Watanzania tususie biashara za Pauline Gekul mpaka aombe msamaha

Business entity, the owner of the business and the business are independent, owner anaweza akawa mchawi ila biashara ikawa ni takatifu, au mwenye biashara anaweza kuwa mtu safi toka moyoni ila biashara ni ya kuzimu
 
 
Lakini kumbuka hajatumwa kufanya uovu alioufanya. Ni vyema awajibishwe.

Kwenye biashara,kumbuka,iwe familia yake au wanaofanya kazi kwake,wanazitegemea hizo hizo. Na kwa vyovyote wateja wasipopatikana, kuna watu kutunza familia zao itakuwa shida. Bora ungeshauli njia sahihi ya yeye kuwajibishwa
 
Mkuu kamuua nani? Kamnyanyasa nani kwa ushahidi upi? Tulia, tafakari halafu ndio uandike.

Kila mtu anatuhumiwa, hata wewe unaweza kutuhumiwa wakati wowote! Tuhuma sio hatia.

Mkuu watanzania wengi hufurahia maumivu ya watu wengine haswa wenye hadhi, nafasi au ukwasi ndani ya jamii.
 
Mkuu huko ni kujifurahisha kama kichaa anatembea njiani akicheka cheka.
 
Watanzania tumejaa ujamaa mpaka kwenye mambo ya msingi yenye kuhitaji maamuzi ni ujamaa tu.

Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
 

Mkuu imethibitika wapi kuwa kafanya mbona unakamia kama Ulikuwepo! Tusubiri vyombo vya uchunguzi vifanye kazi na makahama itoe uamuzi wake ndio tuzungumze.
 
Aisee kuna kukosea na kuna kumtia mtu chupa Takoni, hiyo ni Gross Misconduct atalaaniwa mpaka Motoni huyu mama.
Mkuu inakuwa gross misconduct ikithibitika mahakamani. Until then bado ni tuhuma tu like any other.
 
Business entity, the owner of the business and the business are independent, owner anaweza akawa mchawi ila biashara ikawa ni takatifu, au mwenye biashara anaweza kuwa mtu safi toka moyoni ila biashara ni ya kuzimu
Hakuna kitu kama hiki
 
Mkuu hiyo ni assumptions yako of which uko entitled nayo. Kwa taarifa yako Rais kamtumbua kupisha uchunguzi.
 
Ndio amuingize mtu chupa mkundun(I)
Hebu akuingoze wewe au mtoto wako then ndio umsameheme.
Yaani vaa viatu vya dogo ya kwamba "Kuna mwanao Leo umemuacha mzima ila kurudi umemkuta kaingizwa chupa au wewe umeingizwa chupa"

THEN SAMEHE...

#YNWA
Mkuu hivi kwa mfano ikibainika kuwa ni uongo utakuja kumsafisha mtuhumiwa huku jukwaani?

The allegations could be true or not, so tusubiri uchunguzi ukamilike na uamuzi wa mahakama utoke then uzungumze ukiwa na ukweli.
 
Haki anatakiwa atendewe yoyote pasipo kipaumbele kwa mtu yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…