fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 739
- 1,032
- Thread starter
-
- #101
Sahihi kabisa 'kitowowoti'.Asante!zipigwe hadharani,zitumbukizwe kwenye maboksi yanayoonyesha ndani,zihesabiwe hadharani,zitangazwe hadharani na mshindi atangazwe mbele ya kadamnazi ya walipiga kura,tuachane na mabungutu soksini.
Ukimya wetu umewafanya waamini kwamba kula vibudu ni haki yao.Mkuu, CCM wamezoea kula vibudu, kwa uzoefu huo vya kuchinja kamwe hawataviweza. Kuokoteza mizoga ndiyo ibada na jadi yao.
Naunga mkono hoja.Atangazwe hapohapo nakubaliana na hilo wapiga kura hatuhitaji mawakala
Tupaze sauti mpaka kieleweke.Kura zihesabiwe hadharani pia matokeo yatangazwe hadharani baada ya kupata mgombea aruhusu kura zichomwe hakuna kuondoka nazo kuondoka nazo Ndiyo kuziiba kwenyewe, kikikiki nilisema tutapata suluhisho tu na suluhisho Ndilo hilo
Zoezi hili litapunguza kesi za wagombea kwenda mahakamani
Sikuhizi taarifa zinaingizwa kwenye mfumo wa kidigitali hakuna mbamba, yaani mfumo utaona matokeo yote ya siku hiyo
Sahihi kabisaHakuna kuingia kwenye kichumba peke yako utakuwa mpweke, hahaha 😂
Labda raia wawe na silaha hasa za moto, ifahamike uporaji wa chaguzi zetu unasimamiwa na vyombo vya dola ambavyo vinamiliki silaha za moto.Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Sawa zitahesabiwaNjia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Ni ukweli mtupuNdio maana Trump amesema viongozi wa kiafrika wapumbavu wananunua silaha kuja kuua raia wao
Hao wananchi wa kushinikiza chama dola hawapo TanzaniaNjia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Tanzania kwani kunakuaga na uchaguzi?Tangu lini. Mimi nadhani uchaguzi wangu wa mwisho ni 2020 sitegemei kupoteza mda wangu tena kwa vitu visivyo na maana.Njia pekee ya Watanzania kuheshimiwa na Wawakilishi wetu ni kuhakikisha kwamba Kura zetu zinahesabiwa katika mazingira ya uwazi kwenye kila Kituo cha Kupigia Kura, na matokeo hayo yawe rasmi.
Tabia ya kufukuza Wapiga Kura kwenye Vituo vya Kupiga Kura ikomeshwe ili Mshindi halali ajulikane.
Hili halihitaji Azimio la Bunge wala Mswada wowote wa Sheria.
Wananchi tukiamua na kushinikiza, hili linawezekana kufanyika kwenye Uchaguzi Mkuu Novemba mwaka huu 2025
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Tindo, uko sahihi sana.Labda raia wawe na silaha hasa za moto, ifahamike uporaji wa chaguzi zetu unasimamiwa na vyombo vya dola ambavyo vinamiliki silaha za moto.
Ifahamike ccm haina uwezo tena wa kushinda kwenye uchaguzi halali. Hivyo tusitarajue chaguzi za haki tena bila machaguko kwanza, ama mapinduzi ya kijeshi.
Rabbon, mimi na wewe, yaani sisi wote, tuko sahihi.Unaweza isvyo sahihi,
Kwamba kura fake zihesabiwe Kwa uwazi?
Hukujifunza uchaguzi wa Serikali za mitaa?
Rudi andika UPYA kwamba,
Tunataka Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wa October,
Tupate Sanduku la kura lisilonajisiwa.
Ndipo tupige kura na zihesabiwe Kwa uwazi.
Na bila Tume huru ya Uchaguzi, uchaguzi utayeyuka.
Sijui umeelewa?
ZIHESABIWE kwa UWAZI na ziwe rasmi.Sawa zitahesabiwa
SAWAZIHESABIWE kwa UWAZI na ziwe rasmi.
Tupaze sauti.
#KURA ZIHESABIWE KWA UWAZI UCHAGUZI MKUU
Badala ya kuimarisha Elimu, Huduma za Afya, Maji na Miundombinu, Kodi zetu zinatumika kununua Silaha na Magari ya Maji ya Washawasha kuja kutudhuru.Ni ukweli mtupu
Hao Wananchi ni mimi na wewe.Hao wananchi wa kushinikiza chama dola hawapo Tanzania
Nani atapiga kura Sasa wote wakifaCcm wapo tayari kuwauwa hata watanzania wt lkn c sanduku lao la kuraa ety watu wapigee kura za waziii ...😀
Japhet gombe,Tanzania kwani kunakuaga na uchaguzi?Tangu lini. Mimi nadhani uchaguzi wangu wa mwisho ni 2020 sitegemei kupoteza mda wangu tena kwa vitu visivyo na maana.
Tupaze sauti.SAWA