Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mgao wa umeme unakwenda kuisha muda siyo mrefu na kubaki katika Historia ndugu yangu
Hata 2014 tuliambiwa mgao wa umeme utakuwa ni historia bomba la gas likifika Dar. Leo hii bomba la gas liko Dar, mgao ndio kama huu. Saa hii mnahamisha magoli! Hao wananchi wajinga wanaokubali chama Cha hivyo wako ccm tu.
 
Hata 2014 tuliambiwa mgao wa umeme utakuwa ni historia bomba la gas likifika Dar. Leo hii bomba la gas liko Dar, mgao ndio kama huu. Saa hii mnahamisha magoli! Hao wananchi wajinga wanaokubali chama Cha hivyo wako ccm tu.
Mama Samia akisema lazima atekeleze .kwa hiyo uwe na imani na mama yetu maana mambo yanakwenda kuwa safi kabisa muda siyo mrefu hadi utafurahi mwenyewe
 
Subiri uwone CCM wanavyo tuchezesha,na hili linawezekani likawa,dalili naziona,na Waziri wake.Mkuu atakua Biteko! Game ya CCM mbona iko wazi toka mwanzo kama unawafatilia!!
Panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu Mheshimiwa Paul Makonda ndiye Rais wetu 2030
 

Unyonge ni wewe mwenyewe
 
Kwani wapi uliposikia Mheshimiwa Makonda anataka Urais? Tanzania ni kama Duka ambapo Watanzania ndio wamiliki ambao wanawajibu na haki ya kumtafuta muuza duka.kwa hiyo wao wanaona Mheshimiwa Makonda anaweza na ni mtu sahihi kusimamia Duka lao la kikaleta faida nakulinda mtaji wao. Kwa hiyo hiyo ni kiu ya watanzania kutaka kuona siku moja Taifa likiongozwa na Mheshimiwa Makonda kutokana na ujasiri alionao,uzalendo wake,kujituma kwake na uchapa kazi wake uliotukuka.
 
Wewe unaanzia wapi kusema ni maigizo wakati unaona namna anavyotatua kero za wananchi?
Narudia tena watu wajinga aina yako ndio wanaamini huo utoto wa huyo muhalifu ndio kutatua matatizo. Huko kote kumejaa viongozi wa ccm washindwe kutatua matatizo yao, Hadi apite huyo muhalifu kwa siku moja ndio atatue matatizo yao? Na unaamini hizo mbinu za kijinga bado zinawapumbaza watu?

Huu ujinga ndio ulichangia dhalimu magu kupora uchaguzi, maana aliamini amekubalika kwa mafuriko ya kutengenezwa na nguvu ya Dola, ila ilipofika wakati wa kampeni huku akiwa amehakikisha wapinzani hawapati airtime, aliona ukweli ambao hakuamini, akaishia kuugua Kila mara. Hii habari ya kutengeneza propaganda na kuiamini mwenyewe hufanywa na watu wajinga wa aina yenu.
 
Acha kumchafua Mheshimiwa kwa vimaneno vya kuokoteza visivyo na ushahidi wa aina yoyote ile.kama una ushahidi wa hayo uzungumzayo nenda mahakamani ukafungue mashitaka na utoe ushahidi wako wa kutisha ili aje kujibu hoja zako uchwara.
 
Mama Samia akisema lazima atekeleze .kwa hiyo uwe na imani na mama yetu maana mambo yanakwenda kuwa safi kabisa muda siyo mrefu hadi utafurahi mwenyewe
Tena huyo ndio bure kabisa. Muulize kwanini asitumie umeme wa gas ambao chama chake kilisema bomba la gas likifika tu hapa Dar mgao utakuwa ni historia? Hapo ndio utajua uko kwenye chama Cha wajinga wenye uongo wa kitoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…