Kufanywa Ghaza mpka uwe hukubali kuwachia.Unamaanisha kila nchi zenye maliasili kama tz lazma ziwe kama gaza sio na je tangu tupate uhuru washawahi anzisha vurugu!? Tatizo sis waafrika tuna weak bond baina yetu na mataifa yetu kwa ujumla ,tusitafte mchawi nani.Tupo kama mwili usio na kinga hivyo ni vyepesi kushambuliwa hata na maradhi ya kawaida.Tusipende kuwalaum wazungu kwa kila kitu.
Lakin wanajua kabsaa hata kias tunachokipata kina ishia mikonon mwa wachache yaan wanatujua ubinafsi.Wana jua mali tulizo limbikiza kwao,kwa udhaifu huo tulionao unawapa nguvu ya kutuvuruga.kiufupi wana tujua tulvyo cheap katika angle hizo.Kufanywa Ghaza mpka uwqe hukubali kuwachia.
Tanzania tumewawachia wenyewe, wachukuwe watakavyo, tulijidai kubana, mara mbili, wakati wa nyerere na wakati wa magufuli, kuminywa kidogo tu tukawachia wenyewe.
Tanzania wanakuja kujikita kabisa bila bughdha yoyote, wanajichotea watakavyo.
Hao wachache mpaka wawape wao. Hakuna mwenye ujanja wa kujipa mwenyewe.Lakin wanajua kabsaa hata kias tunachokipata kina ishia mikonon mwa wachache yaan wanatujua ubinafsi.Wana jua mali tulizo limbikiza kwao,kwa udhaifu huo tulionao unawapa nguvu ya kutuvuruga.kiufupi wana tujua tulvyo cheap katika angle hizo.
Umejazwa ujinga na umekujaa. Hao walikuja kuwaokowa bibi zako.Hawa wasiopewe misaada waliwatesa sana bibi zetuuu hawaaa warabu
Yeah lakin hao wachache wanaaksi hulka zetu na usisahau tz hapa kamfumo kaisko rasim kwamba serikali haina shukrani kwahyo ukipata nafas piga hasa.Sas akili kama hizi zikimwagwa dollar za kutosha watu wanaweza salitiana na bila kujua tulipokosea utashangaa tunawalaum wazungu.Hao wachache mpaka wawape wao. Hakuna mwenye ujanja wa kujipa mwenyewe.
Huwezi kufanya lolote bila kuidhinishwa na kuwekwa na mabwabwa wakubwa wa dunia.Yeah lakin hao wachache wanaaksi hulka zetu na usisahau tz hapa kamfumo kaisko rasim kwamba serikali haina shukrani kwahyo ukipata nafas piga hasa.Sas akili kama hizi zikimwagwa dollar za kutosha watu wanaweza salitiana na bila kujua tulipokosea utashangaa tunawalaum wazungu.
Hivi dada Faiza ungepewa uwezo wa kuamuru amani kati ya DRC,Dafur na Gaza wew ungeanza kuamuru amani ianzie wap kat ya hayo maeneo kwa interval ya miaka miwili miwili kutoka kumuru katika eneo moja hadi jingine?.Umejazwa ujinga na umekujaa. Hao walikuja kuwaokowa bibi zako.
Tazama bibi zako walioolewa na Waarabu na walioolewa na wasio Waarabu utapata jibu.
Ningewaambia piganeni muuwane mpaka muheshimiane. Mkiheshimiana tayari mtaamuwa nani atawale.Hivi dada Faiza ungepewa uwezo wa kuamuru amani kati ya DRC,Dafur na Gaza wew ungeanza kuamuru amani ianzie wap kat ya hayo maeneo kwa interval ya miaka miwili miwili kutoka kumuru katika eneo moja hadi jingine?.
Kuidhinishwa ni kitu kingne na kusmamia rasilimali ni kitu kingne.Huwezi kufanya lolote bila kuidhinishwa na kuwekwa na mabwabwa wakubwa wa dunia.
Kama huna ujasiri wa Ibrahim Traore endelea kuufyata tu.
Sawa basi endelea kuenjoy kinacho endelea Gaza mpaka hapo watakapo heshimiana na na mbethlehem wa yudea.Ningewaambia piganeni muuwane mpaka muheshimiane. Mkiheshimiana tayari mtaamuwa nani atawale.
Huwezi kusimamia hizo rasilimali kwa kuamuwa kwako tu bila kuwa na ujasiri wa Mujahid Ibrahim Traore.Kuidhinishwa ni kitu kingne na kusmamia rasilimali ni kitu kingne.
Tena na enjoy sana. Wewe hui enjoy?Sawa basi endelea kuenjoy kinacho endelea Gaza mpaka hapo watakapo heshimiana na na mbethlehem wa yudea.
Katika hilo la vita sishabikii, nna enjoy na kamvinyo kadodoma na kitimoto.Tena na enjoy sana. Wewe hui enjoy?
If u can't fight them join them.Huwezi kusimamia hizo rasilimali kwa kuamuwa kwako tu bila kuwa na ujasiri wa Mujahid Ibrahim Traore.
Kuwa na ujasiri wasimamia wewe basi, kama huwezi, ufyate kama wanavyoufyata wanaozisimamia toka tupate uhuru.
= if you can't beat them, join themIf u can't fight them join them.
Nyoko kweli wewe,wangeenda Israel ungesema haya mavi? Na hawatarudi salama mbwa hawaNasubiri wazayuni weusi waje waseme hao ni waarabu na sio watanzania, akili za watu wengine bwana wakishaona mtu mweupe tu wanajua si mtanzania, mpaka awe mweusi 😄
Mwenyezi Mungu awabariki sana watanzania wenzetu, na wengine waliojitolea kuwasaidi
Kama tulikubaliana then just take action manUsifanye hivyo mboni tulishakubariana
Nachukua action sasa hiviKama tulikubaliana then just take action man