Tafuta Hela acha ujinga unaosababishwa na Roho ya wivu ,yaani niache kulala au kula sehemu nzuri kisa mambo binafsi ya mmiliki wa sehemu hiyo,mwache apambabe na mkono wa Sheria .WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza
Mbuzi kafia kwa muuza supuUpele umefika kwa wakunaji.....
Hii ni sauti ya Mo ? Au tetesi?Makonda kanyanyasa wangapi?kamteka mo npaka kamvalisha khanga na bilioni ya ransom kachukua mbona ccm mlikaa kimya
Ccm imemtuma? Huyu si alikuwa chadema pia, sasa hapa nani ni Mwl wake?Issue ya Gekul ni tone la maji kwenye bahari, tatizo kubwa ni ccm, chukia kenge wa ccm
Tuhuma hazijathibitishwa mbona mnamhukumu kwa maneno? Kama tukio limekuwa staged unajuaje?
Sidhani kama kususia ni wivu... Ususiaji pia huwa tunausisitiza kwenye mambo mengine mfano kampuni inanyanyasa watoto etc. kwa mazingira hayo sisi walaji tuna boycott huduma zinazotolewa ili kuonyesha solidarity na waathirika. Wewe ni mmoja wa beneficiaries wa biashara za Gekul kwa hiyo ndio maana umechanganyikiwa. Sasa unafikiri tunawezaje kuonyesha hasira zetu bila kususia biashara za muhusika tena ambazo zimemsababishia mwananchi matatizo?Tafuta Hela acha ujinga unaosababishwa na Roho ya wivu ,yaani niache kulala au kula sehemu nzuri kisa mambo binafsi ya mmiliki wa sehemu hiyo,mwache apambabe na mkono wa Sheria .
Wewe unafikiri una akili nyingi kuliko mamlaka ya uteuzi iliyotengua uteuzi wa Gekul? Kwa hiyo unataka kusema mamlaka iliyotengua nafasi yake ya Naibu Waziri imekosea? Haijakanya uchukuzi kujirishisha?Wewe utakuwa na matatizo ya kiakili,tunavyombo vinavyotakiwa kudhibitisha kosa la mtuhumiwa,sio kukurupuka tu na mibangi yako kichwani na kutoa hukumu.kama tutaanza kila mtu amhukumu mwingine kwa hisia,hii itakuwa nchi ya wapumbavu. Pauline gekul yupo hapo kwa sababu ya kuruhusu mawazo ya kipumbavu kama uliyo nayo wewe.
Subiri uchunguzi wewe MbwigaMsimamizi wa sheria anafanya unyama kwa mpiga kura? Haijawahi tokea. Sasa anasimamia nini? Lazima tususe. Hatutaki kumwongezea nguvu mtu mwenye roho ya uuaji?
Twende Mahakamani tupeleke ushahidi.Makonda kanyanyasa wangapi?kamteka mo npaka kamvalisha khanga na bilioni ya ransom kachukua mbona ccm mlikaa kimya
Hiyo sasa nongwa sheria zipo ya nini kujazana chuki bila ya sababu, wewe hujawahi kukosea?WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza
Wewe unafikiri una akili kuliko mamlaka ya uteuzi na utenguzi? Kwa hiyo nayo imekosea?Subiri uchunguzi wewe Mbwiga
huo si ushamba lakini,WanaJF,
Nashauri kuanzia leo tususie biashara zote anazofanya huyu mbunge wa Babati kwa kitendo chake cha unyanyasaji. Naomba anayezifahamu aweke majina yake hapa.
Tuanze na hiyo hoteli inaitwa Palii sijui nini.
Hakuna kufanya biashara na muuaji au wanaomsapoti mpaka akili iwakae sawa.
Nimemaliza
hawa na hii mihemko yao na ghadhabu za kinyumbu soon watahamishia lawama zao kwamba mahakama haikutenda haki...Una uhakika gani kama ni kweli?. Wacha tusubiri vyombo vya kutoa haki vifanye kazi yake ndipo tuweze kupanua midomo yetu. Unajua wakati mwingine uongo huwa unapanda lift na ukweli huwa unapanda ngazi. Lakini taratibu utafika roof top. Tumeambiwa hawa wamama wana bifu tangu zamani. Na inasemekana wako na bifu za kiitikadi pia. So lolote linaweza kuwa kweli kwa maana ya kumzushia gekul au gekul kufanya unyama. Njia pekee ni kusubiri court watu wapeleke ushahidi na haki itatolewa.
Angefumuliwa marinda kijana wako sidhani kama sasa hivi ungekuwa hapa JF unaandika huu upuuzi.Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika
Mimi hiyo bar yake nilikuwa siijui, nikienda babati lazima niitafuteWatanzania wapi hao wa kususia biashara ya mtu??? Unachekesha wewe
Kitendo alichofanyiwa yule kijana ungefanyiwa wewe ungetoa hii kauli???Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika
Kwa akili hizi basi magereza,polisi na mahakama vifutwe.Mwacheni dada wa watu, ni nani ambae hajawahi kufanya makosa hapa duniani? Hakuna binadamu aliekamilika
HAWA NI WALE WALIOPITA KWA KURA ZA WIZI ENZ ZA MWENDA ZAKE ILI BUNGE LIWE KIJANIMsimamizi wa sheria anafanya unyama kwa mpiga kura? Haijawahi tokea. Sasa anasimamia nini? Lazima tususe. Hatutaki kumwongezea nguvu mtu mwenye roho ya uuaji?