Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mungu ndo anayepanga mambo yote hapa duniani, au umesahau?Sijui Mungu hasikii?😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ndo anayepanga mambo yote hapa duniani, au umesahau?Sijui Mungu hasikii?😁😁😁😁
InasikitishaMaombi huwa nahisi ni hamu ya miujiza itokee baada ya kukutana na kitu ambacho kimetuvuka uwezo kifikra na kukitatua.
Maombi yapo kwa ajili ya kujazana tumaini tu wala hayanaga vitendo vya live kwenye kusaidia mkwamo wa mtu ama situation.
MUNGU gani mpaka tumuambie(tumuombe) ndo afanye? Kwani hajui kama watoto wake watakuja kuangukiwa na ghorofa na je hajui kama wanafamilia wanatakiwa warudi kwao ila bado karuhusu wakwame kwenye kifusi wakati anajua kabisa rescue team yetu ilivyo?
Ni kweliKwa watawala ni sherehe
Unaniita shetani kwani mimi ndiye nimefukia watu kwenya kifusi cha ghorofa Kariakoo?Watu wanaomba na kufunga na kukesha hata Kama hakuna janga lolote. Ukitaka kuwazuia lete hoja nzito kuliko hizi zilizotufunga kwenye imani. Ukishindwa kwendraaaa, maana wewe Ni shetani tu Kama mashetani wengine.
Sasa kwani wewe umeona watu wamehimiza kusali baada ya ghorofa kuanguka? Ibada zipo tu siku zote. Akina mwamposa wanafanya ibada kila siku,Unaniita shetani kwani mimi ndiye nimefukia watu kwenya kifusi cha ghorofa Kariakoo?
Nimeleta hoja gani zaidi ya kuelezea kile ambacho ninakiona kinatendeka katika jamii??
DR MJ sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni neno la Mungu.Tino Hapa umedanganya Mungu ndo anausika na Uovu wote na Ubaya wote..
Isaya 45:7
"Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni Bwana, niyatendaye hayo yote."
"I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things."
😳😳😳DR MJ sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni neno la Mungu.
Biblia ni chanzo msingi katika kutafuta na kujua ukweli. Lakini hatuwezi kutegemea biblia peke yake katika kuthibitisha huo ukweli.
Ouvu maana yake ni nini?Kama Mungu hausiki na mabaya au uovu, Pia Mungu huyohuyo Hausiki na mema na mazuri yoyote.
Matendo yote ambayo wewe hutaki kufanyiwa.Ouvu maana yake ni nini?
Ubongo mdogo alionipa ndo umegundua yeye hayupo sasa atanichomaje moto yaani unaleta habari za umetengeneza baiskeli bila break alafu ikikuvunja miguu hapo utamlaumu nani?Mkuu ni bora uamini hata kama hayupo haitakupunguzia chochote kuliko ukute yupo na haujaamini utaona cha mtema kuni, utapigwa kibiriti halafu haufi unateseka tu milele mkuu🤔
Augostino😂😂Ngoja atuambie huo ukweli tunaupata vip nnje ya biblia🤔
Ukweli unatafutwa kwa kufikiri na kufanya uchunguzi. Kusoma biblia au kuhudhuria masomo darasani bila kufikiri na kufanya uchunguzi hakufanyi mtu kupata maarifa.Hii Mpya @min -me nisaidie Mimi nimeishiwa Nguvu huku..
Sasa Ukweli nina upataje kama Biblia sio Neno la Mungu
Wasikutishe,watanzania ni washirikina sana wanajifanya wako karibu na Mungu adharani ila kwa waganga ndio wenyeweKatika mkasa wa jengo la Kariakoo kuanguka nimewasikia watu wengi wanaotegemea watu kutolewa au ambao waliangukiwa na jengo wakiomba na kushukuru Mungu, Allah au Yesu katika mkasa huo mkasa. Kila posti niliyosoma mtandaoni, kila clip au maongezi ya kila mtu aliyefukuliwa huwezi kuyakosa haya maneno(Maombi, Mungu, Allah, Ya Rabbi, Alhamdulillah na Yesu)
Hakika Watanzania dini imewakaa, ni viumbe wa kidini, bila dini na mungu sidhani kama wana tumaini lolote au muelekeo wowote wa maisha.
Umepewa machaguzi mkuu🤔🤔 wewe binafsi ,bila yeye kukuingilia ukichagua motoni ni wewe mwenyewe tu yeye hausiki😂😂😂Ubongo mdogo alionipa ndo umegundua yeye hayupo sasa atanichomaje moto yaani unaleta habari za umetengeneza baiskeli bila break alafu ikikuvunja miguu hapo utamlaumu nani?
Ni sawa yeye alivyotushushia li shetan hapa duniani alafu limetuzoa wote zambini alafu atatuchomaje moto na wakati katuletea matatizo ye mwenyewe
Kwa bahati mbaya Sana mambo ya Imani Ukishaweka Fikra tu na Uchunguzi yote unayapoteza..Ukweli unatafutwa kwa kufikiri na kufanya uchunguzi. Kusoma biblia au kuhudhuria masomo darasani bila kufikiri na kufanya uchunguzi hakufanyi mtu kupata maarifa.
Wengine wanakubali kuowa mke zaidi ya mmoja na wengine mke zaidi ya mmoja sio sahihi.Matendo yote ambayo wewe hutaki kufanyiwa.