Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

NIDA wawe makini sana,mamluki ni wengi sana na hawajawahi kuukana uraia wa huko wanapohisiwa
 
How is you Nigga ? I want to argue against you in English are you ready Nigga ?
Hapo unaonaje ngeli yangu Kaka ?
 
Mnatakiwa kurudishwa ruanda
 
Nina rafiki niliosoma nao wenye asili ya huko. Ukubwani huku wamerudisha mapenzi ya kwao na hasa ukizingatia kuna umoja wa watu wa huko. Kiuhalisia hata muwe na uraia wa hapa Tz na kupata kazi mamlaka za juu bado mioyo yenu inakuwa Rwanda
Sema wao wanatumika tu Kwa maslahi ya mtu mmoja
 
Una hoja ila hatuwezi kuwapuuzia wahamiaji haramu kwa kufuata nadharia yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…