TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ukitaka wali uwe bokoboko Vladimir alikuwa boss wa intel lakini kwa Sasa yeye na mkewe wafukunyuzi wa mambo wanajua usifunue mfuniko kupunguza mvuke mpaka unaipua.Wengi wanatamani kuwa usalama lakini hata wake au waume zao wameshindwa kuwa manage!
Et wengine wapo makwao huko nanjilinji wanajuwa kinachoendelea ikulu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.
Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!
Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.
.............................................................
Mwambie magari ya uhamiaji hayo,ππ, tiss magari yao ni mabovu mnoKuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimya ukatawala Kama dakika 3.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
PhD ni kuwa partially (maana ukiwa fully utaokota makopo) deep kwenye jambo shallow!!!Kuna jitu lisomi la PhD
Vijiweni bana ππ, kuna kambuzi kamoja kamewadanganyaUnafikiria 800k allowance per day nani asieitaka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimya ukatawala Kama dakika 3.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu utakuwa unazungumzia Aidha jamii za watu wa dunia ya kwanza, ktk hii dunia ya 3 ukiwa na sifa zote hizo ila ukakosa kumiliki pesa basi ujue hauna heshima kuanzia kwa ndugu zako na jamii kwa ujumla..jamii zetu hazina haja ya fikra bali hela!Kwa kufikiri hivi tu' nao ni uzwazwa...
Utaheshimiwa Kwa Ukuu wa FIKRA na Matendo yako na sio Kwa cheo ama kazi yako.
Ukiwa mtu mwema, mtu mwenye Hekima, Heshima, mtu mwenye Maadili, Muwajibikaji na mwenye Upendo lazima Utaheshimiwa na kukimbiliwa na watu. Mtu anayeogopwa ni gaidi pekee
HahahahaUsalama hauna connection boss sema wew nenda magogoni pale getini hua hakuna mlinzi kakae kama mlinzi wa kujitolea soon utanikumbuka
Kumbe wanatumia MT kama bakabaka π€ π€
Acha bana π€ π€Kuna mdogo wangu alilamba kama utani dah.
Wengi wao Ni wanoko na washenzi wenye husuda na Mafanikio ya wenzio Sasa wanadhani kazi ya Usalama wa Taifa Ni umbea na kuchongeana ili.kuharibiana.Hata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.
Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!
Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.
.............................................................
Kuna mzee mmoja mwandamizi kitengo niliwai kukaa nae....Watanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.
Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.
Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.
Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.
Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.
Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
πππHata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.
Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!
Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.
.............................................................
Ongezea ni wanajeshi sio walinzi wa mageti labda ulikutana UT fekiMambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
Hapana yuko mfipa mmoja yuko Kibaha hapo mpaka amefungua Runch huko ufipa,adanganye ili alipe madeni ya nani.Vijiweni bana ππ, kuna kambuzi kamoja kamewadanganya
Aaa hahahaKuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimya ukatawala Kama dakika 3.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app