mkuu itakua na wewe ni wale wale wanaotajwa hapa maana hakuna certificate ya wiki moja..we humuoni Lukuvi mana nae alienda huko miaka ya 1970s kwa course ya wiki moja kuchukua certificate ya political science...............VODKA inahusika hapa
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.
Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi wakirudi na wakarudi nchini wengi wao huwa wanakuwa hawana akili nzuri, nimefatilia hilo kwa kipindi kirefu sana.
Nina baba yangu mdogo alisoma Urusi kwa kipindi cha kipindi cha miaka saba aliporudi nchini amekuwa mlevi wa kupindukia haeleweki kabisa mambo anayoyafanya wakati alipokuwa akiondoka alishakuwa daktari mzuri tu.
Mwingine ni mjomba wa rafiki yangu wa karibu, yeye siku ambayo mjomba wake anafika airport walimshangaa kwakuwa jinsi walivyomkuta hawakutegemea kabisa alikuwa kama chizi chizi tu na muda huu ninapoandika thread hii mjomba wa rafiki yangu huyu ni kichaa kabisa.
Ni wengi sana ninaowafahamu walienda kusoma Urusi wakiwa na akili nzuri tu na waliporudi wamerudi wakiwa hawana akili timamu kabisa yaani wanakuwa hawaeleweki eleweki kabisa.
Nikawa nafikiria pengine wakifika nchi za watu wanaiga sana tabia ya kunywa pombe kwakuwa wenzetu wa Urusi wanakunywa sana pombe hivyo pombe hizo zinawaathiri nikagundua kuwa sikweli kwakuwa hata Ujerumani ni wanywaji wazuri sana wa pombe lakini watanzania wanaosoma huko hawapo kama ndugu zetu (wengi) walisoma Urusi.
Je? Warusi huwa wanachezea akili za Watanzania? hili tatizo lipo kwa watanzania tu?
pia kuna muhadhiri mmoja wa dit kadata namfahamu.
mkuu itakua na wewe ni wale wale wanaotajwa hapa maana hakuna certificate ya wiki moja..
Ninyi...acheni kuwa zushia...! Warusi, Mbona mwalimu (alisomewa Urusi) wangu bado yuko fiti na anaendesha shirika la Serikali bila matatizo tena huyo alikuja na mke wa kirussia kabisa...!!aisee..ukweli kuna jambo kt nchi hyo.ata mm wpo ninao wajua walio wahi kusoma urusi na kurudi kuambulia O".
.....
Ushauri: Serikali isiwe inawatelekeza hawa watoto na vijana wetu walio kule. Iwe inajaribu kufanya follow ups na kujua maendeleo yao academically. Elimu ya Russia ni nzuri sana, lakini kuna udanganyifu wa hali ya juu kwenye kupata marks na hatimaye cheti.
Yawezekana na Kiranga ni zao la huko...! Natania, yeye alisoma kitabu kimoja hivi ndicho kilichombadilisha...siyo Urusi.Hata mimi nna kakaangu alienda kusoma urusi aliporudi akawaanapinga uwepo wa Mungu.
juzi kati nilipewa certificate of completion kwa training ya siku tatu na malipo ya dola 200....
participants wanapewa =>certificates of attendance
Hivi mtu ukiwa unapiga mitungi daily wewe ni chizi? Mbona wavuta sigara daily maofisini hamuwaiti machizi? Acha tupige mitungi hadi kuchee,
Mimi Nafikiria ni Tatizo la Mtu mwenyewe na Sio warusi. Mimi nawaelewa wengi waliosoma na Hivi sasa wanamafanikio ya kutosha nakutajiaa.
1. Kuna Daktari wa Wanawake yuko Mnazi mmoja Zanzibar anaitwa Dr. Juma ambaye hata Muhimbili wanamtumia yeye wiki mara mo anakwenda Muhimbili.
2. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar vile vile Kasoma Urusi Jina Dr. Garu
3. Dr. Talib Ali yeye kamaliza Urusi, kafanya kazi Muhimbili miaka miwili, baadaye kaenda Amerika kasoma na hivi sasa kaanzisha Detal clinik ya kwake mwenyewe karibu na washington nenda inaitwa AVATAR Dental clinic
Na wengi ninawaelewa
4. Mimi mwenyewe nimesoma Urusi, Baadaye nimefanya kazi Tanzania miaka 5, na Hivi sas niko Ujarumani na nafanya kazi kwenye Consulting Company kwa miaka 10 hivi sasa kama Structural Engineer
Tatizo liko kwo wenyewe
asante Mungu maana BABA yangu hakurudi na hali hiyo