Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Mimi ni mzalendo wa TaifaChawa pro max Weweee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mzalendo wa TaifaChawa pro max Weweee
Ukiwa sawa kichwani basi rejea hapa tena.Songo kweli nimekunywa mwalamusha ila huu ujinga acha uishie 2024
Video za Kutosha,siyo kutishaKutisha nini ndugu yangu
Wanamuombea heri na Maisha Marefu Rais wetu kwa sababu wanaona juhudi zake katika kupambana usiku na mchana kuwakwamua watanzania na kuwainua kimaisha kwa kuweka mazingira wezeshi na rafikiWashindwa kuombea ndugu na familia zao zilizo kwenye lindi la ufukala na kuwalilia na kuwaombea ndugu zao walio tangulia mbele za haki ebu jaribu kuwa na akili
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Sawa.Video za Kutosha,siyo kutisha
Hili neno kutisha sijui limetoka wapi hata
Nenda kituo chochote cha polisi uombe namba yangu utapewa.Lucas mwashambwa naomba namba YAKO pls.
Acha bana utoto huu, hamna mtu aliyebubujikwa na machozi wakati wananchi tuko busy na kuomba Mungu atusaidie kuingilia kati maisha yetu tunavyoteseka.!!Ukiwa sawa kichwani basi rejea hapa tena.
Bila shaka wewe ni mlevi uliyekesha bar ukinywa na kulewa na mpaka sasa bado ipo kichwaniAcha bana utoto huu, hamna mtu aliyebubujikwa na machozi wakati wananchi tuko busy na kuomba Mungu atusaidie kuingilia kati maisha yetu tunavyoteseka.!!
Hata huko CCM wenye CCM yao hawakujui ndiyo maana unahangaika sana kuparamia paramia watu wenye hela ili wakutupie makombo. Wenye CCM yao tunawajua jee unawaona wakiendesha uchawa kusifia sifia watu humu?Mimi ni mwana CCM
Hata lini wajinga mtaacha ujinga wenu?Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania.nimeandika na kuwaleteeni kile nilichoshuhudia.
Wenye CCM ni wana CCM wenyewe.CCM siyo mali ya mtu binafsi.Hata huko CCM wenye CCM yao hawakujui ndiyo maana unahangaika sana kuparamia paramia watu wenye hela ili wakutupie makombo. Wenye CCM yao tunawajua jee unawaona wakiendesha uchawa kusifia sifia watu humu?
CCM ina wenyewe na wewe si mmoja wao wewe utabaki kuwa mlamba viatu tu.Wenye CCM ni wana CCM wenyewe.CCM siyo mali ya mtu binafsi.
Mwenyewe ndiye mimi sasa ambaye ni Mwanachama wa CCMCCM ina wenyewe na wewe si mmoja wao wewe utabaki kuwa mlamba viatu tu.
Na uzuri mlevi siku zote anasema kweli, kazi kwako kuacha ujinga na uchawa..!!Bila shaka wewe ni mlevi uliyekesha bar ukinywa na kulewa na mpaka sasa bado ipo kichwani
Wewe ni kidampa tu ndiyo maana unateseka kujiabisha kwa kuwa chawa ukiamini kuwa ipo siku watakuita.Mwenyewe ndiye mimi sasa ambaye ni Mwanachama wa CCM
Mungu anakuona ila nimenawaMimi siyo chawa bali ni msema kweli siku zote
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Samia anapendwa sijapata kuona, anakubalika kama Nabii.kiukweli Mama anaheshimika kwa watanzania haijapata kutokea.
Nimeshuhudia Waumini katika makanisa mbalimbali wakiwa wamepiga magoti huku wakibubujikwa na machozi kumuombea heri Rais Samia utafikiri mabomu ya machozi yamepigwa makanisani .
Watanzania bila kujali itikadi zao za kisiasa wanakubali kuwa Mama huyu mwenye moyo wa upendo,huruma, unyenyekevu na uvumilivu ni mtu sahihi anayestahili kuungwa mkono na kuombewa sana.
Imani ya Watanzania ni Kuwa Mama Anatosha,Mama amekidhi matarajio ya wengi, Mama pamoja na changamoto mbalimbali lakini ameonyesha umadhubuti na uhodari katika kuzitatua na Kwamba Taifa ni salama Mikononi Mwake.
watanzania wameona na kukiri kwa vinywa vyao kuwa Maisha ya Mama yamekuwa kwa ajili ya kuwatumikia watu,kuleta matumaini na tabasamu kwa watu pamoja na kuwainua watu.ndio Maana wanabubujikwa na machozi kumuombea heri na Maisha Marefu pamoja na nguvu za kuendelea kututumikia na kutuongoza watanzania.
Kwa hakika Rais Samia anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.hii ni baada ya kugusa na kubadilisha maisha ya mamilioni ya watu wengi ,kwa kuwapa matumaini yaliyo hai kwa kuwafanya watanzania kuona kila uchao ni bora kuliko jana na kila mmoja kuliona tumaini machoni pake.
Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ni chaguo la Mungu Mwenyewe kumuinua kuliongoza Taifa letu. Hakuna mkono wa Mwanadamu uwezao kumshusha kwa hila ,wivu na chuki binafsi.View attachment 3190248
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Samia anapendwa sijapata kuona, anakubalika kama Nabii.kiukweli Mama anaheshimika kwa watanzania haijapata kutokea.
Nimeshuhudia Waumini katika makanisa mbalimbali wakiwa wamepiga magoti huku wakibubujikwa na machozi kumuombea heri Rais Samia utafikiri mabomu ya machozi yamepigwa makanisani .
Watanzania bila kujali itikadi zao za kisiasa wanakubali kuwa Mama huyu mwenye moyo wa upendo,huruma, unyenyekevu na uvumilivu ni mtu sahihi anayestahili kuungwa mkono na kuombewa sana.
Imani ya Watanzania ni Kuwa Mama Anatosha,Mama amekidhi matarajio ya wengi, Mama pamoja na changamoto mbalimbali lakini ameonyesha umadhubuti na uhodari katika kuzitatua na Kwamba Taifa ni salama Mikononi Mwake.
watanzania wameona na kukiri kwa vinywa vyao kuwa Maisha ya Mama yamekuwa kwa ajili ya kuwatumikia watu,kuleta matumaini na tabasamu kwa watu pamoja na kuwainua watu.ndio Maana wanabubujikwa na machozi kumuombea heri na Maisha Marefu pamoja na nguvu za kuendelea kututumikia na kutuongoza watanzania.
Kwa hakika Rais Samia anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.hii ni baada ya kugusa na kubadilisha maisha ya mamilioni ya watu wengi ,kwa kuwapa matumaini yaliyo hai kwa kuwafanya watanzania kuona kila uchao ni bora kuliko jana na kila mmoja kuliona tumaini machoni pake.
Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ni chaguo la Mungu Mwenyewe kumuinua kuliongoza Taifa letu. Hakuna mkono wa Mwanadamu uwezao kumshusha kwa hila ,wivu na chuki binafsi.View attachment 3190248
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe unaamini Kuna mahali Tanzania hii kwamba Kuna watu wamekesha purposely kumuombea samia?Hao Machizi tu. Wangekuwa na akili Wangeobea familia zao.