R rafael mkumbos Member Joined Sep 12, 2024 Posts 87 Reaction score 175 Sep 15, 2024 #121 Half american said: Kama anavaa shati la kijani ni wale wale tu. Click to expand... Kabisa
S sambulugu JF-Expert Member Joined Jun 1, 2021 Posts 4,485 Reaction score 8,562 Sep 15, 2024 #122 tripof said: Siasa ni hekima anayo kuliko wengi kwenye siasa za leo. Tumpe maua yake. Huyu anaweza kuiunganisha nchi bila maguvu. Click to expand... Hekima ndo kitu gani? Kupangilia maneno matamu yalojaa unafiki ndani yake ndo hekima?
tripof said: Siasa ni hekima anayo kuliko wengi kwenye siasa za leo. Tumpe maua yake. Huyu anaweza kuiunganisha nchi bila maguvu. Click to expand... Hekima ndo kitu gani? Kupangilia maneno matamu yalojaa unafiki ndani yake ndo hekima?
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Sep 15, 2024 Thread starter #123 Half american said: Nenda ukawe mbunge kuna mbunge nilimbariki nae akabarikiwa. Click to expand... Aimen π π asanti sana kwa baraka, nami nazipokea kwa dhati kabisa..
Half american said: Nenda ukawe mbunge kuna mbunge nilimbariki nae akabarikiwa. Click to expand... Aimen π π asanti sana kwa baraka, nami nazipokea kwa dhati kabisa..
M Mbuli yaza JF-Expert Member Joined May 30, 2023 Posts 711 Reaction score 683 Sep 15, 2024 #124 The Last Man Standing said: Naogopa Rafu za ndani kama alivyofanyiwa Gentleman Dr Salim na the so called Mtandao ambao baadae nao ulivurugana na kugeukana. Yule Mzee labda awe ametupisha ni mvurugaji. Click to expand... bila shaka ni kijana wake.
The Last Man Standing said: Naogopa Rafu za ndani kama alivyofanyiwa Gentleman Dr Salim na the so called Mtandao ambao baadae nao ulivurugana na kugeukana. Yule Mzee labda awe ametupisha ni mvurugaji. Click to expand... bila shaka ni kijana wake.
S semtawa JF-Expert Member Joined Jul 25, 2012 Posts 1,129 Reaction score 1,175 Sep 15, 2024 #125 Rabbon said: Unamaanisha SSH HATOGOMBEA 2025? Click to expand... Mhe. Dk. Samia ndiye mgombea wa CCM 2025 Mungu akijalia. Hakuna mtu wa kumzuia.πππ
Rabbon said: Unamaanisha SSH HATOGOMBEA 2025? Click to expand... Mhe. Dk. Samia ndiye mgombea wa CCM 2025 Mungu akijalia. Hakuna mtu wa kumzuia.πππ