Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hiyo ni kulingana na wewe.Akiwa na upumbavu katika mambo mengine lakini sio katika Hilo.
Una amini kuna Mungu unayemtegemea, Halafu kwenye majanga, Huyo Mungu unaye mtegemea na kumtumainia haonekani akitoa msaada wowote.
Kama wewe sio Mpumbavu ni nini?
Ni uwendawazimu wa hali juu, Unakaa una amini kuna Mungu wa kukuokoa, Halafu yakitokea majanga, unaomba binadamu wenzako waje kukuokoa.
Kwa nini usi subiri huko chini ya kifusi, Huyo Mungu wako unayemtegemea aje aku okoe?