Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Umesikia kuna mafua ndege huko Kenya ?! Mbona kipindi chote kuku hawa wameingizwa nchini na hakuna shida?!Hakuna chuki hapo kila upande unalinda maslahi ya upande wake
Hv unaifahamu homa/mafua ya ndege.....
The less u know the better.....
Hii issue tuiache kama ilivyo
After all tunaowatia hasara ni WaTz na sio wa Kenya!! Kwani tayari wao wameshapereka fedha Kenya, na hakuna wa ku refund. Poor we