Mimi Nafikiria ni Tatizo la Mtu mwenyewe na Sio warusi. Mimi nawaelewa wengi waliosoma na Hivi sasa wanamafanikio ya kutosha nakutajiaa.
1. Kuna Daktari wa Wanawake yuko Mnazi mmoja Zanzibar anaitwa Dr. Juma ambaye hata Muhimbili wanamtumia yeye wiki mara mo anakwenda Muhimbili.
2. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar vile vile Kasoma Urusi Jina Dr. Garu
3. Dr. Talib Ali yeye kamaliza Urusi, kafanya kazi Muhimbili miaka miwili, baadaye kaenda Amerika kasoma na hivi sasa kaanzisha Detal clinik ya kwake mwenyewe karibu na washington nenda inaitwa AVATAR Dental clinic
Na wengi ninawaelewa
4. Mimi mwenyewe nimesoma Urusi, Baadaye nimefanya kazi Tanzania miaka 5, na Hivi sas niko Ujarumani na nafanya kazi kwenye Consulting Company kwa miaka 10 hivi sasa kama Structural Engineer
Tatizo liko kwo wenyewe