Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulikuwa unafanya vizuri kwa kufuata maadili ya uchawa lakini huku inapoelekea unakosea na kuvunja katiba na kanuni za uchawa.

Chawa anasifia uongozi uliopo madarakani tuu. Kitendo cha kuonyesha hisia zako kwa kumpenda Mtu Mwingine na kutamani awe Rais huku hujui aliyepo madarakani chaguo lake ni lipi ni kukosa weledi katika kazi yako ya uchawa.

Ni hayo tuu
 
🤣🤣daah nmecheka sana hata makonda mwenyewe akiona hii atabaki znacheka tu
 
🤣🤣daah nmecheka sana hata makonda mwenyewe akiona hii atabaki znacheka tu
Uchapa kazi,ujasiri ,uzalendo ,uimara, umadhubuti na ushupavu wa Mheshimiwa Paul Makonda umewagusa Watanzania na kuhitaji utumishi wake kama Rais wa nchi atakayempokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan 2030
 
Uchapa kazi,ujasiri ,uzalendo ,uimara, umadhubuti na ushupavu wa Mheshimiwa Paul Makonda umewagusa Watanzania na kuhitaji utumishi wake kama Rais wa nchi atakayempokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan 2030
Unajitoaga ufahamu eti?
 
Unaandika mavi sana, hakuna anae furahia hayo mavi unayo andika , leta statistics za kupigiwa simu kwanza na viongozi wakikupongeza kwa kuandika haya mavi.
 
Mada za huyu sijawahi kusoma zaidi ya heading...!
Wastage of school fees at university level sababu kwingine amesoma bure kwahiyo he got free education that is free from knowledge! I doubt kama pia amesoma accredited university!
 
Wastage of school fees at university level sababu kwingine amesoma bure kwahiyo he got free education that is free from knowledge! I doubt kama pia amesoma accredited university!
Nimesoma chuo namba moja kwa ubora hapa nchini tokea kuanzishwa kwake hapa nchini .chuo chenye historia kubwa nchini na katika bara zima la Afrika.
 
Unaandika mavi sana, hakuna anae furahia hayo mavi unayo andika , leta statistics za kupigiwa simu kwanza na viongozi wakikupongeza kwa kuandika haya mavi.
Nani kakuambia kuwa naandika kwa ajili ya kutafuta kupigiwa simu?
 
Mimi nimewasilisha sauti za wananchi
Waliziwalisha kwako lini na wapi tupe hata platform uliyotumia kukusanya hizo sauti as per muda huyu jamaa ameteuliwa ukafanya analysis mana nadhani hajatembea hata mikoa yote ya tz. Baada ya analysis ukadraw conclusion ? Unajua wataalamu wanaandika kitaalamu! Chama chenyewe hakijakaa na kufanya tathimini ya ziara za viongozi hawa wawili KM na CS na kuangalia wapi kuna strengths and weaknesses pamoja na achievements. Hakuna sehemu chama kiemeandaa platform ya kupokea maoni ya wanachama baada ya ziara hizo! Unapata wapi huo ujasiri wa kuhitimisha kuwa wananzengo wanamtaka ilihali hatuna kura ya maoni ? Najaribu kukuelimisha mdogo wangu sema wewe umekaza matako na kushupaza shingo ashakum sio matusi
 
TOAA HUUU UCHAFU KAMA UNAHISI KUMSAIDIA UNAMUHARIBIA MWENZIE AVHA WIVU....MWACHEN AFANYEKAZI ALIYONAYO
 
Nimesoma chuo namba moja kwa ubora hapa nchini tokea kuanzishwa kwake hapa nchini .chuo chenye historia kubwa nchini na katika bara zima la Afrika.
Hakina historia ya kutoa watu wa aina yako utakua mmoja among millions na wewe ni zao hili la nagufuli aliyewanyima nafasi ya kufikiri aka fikiria on your behalf. Na pale ulikariri tu ufaulu UE- Test basi hujawahi hata kukaa ukafikiri ndio mana unandika kinachokuja kichwani ili kuplease your EGO.
 
😀😀😀😀Dolphin T unaanzia wapi kuandika vitu kama mbumbumbu? Yaani unasema na kutumia hoja ya kuwa ametembelea mikoa michache kama sehemu ya kujenga hoja yako? Kwamba unafikiri mikoa ambayo hajaitembelea na kuifikia hawaoni kinachoendelea na kufanyika kwa mikoa aliyopo kwa sasa? Kwamba unafikiri hawamfahamu vyema Makonda uchapa kazi wake na ujasiri wake? Kwamba unafikiri Mheshimiwa Makonda kiutendaji ni mgeni kwa watanzania?
 
Nani kakuambia kuwa naandika kwa ajili ya kutafuta kupigiwa simu?
Maoni unayapataje sasa? Mbona hujelewi? Tupe statistics za mamilioni ya watanzania waliokupazia sauti kuwa wanamtaka DAB na wewe ukaja kuziwqkilisha hapa. Mbona unakimbia kivuli chako
 
TOAA HUUU UCHAFU KAMA UNAHISI KUMSAIDIA UNAMUHARIBIA MWENZIE AVHA WIVU....MWACHEN AFANYEKAZI ALIYONAYO
Mbona ni kama umechaganyikiwa? Basi toa wewe nakuruhusu na ueleze sababu za kutoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…