Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Usikariri.

Uteuzi ni kama JOB OFFER,

Unaweza kukataa.

Ally Miswanya alimkatalia JOM pia.

PUNGUZENI UCHAWA
 
Hii nafasi angeonjeshwa ELIA WILINASI tuone kama ataikataa.
 
Tulia mwl tutafute michango yako acha wivu
 
Natoa angalizo kwa Mamlaka za Ulinzi na usalama za Tanzania kuhakikisha kwamba , watu watatu waliokataa teuzi za Ukuu wa Wilaya wanalindwa, tusisikie kwamba wamepotea ama wametekwa.

Kukataa uteuzi ni haki ya kikatiba na pia ni fursa ya kuteua watu wengine, hivyo waliokataa teuzi hizo wasichukuliwe kama Maadui wa Taifa.

Waacheni wafanye kazi wanazozitaka
 
kuyaondoa haya ni mpaka katiba mpya
mi nawashangaa mnaoimba katiba mpya !

hivi katiba ni kiumbe kwamba isipotekelezwa itasema ?

mbona sheria zetu ni nzuri sana ila raia bado tu tunapata tabu sana ?

katiba mpya ni makaratasi tu ila msoto utakua pale pale
 
Cwt 😅😅😅😅
 
Kukataa kazi ya Rais unayopewa bila ya kuomba wala kuihitaji ni nusu ya Uhaini Tanzania
 
Katib
mi nawashangaa mnaoimba katiba mpya !

hivi katiba ni kiumbe kwamba isipotekelezwa itasema ?

mbona sheria zetuni nzuri sana ila raia bado tu
KAtiba mpya ndio mwarobaini kama unaikataa basi wewe Chawa
 
Cwt imejaa makada. Ndio maana haina tija
 
Walioteuliwa Kindondoni na Ilala hawajagomea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…