Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Mkuu hakuna sheria inayosema Tanzania itapata 16% na ecomic benefit; that was just exclusively for the specific contract (ata kama tulipigwa kutokana quality ya team yetu ya majadiliano given the duration to which ACCACIA and other previous have earned on those investments).
Mkuu Kilatha , unaposema hakuna sheria inayosema Tanzania itapata 16%, uwe umejiridhisha kuwa wewe mwenyewe umeisoma hiyo sheria, na ukakuta hakuna sheria hiyo, ikitokea sheria hiyo ipo, wewe tukuiteje?. Sasa kabla sijaendelea na hili, naomba nikuulize swali dogo tuu na naomba unijibu kwa ukweli tuu, jee wewe Mkuu Kilatha , umeisoma sheria mpya ya madini, ukakuta hakuna sheria inayosema Tanzania itapata 16 % ?.
Mikataba ya natural resources inataratibu zake kibongo najua wapo wengi wanaoelewa hayo mambo mainly wizarani. Ila mtu ambae kutokana na ufafanuzi wake kwenye hayo maswala ambae unaweza sema uelewa wake auna mashaka ni Dr Mpango, timu yoyote ya majadiliano bila ya kumshirikisha ni kujipa disadvantage.
Hapa naomba nikupe ushauri wa bure, kwenye kujadili maslahi ya taifa, usilete personalities, leta hoja tuu, hakuna ubishi huyo uliyemtaja ni mbobezi mwenye Ph.D, ila amini nakuambia, mtu kuwa na Ph.D ya kwenye makaratasi ni tofauti kabisa na wenye experience, kwenye baadhi ya issues, darasa la saba anaweza kuwa mzuri kuliko Ph.D holder. Tembelea uzi huu, Je, Wanaoshangilia na Kupongeza Bajeti Wanajua Wanashangilia Nini? , Au Tunashangilia Ujinga?! . usome hoja zangu, kuhusu huyu Ph.D holder wako, kisha ujiulize hoja hizo zimewahi kujibiwa kipindi chake chote akiwa eneo hilo?.
P.
 
Kwani JPM alivyosema kwenye gesi hatuna chetu hukumuelewa? Unazani kwanini aliamua kuingia kwenye umeme wa Hydro? RIP Jembe
Ndugu haya mambo sio ya kumsifia fulani na kumponda mwingine huo ni unafiki. Kaa chini fanya upembuzi kwanza ujue gharama zinatumika kuzalisha umeme we gesi kama ni himilivu sio mziko kwa tafa usisikie ya kuambiwa mengine yanaweza kuwa chuki tu. Pia ukumbuke umeme wa maji pia una changamoto zake hivyo tunaitaji kuwa na vyanzo vingi vya kuzalisha umeme. Wengi wengependa kuona uelewa wako pingine una mawazo mazuri yanayoweza kulikomboa hili taifa una haki kama mwananchi. Sifa za mtu mmoja hazasaidii chochote
 
Mwisho wa siku Magufuli alikuwa ni mwanasiasa na sifa ya mwanasiasa kwenye kujenga hoja inayovutia ni adding elements of ‘sensationalism’ kwenye mambo asioyakubali as a way of shoking people and gaining support.

Uzuri ni kwamba wasaidizi wake vipanga walimwelewa na walikuwa wazuri kwenye kutoa ufafanuzi zaidi mbeleni (tatizo watu awakuwa wafuatiliaji tu).

Natural resources ni mali ya nchi husika hiyo tafsiri ilitolewa na UN in the 1960’s if I am correct kutokana na mgogoro wa Indonesia or some country in that region na mwekezaji wake on who own the resources (need to refresh my mind on that).

Hiyo precedence ndio msingi wa aina ya mikataba iliyotengenezwa kwenye natural resources.

Sasa basi mtu anapofanya exploration na kugundua natural resources ata kama ni mali ya nchi husika anakuwa na exclusive rights ya kurudisha hela yake na reasonable economic benefits on the find.

Maana yake nini uwezi kuamka asubuhi moja na kusema mjomba ata kama umegundua Gas/Mafuta sasa hivi tunataka kwenda wenyewe (what about his risks) ndio maana kuna stabilazation clauses kulinda mambo kama hayo; ambapo kuwatoa inabidi ulipe fidia kibao ambazo not worth it.

Moreover kugundua reserve za Mafuta/Gas is one thing kuyatoa yalipo na kuyachakata for commercial usage ni jambo lingine, kuna kujenga oil rigs, kuyapeleka kwenye refineries, kuyachakata, kuyauza and so forth with upstream and midstream business. Nchi maskini kama Tanzania aina huo mtaji but then do we need a $30 billion dollar LNG plant, maana hizo hela lazima tulipe na faida ya mwekezaji na hela yenyewe kama asilimia kubwa kakopa bank na yeye with higher interest ni shida.

Hizi ndio sababu you don’t want a clueless individual like Makamba to spearhead complicated negotiations kama hizo, kwenye kichwa chake anawaza praise atafute residence contributors wa Bloomberg waliopo Tanzania wamuandike how business friendly he is and he thinks.

Hivi hawa wapumbavu wana fikia vipi hizo position its beyond me.
Siku GST wakianza kufanya physical exploration ndio nchii itaamka lakini kwa sasa tusikilizie kwanza.
 
Ni serikali ya CHAMA GANI ILIPITISHA MAUZO HAYA YA GESI YETU?
Mkuu mkulima gwakikolo , kuna maswali mengine, kuwauliza baadhi ya watu sio kuwatendea haki!.
Naomba usinionee bure!.
Swali hili ni kama uko na rafiki yako, anamjua baba yako, halafu mko mbele ya watu, kuna mlevi mmoja watu wanancheka kwa kuzidiwa na kilaji, halafu rafiki yako anaona kabisa huyo ni mzee wako, halafu anakuuliza wewe mbele ya ule umati wa watu, ati yule mlevi ni baba yake nani vile?.
Wewe utajibu?. Mswali mengine sio ya kujibiwa, swali hili ungeniuliza mimi enzi zangu zile za maswali kama haya
ndio ningekujibu.
P
 
Kwani JPM alivyosema kwenye gesi hatuna chetu hukumuelewa? Unazani kwanini aliamua kuingia kwenye umeme wa Hydro? RIP Jembe

Ndo hapo watu bado hawaelewi kwa nn mzee baba aliingia kwa namna ingine maana ayaie aliichungulia gas akashindwa masharti magumu ikiwa angevunja mkataba
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
Hapa tuwekane sawa nadhani elimu inahitajika. Kuna kitu kinaitwa PSA huu ndio mkataba unaoweka wazi na PSA hasa inaipa nchi power zaidi katika maisha ya mradi. Mwekezaji anawekeza kila kitu tuseme kaweka Billion 1 uzalishaji ukianza mwekezaji anaanza kuchukuwa asilimia 75% mfano na serikali inachukuwa 25% faida baada ya operating cost. Kila mwaka budget ya kampuni ambayo ndio operating cost inapitishwa na shareholders wote pamoja na serikali kwa kuwa inalipa hiyo 25% kupitia mauzo sasa kila miaka inavyokwenda kwa maana muwekezaji anakuwa ana recover cost ile % yake inashuka kwa mfano 70% to 30% na itaenda hivyo katika maisha ya PSA kama ni 20 au 25 years, dhumuni kubwa la PSA kwa mwekezaji kurudisha ile billion yake aliyowekeza na kupata faida sasa ikifika kipindi cost recovered ile PSA inakuwa katika miaka ya mwisho ya PSA serikali kupata 80% na muwekezaji 20% lakini kumbuka kabla ya kugawana faida serikali inachukuwa Tax inaweza kwa mujibu wa kisheria. PSA iki expire ule mradi unakuwa own by serikali 100%. Sasa nii juu ya serikali kusema labda sisi hatuna uwezo wa kuendesha mradi tunakupa kama operators tu ukampa 10% tu na wewe uka cover budget 100%. Kwa mfano mwepesi PSA ni kama wewe una kiwanha Kariakoo lakini huna uwezo wa kujenga. Kaja mtu kasema tuingie ubia hiyo ni PSA, mimi nitajenga gorofa kumi nitakupa gorofa 1 mimi 9 mkataba wa miaka 20 kila mwaka navyo rudisha gharama zangu utakuwa na 2 mimi 8 itakwenda ikifika 20 years muwekezaji ana moja wewe 9 hiyo ndio biashara ya mafuta na Gas. Tofauti kubwa na Oil na Gas ni Oil unauza miezi mitatu mbele na bei inabadilika kila siku ukija kwenye Gas unaingia mkataba wa kuuza kwa muda mrefu kwa client bei ya Gas haibadiliki haraka sana unaweza kuuza kwa mwaka bei ya chini kuliko soko sababu mikataba ya supply inakuwa ya muda mrefu. Nadhani hoja kuwa tumeibiwa mradi hauna faida sio kweli hapa ni PSA ikoje. Budget ya muwekezaji lazima serikali kama main shareholder kuipitisha sababu ni cost recovery au CAPEX yoyote lazima serikali wa approve sababu ni cost recovery. kikubwa uaminifi walioaminiwa na serikali vingenevyo wanaweza kuongeza budget na CAPEX mkakuta mnapigwa tu latika cost recovery, kumbuka cost recovery kabla ya Tax na kugawana profit.
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
mayalla tusipindishe pindishe ukwel, mm ni mwanachama na kipnz wa ccm kindakindaki ,lkn kwenye ukweli lazma niseme ukwel na nisimame kwenye ukweli pengine itasaidia kubust ubongo wa hawa watu tuliowapa dhamana ya kusmamia raslimali zetu ,gesi Niya watu wa nje , hatuna gesi pale,ingekuwa yetu umeme ungeshuka Bei kwa wananchi lkn wapi,gesi ipo kwetu hapo karbu mtwara ,mtungi kadogo 23000/= hizo Sheria mpya vp!? Tulijua kwa Sheria hizo Basi angalau ingesaidi Bei ya gas hapa nchini ingekuwa nafuu kwa watz lkn wapi !!,
 
Kwa hiyo, kwa maoni yako, kuwekeza huku ndiko kunawapa umiliki wa chochote watakachokikuta huko chini, na wenye nchi hawana lao hapo?

Hili ni jambo muhimu kwetu sote, tusiparurane bure, nieleze nielewe vizuri maoni yako haya.

Yaani mwekezaji akija hapa kutafuta madini, akayapata madini hayo yapo, inakuwa ni mali yake moja kwa moja, kwa vile kaingia gharama ya kuyatafuta? Ndivyo ilivyo hivi katika nchi zote duniani?
Wapi nimesema wanachukua kila kitu wanachokikuta huko chini? Hata hivyo wachangiaji wengi wameeleza tena wengine wameeleza kiundani zaidi kuhusu hizo biashara katika maeneo mbalimbali huko duniani.
 
Biashara ya natural resources ina stages zake ‘exploration’ ni first stage hayo ni makubaliano pekee ambapo makampuni yana bid kutafuta mafuta/Gas. It is very risky and expensive especially when it’s in deep sea kunakupata na kukosa.

Sasa wakipata wanakuwa na exclusive rights za ku gain economic benefit based on potential amount of reserves.

Ndio maana Dr Muhongo alipoletwa kitu cha kwanza alichofanya ni kupeleka hati ya dharura ya sheria ya mikataba ya Production Sharing Agreement (PSA) on what amount of benefit they are entitled to based on reserve after they recoup their investment.

Mpaka hapo unakuwa ushatoa exclusive rights za nani mwenye haki ya kutoa hayo mafuta uki kiuka kuna compensation kwa sababu watu washachukua risk na walitegemea kuvuna; hapa ndipo serikali ya JK ilipoishia

Baada ya hapo unahitaji investment za kutoa hizo resources zilipokuwa na inahitajika hela ya kujenga rigs, refinery/LNG plant, pipes and so forth; now this provides a chance to discuss on share of benefit based on return of investment and sunk costs; haya makubaliano kama nchi atuja afiki bado na ndio mjadala unaofuata.

This stage complicated tofauti na simple arguments za local contents na upuuzi mwingine watu kama kina Zitto wanavyo ongelea. The finance are very very very complicated ukikosea utajuta ndio maana wao hawana haraka kwa sababu wanajua wana rights za kuchimba so they need a good deal in the long run.

Kutoa pressure kwa upande kwao ni swala la kuwapa hela watu kama hakina Zitto kukosoa hatua za serikali
With simple economic loss nchi one haraka ya kuingia hiyo mikataba kichwa kichwa.

JK ahusiki na hii hatua ila anaweza shawishika na upuuzi wa mtu kama Zitto na habari zake za local context. Na yeye JK kutumia hizo info kumpa pressure mama kutokana na hoja za kipuuzi and nonsense from twitter.
Kwa nini wapate exclusive rights ? Ukigundua una dhahabu kwenye shamba lako na huna uwezo wa kuichimba, utampa exclusive rights mtu anayeweza kuichimba?
 
kuna mdau mmoja alishawahi sema watanganyika wamelala kama mazombie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....Daaah

pia akasema tubadili jina tusiitwe watanganyika bali wadanganyika

[emoji23][emoji23]

kuna asilimia kubwa ya wananchi wa bongo hawajielewi , hawana uchungu na nchii hii na sisiemu haitoki n'goooo

#kazi iendeleee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], oi naomba niku support kucheka mkuu, eti mbona kama wananchi wanachukulia fresh tu[emoji1787].
Mis education inafanya kazi, tatizo kubwa ni elimu, wananchi wengi hawajui hata serikali ni nn, ww umesoma ndo maana unaliona hilo, kumbuka hata ww ulivokua mdogo ulikua unaamini serikali ni kampuni binafsi inayosaidia watu.[emoji23]
Imagine ungekua hujaelimishwa
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.

Halafu bado Kuna watu humu wanakuja na Mada eti Ni bora tutumie Umeme wa Gas,Eti Sijui tufufue palnts za Gas za Tanesco sijui Kinyerezi gani na gani wakati tunaongeza gharama sababu Gas tunaninunua na Tanesco anauziwa kama alivyosema Mtoa Mada!
[emoji3516][emoji41][emoji851][emoji30]
 
Kwa nini wapate exclusive rights ? Ukigundua una dhahabu kwenye shamba lako na huna uwezo wa kuichimba, utampa exclusive rights mtu anayeweza kuichimba?
Gharama za kufanya seismic studies hadi kugundua mafuta/gas sio cheap kabisa especially offshore, costs zinavuka $1 billion plus easily na unaweza fanya shughuli yote ukakuta reserve yenyewe not worth of commercial exploitation, wapo watu waliopoteza hizo hela ata Tanzania. Sio vitalu vyote vilivyofanyiwa exploration vimekutwa na reserve (ndio maana Prof Muhongo akasema watanzania wanamitaji ya hela za viwanda vya juice tu).

Exploration ni high risk ndio maana kampuni nyingi zinazofanya hizo shughuli either ni kutoka large oil companies zenye mitaji ya kuchezea au government sponsored huko kwao, sio sehemu ya kuingia kichwa kichwa kabisa nchi nyingi maskini aziwezi kuchukua hizo risk wanatafuta wengine wafanye hiyo shughuli.

Kwa minajili hiyo kampuni zinazochukua hizo risk wakikuta kuna reserve za kutosha wanakuwa rights pia za kurudisha mtaji na kufaidika pia kwa kazi yao ndio sababu ya kuwa na exclusive rights.
 
Halafu bado Kuna watu humu wanakuja na Mada eti Ni bora tutumie Umeme wa Gas,Eti Sijui tufufue palnts za Gas za Tanesco sijui Kinyerezi gani na gani wakati tunaongeza gharama sababu Gas tunaninunua na Tanesco anauziwa kama alivyosema Mtoa Mada!
[emoji3516][emoji41][emoji851][emoji30]
Nchi zote ipo ivyo kasoro chache mainly in the Middle East wakiongozwa na Saudi Arabia ndio oil is highly subsidised (but then they earn a lot in exports annually to meet their budgetary obligations) na ata wao walifikiria kupunguza subsidisation kipindi ambacho uchumi wa dunia uliporomoka.

Ukijaribu kuwa too low madhara yake yanakuwa kama Venezuela if you are not exporting, sisi atujaanza ku export gas bado na ata tukianza atuwezi kuwa Qatar au Russia, so lazima wauze bei iwe kiasi gani hiyo ni debate nyingine.
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Madini yanayochimbwa kwingine kokote ni yenu?
 
Gharama za kufanya siesemic studies hadi kugundua mafuta/gas sio cheap kabisa especially offshore, costs zinavuka $1 billion plus easily na unaweza fanya shughuli yote ukakuta reserve yenyewe not worth of commercial exploitation, wapo watu waliopoteza hizo hela ata Tanzania. Sio vitalu vyote vilivyofanyiwa exploration vimekutwa na reserve.

Exploration ni high risk ndio maana kampuni nyingi zinazofanya hizo shughuli either ni kutoka large oil companies zenye mitaji ya kuchezea au government sponsored huko kwao, sio sehemu ya kuingia kichwa kichwa kabisa nchi nyingi maskini aziwezi kuchukua hizo risk wanatafuta wengine wafanye hiyo shughuli.

Kwa minajili hiyo kampuni zinazochukua hizo risk wakikuta kuna reserve za kutosha wanakuwa rights pia za kurudisha mtaji na kufaidika pia kwa kazi yao ndio sababu ya kuwa na exclusive rights.
Sina tatizo la wao kuwa na rights za kurudisha mitaji yao. Nina tatizo la wao kuwa na exclusive rights. Ina maana wenyewe wata dictate terms & conditions kwa nchi husika ni jinsi gani wanaweza kufaidika na matunda ya mali zao za asili. Na kwa nini iwe hivyo ? Gharama isiwe kigezo kwani ni hiari yao kuchimba au kuacha.
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Aindolewe dalali TPDC Ili serikali kupitia Tanesco wanunue moja kwa moja kutoka kwa makampuni
 
Back
Top Bottom