Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Tanzania nchi yangu wote ni wajinga vichwani tumejaa matope ns makamasi magufuli alitutoa kutu ila tulimbagaza sana
 
Sina tatizo la wao kuwa na rights za kurudisha mitaji yao. Nina tatizo la wao kuwa na exclusive rights. Ina maana wenyewe wata dictate terms & conditions kwa nchi husika ni jinsi gani wanaweza kufaidika na matunda ya mali zao za asili. Na kwa nini iwe hivyo ?
That is the second stage of negotiations na ndicho kinacho ongelewa kila siku.

This when a business contract is drafted kila mtu ana bargain on how they should share earnings (ni lazima uwe mwerevu na ufikirie lifetime ya mradi) kumbuka kuna uwekezaji mwingine inabidi wafanye wa kujenga LNG.

Kuwa na exclusive rights maana yake wao ndio wenye haki ya kuingia mkataba na serikali it doesn’t equate to having the bargaining power. Ndio maana serikali ikidengua wawekezaji hawana budi zaidi ya kusubiri tu na kutuma watu watoe pressure (this is where Zitto comes in).

Alikadhalika serikali aiwezi kuongea na watu wengine zaidi yao (unless mwekezaji amuuzie hizo right mtu mwingine).
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.

C: camilo pgo na wengine wooote watetezi wa matumizi ya gas kwa ajili ya Umeme bila Kutuonea huruma kwa bei
 
That is the second stage of negotiations na ndicho kinacho ongelewa kila siku.

This when a business contract is drafted kila mtu ana bargain on how they should share earnings (ni lazima uwe mwerevu na ufikirie lifetime ya mradi) kumbuka kuna uwekezaji mwingine inabidi wafanye wa kujenga LNG.

Kuwa na exclusive rights maana yake wao ndio wenye haki ya kuingia mkataba na serikali it doesn’t equate to having the bargaining power. Ndio maana serikali ikidengua wawekezaji hawana budi zaidi ya kusubiri tu na kutuma watu watoe pressure (this is where Zitto comes in).

Alikadhalika serikali aiwezi kuongea na watu wengine zaidi yao (unless mwekezaji amuuzie hizo right mtu mwingine).
Ok, nimeelewa maana ya hiyo exclusive right na sioni kwa nini kuna haja ya kui mention kwani hiyo ni inherent right from the beginning.

Hiyo second stage of negotiation inafanyika baada ya madini/mafuta kupatikana? Nafikiri hapo ndio tatizo. Kwa nini visiongelewe vyote from the beginning?
 
Swali ni kwa nini raia wanchi hii ni kama hayawahusu kabisa yanayofanywa na chama hiki? Ni kama wameridhika kabisa na yote yanayotokea!

Kuna kitu gani hasa kinachowalaza akili wananchi wa nchi hii hadi wasione ubaya wa chama hiki?

Kinacho waliwaza ni wengi kukosa maarifa wanaamani maisha ya kukosa huduma za kijamii ni sawa tu
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Iyo Gas yote kama imeshauzwa,imeuzwa kwa shilling ngapi?
 
Contract ni ya muda gani kwa hao wawekezaji kurudisha gharama na kupata faida? hisa za serikali ni asilimia ngapi? ndo maana magu hakuwa na mzuka nako hadi kuangukia kwenye bwawa la stiglaz.......
Mtoa mada anasema imeshauzwa wewe unauliza hisa tena
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
Kwenye hilo bandiko lako haukusema tumeibiwaje,na huyu mwenzio anaetuambia gesi tulishauza hasemi tuliuza shilling ngapi.
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi , hili la gesi wewe ndio umelijua leo?.
Hali hiyo ilikuwa zamani, lakini sasa tuna sheria mpya ya madini na extractive industry yoyote, kila kinachopatikana, asilimia 16% ni mali ya Watanzania. Yaani serikali yetu ina own 16% ya migodi yote, hivyo japo ni kweli kila kinachovunwa ni mali ya mmiliki, hivyo Watanzania ni wamiliki wa hiyo 16% ya free carried shares kwenue rasilimali zote za extractive industry.
P
Nani alisababisha huu UPUUZI?
 
Kuna mambo bado hayajawekwa sawa na yakaeleweka vyema.

Gesi inayochimbwa Mtwara sio ya watanzania, ile gesi ni ya makampuni ya kigeni na sio ya Watanzania.

Ieleweke pia kwamba Gesi ile iko 18% nchi kavu na 82% majini ama baharini kwenye kina kirefu.

Ieleweke zaidi kwamba shirika la mafuta na petroli la Taifa ama TPDC wao ni watu wa kati kati ama middle man wa gesi inayozalisha umeme Tanzania.

TPDC wao wananunua gesi kutoka kwa makampuni ya kigeni yanayochimba gesi na kisha kuiuzia TANESCO, yaani makampuni yanachimba, yanapiga gharama za uchimbaji na faida yake, yanaiuzia TPDC, kisha TPDC anaweka cha juu na yeye anaiuzia TANESCO halafu TANESCO anazalisha umeme anauzia wananchi.

Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, kwenye gesi ya mtwara TPDC ni dalali ama machinga wa gesi, yeye mwenyewe hana gesi ila kutokana na sheria za nchi, ana umiliki kidogo wa hisa kwenye hayo makampuni yanayochimba gesi. Serikali ama TPDC hawana kisima hata kimoja cha gesi, wao pia wananunua.

Hivyo basi ifahamike kwamba umeme wa gesi hautakuja kua bei Rahisi Tanzania kwa sababu gesi ina madalali ama inapitia mikono mingi na kila wakala ama dalali anaweka cha juu hadi kumfikia TANESCO na tanesco kuwafikishia walaji ambao ni wanachi.

Hivyo ifahamike zaidi kwamba gesi iliyoko kusini 90% ilishauzwa na wamakonde wakae wakijua hawana gesi pale, sio yao ni ya makampuni ya kigeni.

Na hao unaosikia wanasema uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata gesi utabadili maisha ya watanzania ama wanaita game changer huo ni uongo wa wazi kwani kiwanda hicho faida pekee ambayo tutaipata kwa Tanzania ni ajira, kodi na vitu vidogo vidogo lakini sio hasa keki ama nyama yenyewe ya gesi kwani gesi sio yetu.

Ukitaka kujua kitakachotokea kwenye gesi kwa kujenga mtambo wa LNG ni kuangalia faida tunayopata kwenye viwanda vya sukari, je tunafaidi uwepo wa bei ndogo ya sukari ama tunafaidi vitu vidogo vidogo kama ajira ya watu wachache, kodi na vitu vingine vidogo vidogo ila bei ya sukari iko juu.

Tunapeana matumaini ila ukweli ni kwamba we are fucked up.

Habari ndio hiyo.
Mikataba ya jk hio sasa,mswada unasomwa asubuhi jioni ushapitishwa.bado bandari ya bagamoyo
Mtakuja shtuka baadae imekula kwetu hii
 
Huu ndio ukweli mchungu watanzania wanapaswa kuufahamu,bahati mbaya wengi hawaujui na wanashabkia kwelikweli,
Hili hayati Magufuli aliliona ndio maana akataka iwekwe mipango thabiti kuhakikisha gesi hii inanufaisha taifa kwa kiasi flani

Na kuchagua umeme wa maji alikuwa anakwepa dhahama hii
Magufuli alikua ana jicho la kuona mbali sana.
Na wasiwasi sana na January asije kwamisha mambo
 
Ngozi nyeusi kwakweli... ni vituko sana duniani...Yani tupo kama takataka tu. Mtu mweusi hawezi mkomboa mweusi mwenzie zaidi ya kuhakikisha vizazi na vizazi vinakaa kwenye umasikini kikubwa yeye na familia yake wamekimbiza mabillioni nje. Kama kweli Mungu yupo kuna watu watapata tabu sana.

Hapana nakupinga. Mifano tunayo mingi ya ngozi nyeusi ktk kuhakikisha haki inapatikana kwa watu weusi. Tatizo tulilo nalo ni kwamba bado tunateswa na legacy ya ukoloni - bado tunaamini ngozi nyeupe ndio kila kitu...ukichanganya na ubepari wa sasa ndio kabisa tunakuwa hatuna jipya.

Mapinduzi kupitia mtu mweusi yanawezekana kabisa. We can have our own developed and prosperous Africa/Tanzania, hii inawezekana kupitia mimi na wewe. Hata hao mabepari watufunge na sheria still we can do something, mchina aliwezaje?
 
Back
Top Bottom