Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Wewe unapoelezea neno Mungu unalielewaje?
Mungu ni neno uchwara mlilo jitungia vichwani mwenu ninyi watu wa dini na imani, Mnalo amini, lina uwezo wa kutenda yote na ndio muumbaji wa vyote.
Embu fafanua jinsi unavyoelewa dhana Mungu Kisha tujadili maswali uliyouliza.
Mungu ni dhana uchwara inayo aminiwa na nyie watu wa imani pamoja na dini kwamba ndio muumbaji, mmiliki na mwendeshaji mkuu wa ulimwengu.
Maana siô ajabu haya dhana yenyewe huielewi na wengi wa atheists ambao hawana elimu ya kiroho ndipo hukwama
Elimu ya kiroho ni nini?

Roho ni nini?

Na unathibitishaje roho ipo?

Au unaongea dhana zako uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule..!!
 
Asikudanganye mtu! Kwa hulka ya Mwanadamu katika hali ya kawaida huwa hamkumbuki Mungu.
Lakini kwenye kifo ndipo wakati Mwanadamu anamkumbuka Mungu.
Usidanganyike! Watu wana dini lakini hawana Mungu.
Wakati mwingine Mungu huachia mabaya kwa watu ili wamkumbuke na kumrudia.
 
Maisha Bila Mungu hayafai kitu Yoda

Ukiwa Mpumbavu Huwezi elewa haya Mambo.
Na Moja ya Sifa ya Mpumbavu ni upumbavu usiojificha na kujifanya, kuwaza, kusema Hakuna Mungu au kutomtegemea Mungu.
Kama Mungu yupo kwa nini aliruhusu Ghorofa liwashukie waja wake? Au wote ni wazambi?
 
Asikudanganye mtu! Kwa hulka ya Mwanadamu katika hali ya kawaida huwa hamkumbuki Mungu.
Lakini kwenye kifo ndipo wakati Mwanadamu anamkumbuka Mungu.
Usidanganyike! Watu wana dini lakini hawana Mungu.
Wakati mwingine Mungu huachia mabaya kwa watu ili wamkumbuke na kumrudia.
Kwani wasipo mkumbuka anapungukiwa nini?
 
Hata muombe vipi majanga yapo na yataendelea kuwepo
Maombi huwa nahisi ni hamu ya miujiza itokee baada ya kukutana na kitu ambacho kimetuvuka uwezo kifikra na kukitatua.
Maombi yapo kwa ajili ya kujazana tumaini tu wala hayanaga vitendo vya live kwenye kusaidia mkwamo wa mtu ama situation.
MUNGU gani mpaka tumuambie(tumuombe) ndo afanye? Kwani hajui kama watoto wake watakuja kuangukiwa na ghorofa na je hajui kama wanafamilia wanatakiwa warudi kwao ila bado karuhusu wakwame kwenye kifusi wakati anajua kabisa rescue team yetu ilivyo?
 
Maombi huwa nahisi ni hamu ya miujiza itokee baada ya kukutana na kitu ambacho kimetuvuka uwezo kifikra na kukitatua.
Maombi yapo kwa ajili ya kujazana tumaini tu wala hayanaga vitendo vya live kwenye kusaidia mkwamo wa mtu ama situation.
MUNGU gani mpaka tumuambie(tumuombe) ndo afanye? Kwani hajui kama watoto wake watakuja kuangukiwa na ghorofa na je hajui kama wanafamilia wanatakiwa warudi kwao ila bado karuhusu wakwame kwenye kifusi wakati anajua kabisa rescue team yetu ilivyo?
Utachomwa moto shauri yako.
 
Kwa nini unaona tunapaswa kuamini na sio kujua mkuu?

Kwa Sababu Akili ya binadamu Iko limited,
Ingekuwa Akili ya binadamu ni infinity tusingekuwa na haja ya Kuamini.

Akili ya binadamu inategemea milango ya fahamu àmbayo Iko limited ili kuthibitisha uwèpo wa Jambo.

Mfano, MTU àmbaye ni kiziwi au kipofu Huwezi kuniambia kwamba anatakiwa kujua kûna kitu kinaitwa sauti ambacho tangu kuzaliwa hajawahi kukisikia.

Au Mtu àmbaye NI kipofu Huwezi kumtaka ajue uwèpo wa Nuru àmbayo tangu kuzaliwa hakuwahi kuiona.

Hivi Siku kipofu tangu kuzaliwa àmbaye hajawahi kuona Mwezi Hapo angani akikuambia hakuna Mwezi utamthibitishiaje?
 
Mkuu tuwekane sawa kwanza. Ni Mungu yupi tunayemjadili? Mungu wa waarabu au wazungu au wa kienyeji?

mungu yeyote tuu Mkuu Kwa sababu kîla Mtu anaamini Mungu wake ndiye Mungu Mkûu.

Mtoa Mada anataka kueleza tukio lililotokea, waamini wanaoomba kuwa wanapoteza Muda na kufanya jambo lisilo na maana au faida
 
Wakati mwingine Mungu huachia mabaya kwa watu ili wamkumbuke na kumrudia
Mungu hausiki na mabaya au uovu wowote, wala haruhusu uovu au mabaya yatokee.

Wewe usipotambuwa kwa akili ukweli, usipojua jambo lipi ni jema utasababisha hasara, uharibifu, uchungu, maumivu na vifo; utaingilia mpangilio wa shughuli za vitu vingine.
 
Back
Top Bottom