Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Huyo mama yako unaetaka kumpandisha huyo mwendawizimu cheo Mbona analiuza taifa kuliko wanavyojiuza hao Malaya?
Hii bihashara inafanyika kwa sababu hawana kazi za kufanya.
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Unajua kinachohojiwa au unakurupuka tu?
 
Ngoja wazee wa democray na agano jipya waje
Unaweza kabisa kabisa kupigana na ukahaba bila kuvunja haki za watu. Hivi inakujia akilini mtu kwenye kwenye nyumba ya kulala wageni, ukikurupusha watu chumba kwa chumba, huk umefuatiana na wahuni wanaojiita waandishi wa habari waki-record kila kitu? Kwa nini msako usifanyike kwa utaalam na bila uhuni?
 
Wewe ni mpumbavu,hakuna mtu anayeshabikia ukahaba,ila inafaa tuchague mahali pa kuweka nguvu zetu.
Tangu enzi za yesu makahaba walikuwepo Luka 36 -50 na ni biashara ambayo haitakaa ikome hadi mwisho wa dunia.

Kuna changamoto nyingi ambazo yafaa viongozi wapambane nazo kuliko kukimbizana na mtu anayeuza uchi wake kwasababu ni sawa na kufukuza upepo ,hakuna mwisho.Wilaya ya ubungo ina kero lukuki hazifanyii kazi anakimbizana na wauza uchi
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Malaya walishashindikana tangu enzi za Yesu Kristu ni sehemu ya maisha ya jamii.

Kuna clip ya Nyerere baba wa taifa akiwa mtawala, itafute you tube ilitoa tafsiri sahihi ya umuhimu wa watu hao kuwepo katika jamii na namna wanavyoliponya taifa.

Kwanza jiulize kwanini hakuna sheria kali ya maana inayowabana, wakitiwa nguvuni wanashitakiwa kwa uzururaji, haujiulizi?

Ukiona jambo halitiliwi maanani katika kulipiga kwake vita sawasawa na kisha kulitokomeza, elewa jambo hilo linakubalika kwa mlango wa nyuma, ndiyo maana mataifa ya werevu yanawatambua na yanawatoza kodi halali.

Sehemu ya jamii ambayo hata ikipigwa vita isiyoisha milele na milele, elewa vita hivyo vilishashindwa na iliyobaki ni usumbufu na kuvuta attention ya kijamii tu kwa kutaka sifa.

Haya, mmekamata malaya wa Sinza sijui Kinondoni, je wa maeneo mengine ya mji ama miji mingine nchini mtawadhibiti vipi, hauoni kuwa huo ni u double standard?

Operesheni hiyo ni ya kiuonevu na yenye kuleta taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.

Tulishachoka kusikia habari hizo za kidhalilishaji zilizokwishakushindikana.
 
Wewe ni mpumbavu,hakuna mtu anayeshabikia ukahaba,ila inafaa tuchague mahali pa kuweka nguvu zetu.
Tangu enzi za yesu makahaba walikuwepo Luka 36 -50 na ni biashara ambayo haitakaa ikome hadi mwisho wa dunia.

Kuna changamoto nyingi ambazo yafaa viongozi wapambane nazo kuliko kukimbizana na mtu anayeuza uchi wake kwasababu ni sawa na kufukuza upepo ,hakuna mwisho.Wilaya ya ubungo ina kero lukuki hazifanyii kazi anakimbizana na wauza uchi
Asante mkuu. Ubungo kero za kutosha kabisa. Uchafu Kama wote, maji shida, miundombinu imechoka..Ila huyu DC aliyeshiba kodi zetu anakuja na ujinga kama huu.

Hata angeanza na mkakati wa kupanda miti, Usafi nk.

Hivi mama Samia hawa watu anawatoa wapi? They are simply out of ideas.
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Mwambie aende na Hyatt regency na Serena hotel
 
Unaweza kabisa kabisa kupigana na ukahaba bila kuvunja haki za watu. Hivi inakujia akilini mtu kwenye kwenye nyumba ya kulala wageni, ukikurupusha watu chumba kwa chumba, huk umefuatiana na wahuni wanaojiita waandishi wa habari waki-record kila kitu? Kwa nini msako usifanyike kwa utaalam na bila uhuni?
Haki kama zipi?
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Serikali ipambane na wanunuaji. Muuzaji ana kosa gani kama mnunuaji yupo.
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Wabadilishe kwanza sheria ndilo jambo la msingi. Tusiruhusu kiongozi afanye kwa matakwa yake. Leo atafanya jambo litakalokufurahisha nje ya sheria utafurahi, kesho akifanya lisilokufurahisha nje ya sheria utalalamika. Bunge libadilishe au litunge sheria ambazo zitahalamisha hii biashara.
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
jamaa alitakiwa awavamie ,awatandike bakora za kutosha na kuwachania hivo vinguo
basi na aswakamate kutengeneza ushahidi
imekula kwake
hao watu hawafanyi poa, jinsi ya kudeal nao ndo inahitaji akili la sivyo wapenda haki watakunyoosha
 
Back
Top Bottom