Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Sio kweli Habari zako; Malecela hakutemwa kwa sababu hiyo kwani Alisha kuwa Waziri mkuu!!
 
* Zile Gari za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaziacha wakistaafu au wanaondoka nazo?*
 
Msimamo wangu upo pale pale!

KWA katiba iliyopo kila mtumishi wa umma ni mwanasiasa!tena anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi CCM hakuna uzi MKUBWA unaotenganisha Kati ya SIASA na SERIKALI !

Wapeni Moyo!Labda Rais awachukulie poa KWA kumdharau YEYE na MAAMUZI yake!


SHERIA mama ya kikatiba inampa Mamlaka Rais kuvunja hata hizo SHERIA ndogo ndogo KWA ukubwa wa kiti CHAKE!MSIJIDANGANYE WAKUU

HHuyo mkurugenzi unaejidaia ni mtumishi wa Rais wa kuteuliwa!

Ndio MAANA ccm ukiona kuna haja ya katiba Mpya na Sasa wametangaza marekebisho yake!

Kama Rais Anaweza akaamua asipandishe MISHAHARA hata Miaka KUMI na hakuna sheria ya kufanya lolote sembuse kukataa UTEUZI Wake!!?

KATIBA NDIO KILA KITU KINACHOMPA KIBURI RAIS KUFANYA LOLOTE!!

UNAFIKIRI NDANI YA CWT HAKUNA SIASA!!?TENA SIASA CHAFU ZA RUSHWA NA UBADHIRIFU WA KILA AINA!

MSIJIDANGANYE NDANI YA CHAMA CHA WALIMU HAKUNA SIASA ZIPO ZA KUTOSHA NA NZITO!!

TUENDELEE KUSUBIRIA!
 
Kuwa Rais siyo kwmba ni kigezo cha kukamilika watu wanayo haki ya kukataa mawazo au maamuzi yako pia.
Huu uteuzi umekaa kifitna fitna kuwamwagia ugali wao hao jamaa, wapoteze hizo 7M kwa mwezi waende kwenye 3M alafu wapigwe chini, wakija kurud huku kwenye 7M wakute nafasi zao zimechukuliwa na watu wengine.

Sasa wahuni wameshtuka hakuna anaetaka kumwagiwa chakula chake
 
Huo ni uchawi acheni kuwazulia watu mambo ambayo hayana uhakika.hii tabia ya MACCM kuzulia watu mambo mabaya ni kawaida yao ndo maana yamekaa kichawachawa.kwani kama mtu unakataa uteuzi shida ni nini!ni lazima mtu kukubali uteuzi?acheni roho mbaya.
 
Una kichwa kigumu sana. Nimeandika kuna ugumu kuendesha mashtaka wewe unasema kunamuweka huru dhidi ya shutuma. Vitu viwili tofauti mno.

Ditopile alipomuua dereva daladala mchana kweupe kwa risasi alifungwa? Chukua bastola nawe mpige risasi mtu mchana kwenye foleni uone kama hatujakusahau. Unakaza fuvu badala ya kuelewa context ya ninachomaanisha.

Mkuu wa wilaya gani aliwahi fungwa tuseme kuanzia awamu ya nne? Wakati kibao walikuwa na tuhuma mbalimbali
 
Amuombee chawa Pascal Mayala hiyo nafasi maana karibia ataokota makopo huku JF kwa shauku ya kuteuliwa.
 
mi nawashangaa mnaoimba katiba mpya !

hivi katiba ni kiumbe kwamba isipotekelezwa itasema ?

mbona sheria zetu ni nzuri sana ila raia bado tu tunapata tabu sana ?

katiba mpya ni makaratasi tu ila msoto utakua pale pale
Hujui usemalo wala ujualo..

Kubali kujifunza kwa wengine juu ya nini wanaelewa kuhusu katiba na mahusiano yake na maisha ya Kila siku..!
 
Unaona kazi ya U-DC ni ya maana sana, na rais kwako ni Mungu, hivyo mtu akichaguliwa kuwa mkuu wa wilaya inabidi atetemekee nafasi hiyo. Hiyo ni kazi ya majobless, na watu wanaojipendekeza.
Zamani madereva wa TANU wakikaribia kustaafu walipewa uDC
 
kwanini unamtukana mkuu..
 
Hata ingekuwa ww ungelikataa . Kutoka kupokea mshahara 7.8 ml hadi 3 milion??? Kisa tu mkuu wa wilaya ya huko kyerwa ?!!? Mji kuu wa wilaya ni Nkwenda .. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani CWT si ipo chini ya serikali ama? maana kama ni hivo mishahara unabaki pale pale
 
Haya weeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…