Ni kweli Warundi wa Kigoma ni wenyeji wa asili waa hii nchi.Kama wewe mrundi wa Kigoma.
Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Kwa nini wasiende kongo au sudani kusaidia Waafrika wenzao wanakufa njaaWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Huko Sudan uhakika wa tikt yakwenda kwa mabikra 72 haupo msemo wamdau mmoja wanataka tkt yakwenda kwa mabikra na tkt hyo ipo kwa Netanyau AkbariiKwanini wasiende 🇸🇩 Sudan kwa Weusi wenzao?!
Au Darfur ambako Janjaweed Arab Militias wanafanya Genocide dhidi ya Watu weusi.
Au waende DRC
Umeingia mdudu🤦Kwa hio ule mpango wewe?
Kwani vyoo vyao unasafisha wewe au mkeo mpaka ukojoe bure?Ukienda YMCA taasisi ya wakatoliki pale posta ukitaka kujisaidia haja ndogo lazima ulipie.
Kwamba Tanzania Haina uwezo wa kuipa misaada Palestine? Mpaka umeamini hiyo ni Photoshopped.Photoshop hiyo.
Usifanye hivyo mboni tulishakubarianaUmeingia mdudu🤦
ALLAHU AKBARU! USIJE KUTUCHINJA BUREUsiwe punguani wewe nyie wajinga wajinga ndiyo mnawapa utajiri kina Mwambosa, yaani watu wanakaliwa ardhi yao kwa mabavu unawaita magaidi ndiyo maana unaona hata UN na mataifa ya Ulaya yanaojilewa wanajua kuwa Hamas wanapambana na magaidi ya Israel ni mashoga peke yao ndiyo wanasema Hamas ni Magaidi.
Jambo jema ...Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Angalia mlivyo wanyama. Huyo ni muislamu mwenzio ambaye alimchinja raia wa watu Uingereza mchana kweupe! Halafu akamkatakata kama muuza nyama wa butcherUsiwe punguani wewe nyie wajinga wajinga ndiyo mnawapa utajiri kina Mwambosa, yaani watu wanakaliwa ardhi yao kwa mabavu unawaita magaidi ndiyo maana unaona hata UN na mataifa ya Ulaya yanaojilewa wanajua kuwa Hamas wanapambana na magaidi ya Israel ni mashoga peke yao ndiyo wanasema Hamas ni Magaidi.
Ukweli usio na shaka wameenda kwa mtizamo wa kidini.Japokuw msaada ni msaada lakin ni salama saana tuu endapo serikali yetu imelichakata na kuliruhusu litanyike liluvyofanyika.Kwa nini wasiende kongo au sudani kusaidia Waafrika wenzao wanakufa njaa
Kujipendekeza kwa Waarabu tu kisa dini
Kuna watu wajinga hao watu hawajaona watu wenye shida na maji Sudan au kwa sababu Israel inawaruhusuWanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
watu ndio wanatakatisha hela hivyoRoho mbaya za wagalatia sasa Gaza kupewa maji na Watanzania wewe unaumia lini imeletwa humu? Weka lnk.
Nyie ndiyo mpo mjini mnajitapa kijiji kwenu wazee wenu bado wanakunya kwenye mashimo.
Baadhi ya walokole wajinga sana halafu waongo hili tukio limetokea tarehe 29/10/2024 wewe punguani unasema ya siku nyingi😂 angalia wameweka na tarehe mbele ya gari.
Watanzania adha ya maji tuna ujuzi nayo.Wanaukumbi.
Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
View attachment 3142390
Hiyo hali ya dhulma ipo kwa zaidi ya miaka 75 sasa.Dah! Ila hii vita wanaoumia ni wananchi wa kawaida kabisa ambao hawana makosa. Yaani naangalia hii video nasikitika sana aisee.. Ifike pahala kama dunia imekaa kimya na kushindwa kusaidia gaza basi wakubali tu kishindwa waachie mateka na vita iishe. This is Sad, Tatizo wanaweza achia mateka na bado kichapo kikaendelea , hapo ndio shida ilipo,
Unamaanisha kila nchi zenye maliasili kama tz lazma ziwe kama gaza sio na je tangu tupate uhuru washawahi anzisha vurugu!? Tatizo sis waafrika tuna weak bond baina yetu na mataifa yetu kwa ujumla ,tusitafte mchawi nani.Tupo kama mwili usio na kinga hivyo ni vyepesi kushambuliwa hata na maradhi ya kawaida.Tusipende kuwalaum wazungu kwa kila kitu.Hiyo hali ya dhulma ipo kwa zaidi ya miaka 75 sasa.
Wakilimaliza huko sasa wanafata maliawsili za Tanzania. Huko kinachowasumbuwa ni gas tu iliyopo Ghaza.