Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
AGOMBEE NA KUPEWA ..SIO AGOMBEE NA KUSHINDA ….

YAANI ITAKUWA WOTE TUMEKUFA HADI TUONGOZWE NA MTU ASIYE NA KICHWA ??
Mheshimiwa Makonda ni akili kubwa na mtu mwenye maono makubwa sana na mwenye ujasiri na uwezo mkubwa sana kiuongozi.si umeona mchakamchaka unaopigwa huko katika ziara zake
 
CCM walimteua Makonda kwenye hiyo nafasi ili azidi kupata dhambi zaidi ili Mungu achukie.

NIKIKUMBUKA AWAMU YA 5 KWELI MUNGU aendelee kuitwa Mungu.
Makonda ni sauti ya wanyonge .ndio maana unaona namna mikutano yake inavyofurika na kumiminika maelfu ya wananchi wanaokwenda kwa miguu kwa hiyari yao. Makonda ni Mwamba kwelikweli hayumbi wala kuyumbishwa wala kuteteleshwa na yeyote yule.
 
Zezeta haliwezi kuwa Raisi wa Jamhuri.
Wewe ndiye zezeta usiyejitambua. Lakini Mheshimiwa Makonda ni akili kubwa aliyejaa maono makubwa katika kifua chake juu ya Taifa letu. Ndio maana unaona unaona namna anavyotoa hoja nzito nzito na za kutetemesha kila akipanda jukwaani .
 
Wewe ndiye zezeta usiyejitambua. Lakini Mheshimiwa Makonda ni akili kubwa aliyejaa maono makubwa katika kifua chake juu ya Taifa letu. Ndio maana unaona unaona namna anavyotoa hoja nzito nzito na za kutetemesha kila akipanda jukwaani .
Wewe mwenyewe Zezeta la Lumumba.
 
Aliyekutuma umpambe ni zero brain and you too…… You know what? Unamtafutia balaa zito ndani ya chama coz all the bigest papa in ccm they are look urais
Think twice
 
Aliyekutuma umpambe ni zero brain and you too…… You know what? Unamtafutia balaa zito ndani ya chama coz all the bigest papa in ccm they are look urais
Think twice
Mungu ndiye mlinzi mkuu wa Mheshimiwa Makonda na ndiye anayeendelea kumlinda na kumpatia kibali mbele za watanzania
 
Back
Top Bottom