Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

we humuoni Lukuvi mana nae alienda huko miaka ya 1970s kwa course ya wiki moja kuchukua certificate ya political science...............VODKA inahusika hapa
mkuu itakua na wewe ni wale wale wanaotajwa hapa maana hakuna certificate ya wiki moja..
 

Duuh basi inategemea mana mm nina bro wangu kasoma mpk master Russia yupo vizuri na anakula shavu now vilevile kuna classmate wangu kamaliza degree now yupo USA army anakula bata
 
mkuu itakua na wewe ni wale wale wanaotajwa hapa maana hakuna certificate ya wiki moja..

mkuu certificates zipo hata za siku moja.... mfano workshop mbalimbali hufanyika siku 1 au mbili au wiki..


participants wanapewa =>certificates of attendance
 
Nina kaka yangu kasomea urussi na sasa ni assistant lecture wa university flani hapa bongo.....huyu jamaa ni matatizo ile mbaya yaan namshangaaga sana judgemements zake

aliporudi alikuwa na pombe za kufa mtu kwenye mabegi mawili
 
aisee..ukweli kuna jambo kt nchi hyo.ata mm wpo ninao wajua walio wahi kusoma urusi na kurudi kuambulia O".
Ninyi...acheni kuwa zushia...! Warusi, Mbona mwalimu (alisomewa Urusi) wangu bado yuko fiti na anaendesha shirika la Serikali bila matatizo tena huyo alikuja na mke wa kirussia kabisa...!!
 

Ahsante sana kwa maelezo yako . naomba ufafanuzi juu ya udanganyifu wa kupata marks na hatimaye cheti.
 
Ila hiu inawezekana, nilikua na headmaster wangu pale kahama wigehe anaitwa makonda nae alisoma huko,dah alkua na wenge balaaaa
 

Hongera sana
 
Mimi ninayo mifano miwili tu. Nahisi lipo tatizo kubwa ambalo limefungiwa macho. Hao wawili waliondoka hapa wakiwa vizuri tu. Wamerudi wote wakiwa punguani.
 
Aisee kuna ukweli juu ya hili. Mimi namfahamu mzee mmoja kaka yao na akina Joyce Mhavile (yule wa ITV) nae alisoma huko Russia ni chapombe balaa na ni kama kadata hivi. Tumepotezana miaka mingi sana sijui kama yupo hai ila ni mzee maarufu sana alizoea kutembelea Kinondoni na Mtoni kwa Azizi anajulikana kama Mzee Mhavile.
Inabidi nimcheki classmate wangu naye yupo huko Urusi mwaka wa9 sasa kazamia. Ntaongea na nduguze juu ya hili make nae nasikia siku hizi ni mzee wa mvinyo sana wakati wazazi wake wanamtegemea.
 
Jamani mmesahau na jambo moja,sio kuwa machizi tu Bali hukana dini zote na kusema hakuna MUNGU,nawajua watano akiwemo kingunge,wakirejea tu wanajitoa mwenye dini na kusema hakuna dini wala MUNGU.
 
Wote wanarudi na watoto wa kirusi. Mfano prof mwampamba, dr balampama nk. Ukitaka kwenda class mtoto anakubembeleza mpate mavitu.
 
hii ni kweli kuna mshua wa best yangu apa alirud miaka ya 1990 akaja na mavideo redio na vitu km imbavyo bongo kumilik ilikuwa ndoto..sasa alipoenda mara ya pili sa iv karud haelewek anawashaur wtt wake akiwepo rafk yangu aache chuo waende nae russia na mzee kashakanyaga 67 years now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…