Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Leo umeanzisha nyuzi ngapi za kumsifia na kumtukuza mwanaume mwenzio? Unajidhalilisha bro, Bora ungekuwa unamsifu baba Yako ungepata baraka
Baba yangu hajapendekezwa na watanzania nafasi ya Urais 2030.aliyependekezwa nafasi ya Urais na watanzania ni Mheshimiwa Makonda.
 
Naanza kukwambia wewe ni mjinga.
Hakuna mwanafunzi anayefaulu kwenda kidato cha kwanza. Wote wanatakiwa kwenda kidato cha kwanza kwa sababu elimu ya kuanzia chekechekea mpaka kidato cha nne ni ya msingi na lazima (basic and compulsory) kwa mujibu wa sera ya elimu ya tanzania (TETP 2015) na kwa Takwa la UN kupitia UNESCO kwamba elimu ni moja wapo ya haki za binadamu na Tanzania mojawapo ya signatories wa mikataba hiyo ya utekelezaji. Ndio mana wakati wa magufuli mlitaka kumuua zito alipowashtaki UN Kuhusu kunyima haki ya wasichana walozaa kurudi shule.

Ni wajibu wa serikali za nchi signatories kuhakikisha kuwa wanaadhere to makubaliano ndio mana tukakopa hela za so called UViko kujenga maharasa shule za sekondari na msingi- mpango wa shule za kata ambao upo ndani ya (SEDEP) na upanuzi wa shule za msingi ((PEDEP) na huu ni mwendelezo tu wa kile alichoanza kufanya JK na ENLOWASA. AMKA DUDUMIZI WEWE
 
Baba yangu hajapendekezwa na watanzania nafasi ya Urais 2030.aliyependekezwa nafasi ya Urais na watanzania ni Mheshimiwa Makonda.
Nikisema wewe ni mjinga utakasirika- haya liambie jukwaa kupititia kikao kipi lini na wapi na nani alishiriki na kukusanya maoni?
 
Mimi sina Elimu ya memkwa kama yako.mimi nipo vizuri kielimu , kifikra na kimaono.
Ili kujua mtu yuko vizuri kifikra kielimu na kimaono basically wanaomsikiliza na kuona afanyayo ndio husema ila sio yeye kujisemea.

Wanasema kaa kimya ufiche ujinga wako au ongea tujue ujinga na upumbavu wako. Umeelewa? Hii ni elimu ndogo sana
 
Nikisema wewe ni mjinga utakasirika- haya liambie jukwaa kupititia kikao kipi lini na wapi na nani alishiriki na kukusanya maoni?
Kwa sasa Dunia ni kama kijiji tu.maendeleo ya teknolojia yamekua na kuongezeka sana.ndio maana saizi mtu husubiri kuangalia taarifa ya habari saa mbili usiku .maana kwa sasa watu wanazipata habari kwa uharaka sana kutoka eneo la tukio moja kwa moja.hii yote ni kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia.
 
Lucas mwashambwa ni sehemu ya hayo madhila. Yeye anaamini hatujui mchezo anaoucheza kutuhadaa
 
Lucas mwashambwa ni sehemu ya hayo madhila. Yeye anaamini hatujui mchezo anaoucheza kutuhadaa
Anadhani hatujaelewa kauli ya Mwenyekiti akiongea na Makamanda wa Jeshi. Tena akitanguliza kuwa kuna uchaguzi- akaongezea kuwa ujao ndio zaidi sana wakae standby kama wanavyofanya kule visiwani?
Mtu huyo huyo:

Rais wa Nchi ya vyama vingi
Amiri Jeshi Mkuu
Mwenyekiti wa Chama
Mkuu wa utumishi wa umma
Mwajiri wa Mwenyekiti &Mkurugenzi wa uchaguzi
Mteuzi wa majaji wote
Mteuzi wa katibu wa Bunge
Mteuzi wa Jaji mkuu!
Mteuzi wa mwanasheria mkuu
Mwishoni ni mgombea wa URAIS kwenye uchaguzi wa vyama vingi
 
Mama Keagan popote ulipo njoo huku kuna mjane anamtega mumeo
 
Kama ni hivyo kuna haja gani ya kutumia gharama kubwa kumsemea mama! Haya tanzania ime_inovate nini katika sayansi hiyo ya tehama? Unasifia vya wenzio halafu unajipiga ngumi kifuani! Nataka statistical analysis bro baada ya kupata findings nitakubaliana na ww otherwise wewe unashindana ma mama Keagan
 
Undenied facts.
 
Unakaribia kuokota makopo hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…