MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #61
oga mkuu acha visingizioTutajuaje kama wewe unaoga mara tatu na kupaka manukato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oga mkuu acha visingizioTutajuaje kama wewe unaoga mara tatu na kupaka manukato?
Natafuta miongozo ya namna ya kuoga bila kutumia maji...Oga mkuu acha visingizio
Tumia beers mkuuNatafuta miongozo ya namna ya kuoga bila kutumia maji...
[emoji23]Waambie haoo kuna mmoja nimepishana nae kwapa linanuka kama tube ya tairi la baiskeli.
Wewe ni mdada au mkaka?Heri ya sikukuu ya sabasaba.
Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.
Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..
Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.
Nini kifanyike?
1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;
2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho
3. Wasiruhusiwe kuja mjini.
Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.
Naomba kuwasilisha
Hamia Mars kusiko msongamano ukaishi peke yako.Heri ya sikukuu ya sabasaba.
Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.
Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..
Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.
Nini kifanyike?
1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;
2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho
3. Wasiruhusiwe kuja mjini.
Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.
Naomba kuwasilisha
Huu Uzi wake unaakisi michambo na majigambo ya mwenye kipato.[emoji3525]Mlo mmoja kwa siku shida, hiyo hela ya manukato anapata wapi?
MakansaDeodorant sio nzuri kwa matumizi.
Muhimu mtu ni kuoga Kwa sabuni na kujisugua makwapani kwa povu jingi na kurudiarudia na kupaka mafuta hata kama ni ya kupikia.
Kula lazima kuoga hiyariOga mku ata na magadi
MIMI NI BABU YAKOWewe ni mdada au mkaka?
Hapana, ni kuelimisha tu, usafi wa mwili ni wa muhimu, nchi nyingine watu ni wasafi tuHuu Uzi wake unaakisi michambo na majigambo ya mwenye kipato.[emoji3525]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shkamoo babuMIMI NI BABU YAKO
marahabaShkamoo babu
Ushamba ni mzigo, kuna harufu za kike na za kiume. Hali kadhalika zipo deodorants za kike na kiume. Naomba ni kuelimishe, uchafu au usafi siyo swala la kijinsia. Kwamba kuna jinsia fulani ndiyo inawajibu wakuwa wasafi na nyingine wachafu wenye kunuka. Ukiwa na mtazamo finyu kama huo ni matokeo ya kukosa elimu na exposure.Sasa ukipaka deodorant si utanukia kama mwanamke!?
Nalog off Z
Zina madhara???Deodorant sio nzuri kwa matumizi.
Muhimu mtu ni kuoga Kwa sabuni na kujisugua makwapani kwa povu jingi na kurudiarudia na kupaka mafuta hata kama ni ya kupikia.