Watanzania Tunashukuru Mungu kwa kutupa Rais Samia, yule Baba angetutoa roho

Watanzania wengine ni wajinga tu wengine wanaudini na ukabila ndo kila siku kumsifu au kumponda Samia na Magufuli! Stupid people discuss people!
 
Hivi watu hamuwezi kumsifu huyu mama bila kumponda Magufuli! Lengo lenu ni Nini hasa? Yani kwamba mnaweza kubadilisha mindset zetu kwa yule mzee eti kwa sababu ya hivi viandiko vyenu uchwara? Shenzyyy
 
Haikuwa lazima kumponda asiyekuwepo tena hapa Duniani....
 
Reactions: nao
Kwahilo hata mimi namshukuru mungu. Kwanza gaidi kawekwa ndani.

Pili wale waliojifanya wakimbizi wa kisiasa wakae hukohuko wasije kabisa wasije wakaambikizwa ugaidi na mkubwa wao

Pole sana mtukufu amekufa ameiacha igombe kama pori kumejaa vumbi utadhani hamna mtu anaishi huko hamieni chato mkatoe mapambio vizuri kule kuna mpaka taa za kuongozea baiskeli na ng’ombe
 
Hao wezi ndio unaita wavuja jasho??

Huna aibu kabisa kutetea wezi??
 
Hizi chuki kwa Magufuli kama zingeelekezwa chuki kama hizi kwa ccm basi nafikiri Mungu angekuwa amefanya jambo na ccm ingekuwa historia tungekuwa tunamshukuru huyo Mungu sasa hivi.
Alikataa kuihusisha CCM akasema chagua Magufuli sio CCM Sasa unatutaka tuichukie CCM kwa sababu gani hapo?
 
Rais ambaye hana uthubutu ni ngumu sana kuleta maendeleo. Serikali ya awamu ya sita ipo tu muda wake uishe.
 
Alikataa kuihusisha CCM akasema chagua Magufuli sio CCM Sasa unatutaka tuichukie CCM kwa sababu gani hapo?
Kwa sababu Magufuli aliitumia ccm kuendelea kuwa madarakani kama ambavyo miaka yote ccm imekuwa ikifanya, bila hiyo kufanya kama ifanyavyo basi pengine ile 2015 Magu asingekuwa rais.
 
Na wewe figaniggaa??? Duuh.

Enzi zile tulijua nyie mnafaidi kumbe zilikuqa ni mbwembwe tu.

Mnamkana mtu wenu wazi wazi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…