passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Katika kamusi ipi tunapata maana hii?Kwa tafsiri yenyewe na neno "upumbavu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika kamusi ipi tunapata maana hii?Kwa tafsiri yenyewe na neno "upumbavu"
Haka kafilosofia ka JF hakawezi kukuelewa,...kanajikutaga kana nondo kweli,...😁😁😂😂😂😂Mungu ni neno uchwara mlilo jitungia vichwani mwenu ninyi watu wa dini na imani, Mnalo amini, lina uwezo wa kutenda yote na ndio muumbaji wa vyote.
Mungu ni dhana uchwara inayo aminiwa na nyie watu wa imani pamoja na dini kwamba ndio muumbaji, mmiliki na mwendeshaji mkuu wa ulimwengu.
Elimu ya kiroho ni nini?
Roho ni nini?
Na unathibitishaje roho ipo?
Au unaongea dhana zako uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule..!!
Sawa ndugu nabii, kwahiyo juu kwa Marekani nisawa na juu kwa Tanganyika saii au kuna juu ngapi na Yesu alipaa kwa juu ya pande ipi au pande zote za globe?😀Juu mawinguni mbingu ya saba😊
Basi tuseme yesu alitokomea tu alifutika vuuuuup 🤔Sawa ndugu nabii, kwahiyo juu kwa Marekani nisawa na juu kwa Tanganyika saii au kuna juu ngapi na Yesu alipaa kwa juu ya pande ipi au pande zote za globe?😀
unapiga sana kwenye mishono,...kwani sehemu zingine huoni mkuuu?😂😂🙌🙌Hiyo ni kulingana na wewe.
Una amini kuna Mungu unayemtegemea, Halafu kwenye majanga, Huyo Mungu unaye mtegemea na kumtumainia haonekani akitoa msaada wowote.
Kama wewe sio Mpumbavu ni nini?
Ni uwendawazimu wa hali juu, Unakaa una amini kuna Mungu wa kukuokoa, Halafu yakitokea majanga, unaomba binadamu wenzako waje kukuokoa.
Kwa nini usi subiri huko chini ya kifusi, Huyo Mungu wako unayemtegemea aje aku okoe?
Kuna mtu alikuuliza hapo juu unazungumzia Mungu yupi?Nimekuambia kipofu unamthibitishiaje kûna Mwezi juu ya anga?
Kama utashindwa kuthibitisha itaamaanisha Mwezi haupo?
Kuwa na kipofu tu ni uthibitisho tosha kuwa hayupo.Nimekuambia kipofu unamthibitishiaje kûna Mwezi juu ya anga?
Kama utashindwa kuthibitisha itaamaanisha Mwezi haupo?
Kwa tafsiri yenyewe na neno "upumbavu"
Uko sahihi Kabisa ..Kwa nini unaona tunapaswa kuamini na sio kujua mkuu?
Dah Hii hoja Imebidi Nikaiprint kabisa 🤣🤣🤣Kuna mtu alikuuliza hapo juu unazungumzia Mungu yupi?
Dhana nzima ya kupinga uwepo wa Mungu ni mkanganyiko wa sifa alizopewa katika vitabu vya dini na uhalisia wa mambo.
Kipofu akikuambia ninaweza kuendesha BMW X5 kwa spidi ya 180km/ph utaamini au utaomba uthibitisho?
Watanzania tunampenda Mungu wa Wazungu na Waarabu lakini hatupendi.Katika mkasa wa jengo la Kariakoo kuanguka nimewasikia watu wengi wanaotegemea watu kutolewa au ambao waliangukiwa na jengo wakiomba na kushukuru Mungu, Allah au Yesu katika mkasa huo mkasa. Kila posti niliyosoma mtandaoni, kila clip au maongezi ya kila mtu aliyefukuliwa huwezi kuyakosa haya maneno(Maombi, Mungu, Allah, Ya Rabbi, Alhamdulillah na Yesu)
Hakika Watanzania dini imewakaa, ni viumbe wa kidini, bila dini na mungu sidhani kama wana tumaini lolote au muelekeo wowote wa maisha.
Kwa watawala ni shereheUpo sahihi watanzania ni watu wa imani sana
Kumbe neno lenyewe linataka mtu upate kujua kwa hakika na sio kuamini tu🤔Uko sahihi Kabisa ..
Mungu anasema Tusiamini Ila Tumjue...
Neno kuamini limekaa Kitumwa Tumwa sana ni bora neno Kumjua Mungu..
Ayubu 22:21
"Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;
Ndivyo mema yatakavyokujia."
NA Hata Yesu aluwahi Kufundisha..
Yohana 8:32
"Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru."
And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
wakwetu ni yupi?Watanzania tunampenda Mungu wa Wazungu na Waarabu lakini hatupendi.
Ndiyi Ukiamini Umeenda Kinyume na NenoKumbe neno lenyewe linataka mtu upate kujua kwa hakika na sio kuamini tu🤔
Siyo lazima uwe naye.wakwetu ni yupi?
Mungu yupo, wapi?Mungu yupo ndugu Hilo halina ubishi, haushangai hata taifa la wajanja zaidi marekani wanamuamini Mungu wewe ni Nani upinge,in God we trust