wote ni ccm lakiniNi zamu ya ufisadi na mafisadi kutamalaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote ni ccm lakiniNi zamu ya ufisadi na mafisadi kutamalaki.
Hivi watu hamuwezi kumsifu huyu mama bila kumponda Magufuli! Lengo lenu ni Nini hasa? Yani kwamba mnaweza kubadilisha mindset zetu kwa yule mzee eti kwa sababu ya hivi viandiko vyenu uchwara? Shenzyyy
Hao wezi ndio unaita wavuja jasho??
Huna aibu kabisa kutetea wezi??
Rais ambaye hana uthubutu ni ngumu sana kuleta maendeleo. Serikali ya awamu ya sita ipo tu muda wake uishe.