Watanzania watu wa ajabu, wanapenda maendeleo lakini hawataki kugharamia hayo maendeleo kwa kodi

Watanzania watu wa ajabu, wanapenda maendeleo lakini hawataki kugharamia hayo maendeleo kwa kodi

Nchi hii ina vilaza wengi sana wenye uelewa finyu katika masuala basic kama hili la kodi.
Hawajui kabisa kanuni bora za kodi matokeo yake ni kujivisha uzalendo uchwara tu.
Nenda kasome tena uchumi na maswala ya kodi..kwa kifupi serikali inatakiwa itengeneze mazingira mazuri ya kufanya biashara watu wawekeze yenyewe ije kuchukua kodi..sasa shida inaanzia hapa serikali inataka ichukue kiasi sawa na aliefanya uwekezaji.

1. Kwenye miamala ya simu service prodiver (Tigo,Vodacom, Airtel) wao wameshafanya uwekezaji kwenye infrastructure, minara,manpower etc. Kwaio wao warudishe gharama zao wameanzisha huduma kadha wa kadha i.e kutuma na kupokea hela sasa kwa kuangalia gharama walizotumia wameweka kiwango fulani cha ili kufikisha gharama hizo husika kwa mtumiaji wa mwisho.

2. Shida inaanzia hapa i.e kutuma kiasi fulani ni 400 tsh na kiasi cha kutolea ni 300 tshs...tukumbuke kwamba hio kampuni ya simu baada ya kutoa mapato na matumizi yake faida iliopatikana inatozwa 30% (corporate tax) pia inalipa PAYE kutoka kwa income tax kitu kisichoeleweka ni kutaka serikali nayo ichukue hela toka kwenye hizo gharama za kutuma na kutolea wakati baadae inakuja kukata kodi katika mahesabu ya mwisho wa mwaka hicho ndo hakikubaliki maana mzigo wote anasukumiziwa mlaji wa mwisho(mtuma hela)

3. Porojo za kujenga madaraja, mashule, mahospitali hazina uzito sababu hayo majengo sio kwamba yameanza kujengwa baada ya tozo kuanzishwa serikali imekua ikikusanya kodi toka sehemu mbali mbali tangu kupatwa kwa uhuru sasa iweje ndo useme kwamba tozo hizi ni za kufanyia hivyo vitu,kodi zingine zinaenda kufanyia vitu gani? Hapo unakuta kuta LC200 na Lc300 zinanunualiwa kwenye misafara etc isio kua na tija

4. Kwanza kabisa kujenga barabara,mahospitali, mashule hayo ni majukumu ya serikali sio fadhila..siku watu watakapo amka na kujua majukumu ya serikali na wajibu wake kwa wanachi ni upi ndio tutaelewena..hakika hio siku itafika hapo waongo waongo ndo watakapo kua wamefikia mwisho.

Principles zipi za taxation zinazotumika kutoza kitu mara mbili mbili?
 
Mpaka wakati huu kila mwananchi analipa kodi. Hawa wote wanalipa kodi[emoji117]Wanaonua kalamu na daftari kwa watoto, wanaonunua nguo mpya, wanaonunua sukari/mafuta/, wasafiri wote wa gari za abiria, wanaonunua maji ya kunywa n.k
Naungana na wewe.

Tatizo la ukadiriaji, ukusanyaji na tax base , ni tatizo sugu nchini. Wanansiasa wameliingilia na kulitumia kama fimbo ya aidha kukomoana au hata kumfunga mfanya biashara.

Lakini kimsingi lazim ziwepo sera ambazo zitamlenga KILA MWANANCHI alipe kodi, gata kama ni kidogo sana.
Miundombinu inatumiwa na kila mtu, kodi yake inaweza kuwa kodi ya kichwa.
 
Waziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.

Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.

Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.

Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.

Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.

Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).

Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.

Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.

Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.

Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
Mkuu toa jina lako na tin number yako pia na nida namba yako ili tuone wewe umeshalipa Bei gani ama ndio waliovimbewa
 
Tozo ya 18% kwa biashara yoyote utakayoilipia/lipwa.
Hiyo tozo ya 18% unayoikusanya kwa niaba ya serikali, unaiwakilisha Idara ya mpatao ndani ya mwezi mmoja.
Ni vyema kuanzia leo ufahamu hii 18% huwa inalipwa na mlaji/mteja/mnunuzi wa bidhaa au huduma.
 
Wa ajabu ñi wewe ambaye unataka watanzania walipe kodi ila kuna watu wanakula hela za umma kama za urithi wa familia zao. Kisha mkaguzi mkuu wa serikali anasema hela zimeliwa , vyombo ambavyo ninatakiwa kushughulikia ubadhirifu vinakaa kimya. Wakienda hospitali wanashindwa kutibiwa kisa wameshindwa kulipia gharama, harafu kuna watu wanaoitwa waheshimiwa wakiwasha magari ya umma hawayazimi mpaka watakarudi kulala. Mfumuko wa bei kila kukicha ila mshahara wake wa mwaka 47, unategemea huyu mtanzania atakuwa na morali wa kulipa kodi? Mkishiba dengu mnajiona mna akili na kuwakejeli watanzania.😤😤😤
 
Ni vyema kuanzia leo ufahamu hii 18% huwa inalipwa na mlaji/mteja/mnunuzi wa bidhaa au huduma.
Mkuu kama huna habari, kuna kodi zaidi ya 56 za TRA, na VAT ni kodi moja tu kati ya hizo, ambayo haiwezi kukidhi matakwa mapato ya kuendesha nchi.
 
Wa ajabu ñi wewe ambaye unataka watanzania walipe kodi ila kuna watu wanakula hela za umma kama za urithi wa familia zao. Kisha mkaguzi mkuu wa serikali anasema hela zimeliwa , vyombo ambavyo ninatakiwa kushughulikia ubadhirifu vinakaa kimya. Wakienda hospitali wanashindwa kutibiwa kisa wameshindwa kulipia gharama, harafu kuna watu wanaoitwa waheshimiwa wakiwasha magari ya umma hawayazimi mpaka watakarudi kulala. Mfumuko wa bei kila kukicha ila mshahara wake wa mwaka 47, unategemea huyu mtanzania atakuwa na morali wa kulipa kodi? Mkishiba dengu mnajiona mna akili na kuwakejeli watanzania.😤😤😤
Mkuu ukishindwa kujiendesha ndio unaona sasa "wahisani" wanahamia nyumbani kwao na kukuamrisha ufanye nini kimandeleo, kiufupi wanakutawala.
 
Waziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.

Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.

Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.

Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.

Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.

Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).

Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.

Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.

Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.

Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
Umenena sawa. Lakini tatizo ni fikra au mindset ya uongozi wa nchi yenyewe ambayo ilikuwa imebadilika baada ya kiikubali sera ya uchumi wa soko yaani ushindani, kuwa ndiyo dira kuu ya kuongoza uzalishaji wa bidhaa na huduma katika nchi na siyo ukiritimba wa Serikali ambao hauna tija kwa sababu hauendani na hulka ya binadamu; pia uamuzi wa kurudisha serikali ifanye shughuli hizo hauendani na jinsi wenzetu wanaotuzidi kwenye maendeleo wanavyofanya. Ila sisi na wahanga wachache wenzetu tumeng'ang'ania kuingiza usultani katika kuendesha uchumi! Hata teuzi za wakuu wa shughuli za uchumi hazifikiwi kwa kuwashindanisha ili kupata wale wenye uwezo, tunawateua tunaowapenda ati ni zamu yao nao!
 
Nenda kasome tena uchumi na maswala ya kodi..kwa kifupi serikali inatakiwa itengeneze mazingira mazuri ya kufanya biashara watu wawekeze yenyewe ije kuchukua kodi..sasa shida inaanzia hapa serikali inataka ichukue kiasi sawa na aliefanya uwekezaji.

1. Kwenye miamala ya simu service prodiver (Tigo,Vodacom, Airtel) wao wameshafanya uwekezaji kwenye infrastructure, minara,manpower etc. Kwaio wao warudishe gharama zao wameanzisha huduma kadha wa kadha i.e kutuma na kupokea hela sasa kwa kuangalia gharama walizotumia wameweka kiwango fulani cha ili kufikisha gharama hizo husika kwa mtumiaji wa mwisho.

2. Shida inaanzia hapa i.e kutuma kiasi fulani ni 400 tsh na kiasi cha kutolea ni 300 tshs...tukumbuke kwamba hio kampuni ya simu baada ya kutoa mapato na matumizi yake faida iliopatikana inatozwa 30% (corporate tax) pia inalipa PAYE kutoka kwa income tax kitu kisichoeleweka ni kutaka serikali nayo ichukue hela toka kwenye hizo gharama za kutuma na kutolea wakati baadae inakuja kukata kodi katika mahesabu ya mwisho wa mwaka hicho ndo hakikubaliki maana mzigo wote anasukumiziwa mlaji wa mwisho(mtuma hela)

3. Porojo za kujenga madaraja, mashule, mahospitali hazina uzito sababu hayo majengo sio kwamba yameanza kujengwa baada ya tozo kuanzishwa serikali imekua ikikusanya kodi toka sehemu mbali mbali tangu kupatwa kwa uhuru sasa iweje ndo useme kwamba tozo hizi ni za kufanyia hivyo vitu,kodi zingine zinaenda kufanyia vitu gani? Hapo unakuta kuta LC200 na Lc300 zinanunualiwa kwenye misafara etc isio kua na tija

4. Kwanza kabisa kujenga barabara,mahospitali, mashule hayo ni majukumu ya serikali sio fadhila..siku watu watakapo amka na kujua majukumu ya serikali na wajibu wake kwa wanachi ni upi ndio tutaelewena..hakika hio siku itafika hapo waongo waongo ndo watakapo kua wamefikia mwisho.

Principles zipi za taxation zinazotumika kutoza kitu mara mbili mbili?
Wewe unaona double taxation,ni sawa tu kisa zinajenga madaraka? Huko ndo kujikomba!!!! Sasa hivi unaoneka utakuwa utamaduni wa mta nzania " KUJIKOMBA"
 
Kodi inatakiwa kulipwa na KILA MTU, uvimbiwe au usivimbiwe, uwe tajiri au masikini.
Mbunge halipi mkuu hata akiagiza gari sio Kama wewe mwenye njaa. Nimeongea kwa Nia nzuri tupatie details zako ili tucheki hapa tra umeshalipa ngapi ama ndio niamini kuwa talk is cheap.
Anyone can talk even dog but actions only real and courageous few can do it
 
Mbunge halipi mkuu hata akiagiza gari sio Kama wewe mwenye njaa. Nimeongea kwa Nia nzuri tupatie details zako ili tucheki hapa tra umeshalipa ngapi ama ndio niamini kuwa talk is cheap.
Anyone can talk even dog but actions only real and courageous few can do it
Tatizo lako na wengi ni ufupi wa maono.
Bila watanzania wenyewe kujiongeza katika shughuli za uchumi na biashara tutendelea kuwa tegemezi.
 
Tatizo lako na wengi ni ufupi wa maono.
Bila watanzania wenyewe kujiongeza katika shughuli za uchumi na biashara tutendelea kuwa tegemezi.
Mie nimekuomba details hapa Niingize ili tuone Kama kweli unalipa kwani shida iko wapi. Naomba tuone urefu wako wa akili. Sawa mimi na watanzania wengi Ni ufupi mie Nimeshakubaliana Ila Sasa naomba tuone urefu wa akili yako ama na wewe unajiona Kama na ellite na huku haupo kwenye royal family
 
Waziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.

Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.

Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.

Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.

Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.

Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).

Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.

Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.

Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.

Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
Ni kweli maendeleo hugharimiwa na tukiyataka lazima tuyalipie kwa njia ya kodi. Tatizo linakuja pale maskini anatakiwa agarimie zaidi kuliko tajiri. Kodi nyingi TZ zinalipwa na maskini. Serkali imetengenezaji njia ambazo masikini siku zote atabanwa na atalipa tu. Kuanzia vijijini kwenye magulio, masoko, minada ukiuza uji, mayai, kuku, mbuzi n.k. unapambana na kodi. Kana kuwa hiyo haitoshi ukiomba silingi 10 kwa mtoto au ndugu akakutumia kwa simu unapmbana na kodi. Kodi zimekuwa nyingi, kiasi serkali imeona izipe majina ya ufiho ili watu wasijuwe ni kodi. Sasa hivi kuna kodi, tozio, ushuru, makato, ankra, n.k, lakini zote ni kodi. Majina ni ya kufica ukweli kuwa hizo ni kodi. Kijeremani zinaitwa "direkte (Einkommen) und indirekte (andere) Steuern".
 
Mie nimekuomba details hapa Niingize ili tuone Kama kweli unalipa kwani shida iko wapi. Naomba tuone urefu wako wa akili. Sawa mimi na watanzania wengi Ni ufupi mie Nimeshakubaliana Ila Sasa naomba tuone urefu wa akili yako ama na wewe unajiona Kama na ellite na huku haupo kwenye royal family
Mbona huna akili za kukutosha.
It is actually stupid ku personalize hili tatizo la kodi.
Pili nikuhakikishie kuwa naajiri watu kama wewe ngingi tu, na hapo unaweza kukadiria kodi yangu.
Nne refer kwa sheria za JF.
 
Ukiniajiri Kodi nalipa mie kutokana na salary nayopata kwako so usitufanye Kama hatujui Kodi inavyolipwa. Wewe utalipa Kodi kama mkurugenzi wa kampuni yako ya apple. Sawa? Kuna faida ya kampuni yako na iyo serikali inapochukua Kodi.


Mbona Kama unaleta vitisho kuwa unaajiri watu wengi Kama mie kwani umeona wewe ndio wa kwanza kuajiri ama mie siajiriwi.


Simpo ishu let's TIN tukuone kweli Kama unalipa Kodi.
kukadiria kodi yangu.
 
Back
Top Bottom