Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Juhudi zinafanyika kwa yaliyo ndani ya uwezo wetu na kumuomba Allah hatuachi.

Au uliona watu wamekaa tu?

Mleta mada ni kama anaumia Mola kutajwa na kusifiwa.

Allah atatukuzwa tu katika hali zote. Sifa zote njema zinamstahiki Allah. Aliye Mmoja tu hana mshirika.
Tayari wamemaliza kufukuliwa wote hapo kwenye hicho kifusi?
 
Nasikia kuna watu bado wamefukiwa kwenye kifusi, jitahidini kuongeza maombi waweze kufukuliwa, lakini zaidi sana mfanye maombi watawala waboreshe huduma za uokozi na usimamizi wa ujenzi na mipango miji.
Fanyeni maombi kwa haya pia ndio ya muhimu zaidi.

Wafanye Maombi Kwa Sheria Ipi?
Wewe kama hujui mambo ya kiroho ndîo unahangaika na mambo madogo yanayofanywa na weñye uelewa mdogo kwèñye hizô ishu.
 
Juhudi zinafanyika kwa yaliyo ndani ya uwezo wetu na kumuomba Allah hatuachi.

Au uliona watu wamekaa tu?

Mleta mada ni kama anaumia Mola kutajwa na kusifiwa.

Allah atatukuzwa tu katika hali zote. Sifa zote njema zinamstahiki Allah. Aliye Mmoja tu hana mshirika.
Kuna code ngumu sana kuelewa pale kwenye andiko.

Sisi waafrika tumepewa mambo mengi na mwenyeezi Mungu ila kwa sababu ya giza lililopo kichwani tumeshindwa kuona mwanga.

Bado kumtajataja sana Mola kila eneo/sehemu siyo ishara ya wema au kwenda peponi, wala haisaidii chochote kwake.

Waafrika dini zimetulevya sana kuliko vile tunavyotakiwa kuiendea hiyo dini.

Mfano mdogo; Kama Japan wangekuwa kama wewe, ile nchi isingekuwepo, kila wkt majanga ya matetemeko ila kwa sababu ya kutumia akili wanapata taarifa kabla tetemeko halijatokea.

Elewa hiyo point!
 
Maisha Bila Mungu hayafai kitu Yoda

Ukiwa Mpumbavu Huwezi elewa haya Mambo.
Na Moja ya Sifa ya Mpumbavu ni upumbavu usiojificha na kujifanya, kuwaza, kusema Hakuna Mungu au kutomtegemea Mungu.
Swali: mbona nchi ambazo watu walishaacha kwenda makanisani na wengine hawaamini uwepo wa Mungu ndiyo zenye maisha mazuri na hizi nchi zetu zenye kila aina ya mitume na manabii na mikusanyiko yote ya viongozi inaanza na maombi ndiyo zenye unyama, ufisadi na shida zilizopitiliza?
 
Kwa zaidi ya asilimia 60% hawana chochote wapo kama walivyo zaliwa.

Wachina Wana Amini katika Dini na mîungu wengi waô.
Wachache Sana ndîo hawaamini katika mîungu(atheists) na wengi waô ni wale weñye Elimu za magharibi na waliofungamana na ukatoliki
 
Swali: mbona nchi ambazo watu walishaacha kwenda makanisani na wengine hawaamini uwepo wa Mungu ndiyo zenye maisha mazuri na hizi nchi zetu zenye kila aina ya mitume na manabii na mikusanyiko yote ya viongozi inaanza na maombi ndiyo zenye unyama, ufisadi na shida zilizopitiliza?
Wapalestina kila siku Allah,Allah,Allah je mabomu ya Israel yamekoma ? wameacha kuuawa ?

Hakuna mabadiliko yoyote.
 
Mtoa hoja ana point yenye code ukisoma kama gazeti la serikali unajaza server 😂!.

Ila ukweli hii issue ya dini imetulevya wengi sana, hata eneo ambalo tunatakiwa kutumia akili hii tuliyopewa na Maulana bado tunaweka dini.

Jambo baya sana hili, mwenyeezi Mungu alitupa mamlaka ya kutawala kila kitu duniani, lakini leo binadamu ndiye anatawaliwa na hivyo vitu, kalaghabao!.

Hapo kwenye jengo badala ya kufanya jitahihada kuokoa watu wanamuomba subhuanah/ Mola afanye wepesi wengine waokoke humo!, HAIWEZEKANI KAMWE, lazima wewe ndiye ukatoe msaada wa kumuokoa siyo Mungu aje kuokoa.

Yeye ashakupa mamlaka ya kufanya lolote mtu apone, unapomuacha afe basi unabeba jukumu la hukumu kwa kuua - note that!.
Ndugu yangu wee, sema, mimi nitaambiwa ni mpingaji. Unajenga ghorofa bila viwango na huna kikosi cha uokoaji halafu likidondoka Mungu ndiyo ''akufanyie wepesi''.
 
Swali: mbona nchi ambazo watu walishaacha kwenda makanisani na wengine hawaamini uwepo wa Mungu ndiyo zenye maisha mazuri na hizi nchi zetu zenye kila aina ya mitume na manabii na mikusanyiko yote ya viongozi inaanza na maombi ndiyo zenye unyama, ufisadi na shida zilizopitiliza?

Nchi Ipi hizô Mkuu.

Kwenda Kanisani au kutokwenda Haimanishi Mtu haamini katika Miungu.

Nchi za Magharibi zimepata maendeleo Makubwa Sana Kwa kuamini uwepo wa Miungu.
Zimejengwa na wanaoamini katika Mîungu.

Ni Sawa na wachagga wa Zamani ndîo walikuwa kizazi Bora Kwa sababu waliamini katika mîungu tofauti na wachaga wa kileo.
 
Wachina Wana Amini katika Dini na mîungu wengi waô.
Wachache Sana ndîo hawaamini katika mîungu(atheists) na wengi waô ni wale weñye Elimu za magharibi na waliofungamana na ukatoliki
Wachina kutokuamini katika mungu hakujaa leo na hakujaanza juzi tu hapo ukatoliki ulipoanza

Wamekuwa wakiishi hivyo pasipo kuzingatia masuala hayo kwa muda mrefu hata kabla ya ukomunisti na serikali inayotambulika rasmi kuwa ni serikali rasmi inayoishi katika misingi ya ukana Mungu.

Ukatoliki China haujawabadili chochote ila wenyewe ndio wame umebadilisha mpaka papa na Kanisa kila siku wanalia lia kuhusu wachina na serikali yao.
 
Back
Top Bottom