Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant

Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant

Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.

Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..

Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.

Nini kifanyike?

1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;

2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho

3. Wasiruhusiwe kuja mjini.

Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.

Naomba kuwasilisha
Wewe ni mdada au mkaka?
 
Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.

Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..

Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.

Nini kifanyike?

1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;

2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho

3. Wasiruhusiwe kuja mjini.

Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.

Naomba kuwasilisha
Hamia Mars kusiko msongamano ukaishi peke yako.
Tutahakikishaje kuwa na wewe siyo miongoni mwao? Jana nilipishana na wewe vuwanja vya Saba Saba, niliziba pua. Kwa sababu siyo rahisi kujisikia wewe mwenyewe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ukipaka deodorant si utanukia kama mwanamke!?
Nalog off Z
Ushamba ni mzigo, kuna harufu za kike na za kiume. Hali kadhalika zipo deodorants za kike na kiume. Naomba ni kuelimishe, uchafu au usafi siyo swala la kijinsia. Kwamba kuna jinsia fulani ndiyo inawajibu wakuwa wasafi na nyingine wachafu wenye kunuka. Ukiwa na mtazamo finyu kama huo ni matokeo ya kukosa elimu na exposure.
 
Back
Top Bottom