yetu hatuwezi, lazima tongue ubia!. Tukija kwenye SGR ndio kabisa!
Tutashindwa kujiendesha kwa sababu, mapato yetu kwa asilimia kubwa yako kwenye sarafu ya Tsh. wakati gharama za matengenezo (maintenance cost) ziko kwenye sarafu ya kigeni; sasa utatumiaje fedha za kigeni ambazo hukuzizalisha? Hii ndio kudidimiza uchumi pamoja na kupoteza fedha za kigeni zilizotokana na sekta zingine mfano utalii na madini.
Uwekezaji au ubia kwa asilimia kubwa unalenga kuongeza zaidi fedha za kigeni, ambazo kwa sasa zinahitajika kwa hali na mali.​
 
Back
Top Bottom