Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Watoke tu hapo CWT, Kuna ukaguzi wa hesabu unakuja hapo muda si mrefu. Wamekaa wanawaza kuiba tu Hela za waalimu, serikali imefanya kuwatoa kwa staha, ila kama hawataki, watatokea kisutu.

Tunajua kinachofanya wagombane ni wizi wa Hela za waalimu, na wao ndio wezi wakuu
Wezi wakuu halafu wakaaminiwa na Rais ili watumikie wananchi! Rudia kusoma ulichoandika
 
Unaujua mshahara wa DC ni shilingi ngapi?.
Una mtu wako yoyote TRA?, muombe akuangalizie kampuni yenye Tin.No. 141-848-089, uangalie inalipa kodi kiasi gani anually halafu gawanya kwa mshahara wa DC uangalie nawalipa mishahara ma DC wangapi wa Mama Samia!. Halafu mtu kama huyo autake u DC for what?!.
P
Ulisema haya kwenye ubunge tukakuona wajumbe wakikudhalilisha Pasco tunakufahamu vyema... ni vile hujapata wewe ukipata huwezi kataa.
 
Unaujua mshahara wa DC ni shilingi ngapi?.
Una mtu wako yoyote TRA?, muombe akuangalizie kampuni yenye Tin.No. 141-848-089, uangalie inalipa kodi kiasi gani anually halafu gawanya kwa mshahara wa DC uangalie nawalipa mishahara ma DC wangapi wa Mama Samia!. Halafu mtu kama huyo autake u DC for what?!.
P
Sasa unaitaki siasa ya nini kaka?
 
hao wapigwe chini wote walimu mnatuangusha watoeni hao watu nia zao sio nzuri kwanini wang'ng'anie hivyo hapo CWT kuna asali gani wameiona hapo.
Hao viongoz watatu wa CWT Rais, makamu, na katibu ili kuchaguliwa walizunguka nchi nzima wilaya zote kuomba kura. Hata gharama walizotumia wanaona hazijarudi. Ila wameshindwa kuona ya mbeleni.

Pili, kuna watu Tanzania hii hawana passion kabisa na siasa. Ama uongozi wa umma. Yaani hata ukimpa nini hagombei. Hata kama anajua fika atashinda kwa asilimia kubwa hagombei.

Ninashauri kuna vijana wengi wanapaza sauti zao na wana michango mikubwa sana kwa chama na karama za uongozi waangaliwe. Achaneni na kuwaangalia watu wenye vyeo na nafasi fulan kila siku. Ingawa Vitabu vitakatifu vimeandika mwenye nacho huongezewa.

Nawasilisha.
 
Watoke tu hapo CWT, Kuna ukaguzi wa hesabu unakuja hapo muda si mrefu. Wamekaa wanawaza kuiba tu Hela za waalimu, serikali imefanya kuwatoa kwa staha, ila kama hawataki, watatokea kisutu.

Tunajua kinachofanya wagombane ni wizi wa Hela za waalimu, na wao ndio wezi wakuu
CWT siyo taasisi ya serikali. Ndiyo hapo tunaposema Katiba mpya ni muhimu. Rais anaingilia kila mahali na kila kona kama atakavyo. This is not right.

Kitendo cha Rais kuingia na kuwateua viongozi wa CWT ni njia ya kuwatishia na kuwapokonya madaraka yao kama wawakilishi wa Walimu.
 
Watoke tu hapo CWT, Kuna ukaguzi wa hesabu unakuja hapo muda si mrefu. Wamekaa wanawaza kuiba tu Hela za waalimu, serikali imefanya kuwatoa kwa staha, ila kama hawataki, watatokea kisutu.

Tunajua kinachofanya wagombane ni wizi wa Hela za waalimu, na wao ndio wezi wakuu
Hii ni ramli chonganishi
 
Tunapomuomba Rais amfikirie Paschali katika teuzi zake hatutanii. Paschal ana sifa zote za kuwa kiongozi katika nafasi yoyote nchi hii: elimu, ujuzi, maarifa, uzoefu na udhubutu.
Ni kweli Ndg paschal ana mwelekeo sahihi. Pia ni mtulivu na mweledi. Tangu akiwa mtangazaji. Hii inatija kubwa sana sana.
 
Zamani nyakati za Nyerere mkuu wa Wilaya akiwa anaitwa Area Comissioner kilikuwa ni cheo chenye heshima sana. Mpaka mtu uteuliwe kuwa Area Comissioner lazima uwe ni mtu wa shoka sana. Lakini siku hizi, dah!
Nyerere alihakikisha wanakuwa watu wa zima wanaoheshimika. Aliwapeleka hata wazee wanaokaribia kustaafu waliokuwa matarishi ilmradi kukipe cheo heshima si kama siku hizi cheo hicho hakina maana kabisa ni kama cha vibaka kujifunzia uogozi wa umma.

Pia enzi za nyerere hakukuwa cheo cha DED, area commissioner ndiye alikuwa kila kitu akisisaidiwa na DAO-District Admin Officer.

Japo influence ya chama ilikuwa kubwa kupindukia
 
Mmesahau yule meneja wa Tigo nadhani kanda ya ziwa alichomoa UDC wa Ankali..?
huyo yuko sekta binafsi
Mwalimu mtumishi wa Umma unakataa uteuzi wa Mh Rais???!
Bossi wako?Mwajiri Mkuu wa Watumishi?
Wamedandia mtumbwi wa vibwengo vibaya mno

Kitawakuta kitu
 
Unaujua mshahara wa DC ni shilingi ngapi?.
Una mtu wako yoyote TRA?, muombe akuangalizie kampuni yenye Tin.No. 141-848-089, uangalie inalipa kodi kiasi gani anually halafu gawanya kwa mshahara wa DC uangalie nawalipa mishahara ma DC wangapi wa Mama Samia!. Halafu mtu kama huyo autake u DC for what?!.
P
kwani mshahara wa dc ni shilingi ngapi maana kwa tambo zao za kujiita waheshimiwa kama hawalipwi kuanzia 15mil nitashangaa sana
 
Salaam Wakuu,

Japheth Maganga aliyetuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, mkoani Kagera akataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya alioteuliwa na Rais Samia hivi karibuni.

Japhet kasema, baada ya Kushauriana na Familia yake, alimuandikia rais Samia kumshukuru kwa kumteua pia na kumuomba atengue uteuzi wake na achaguliwe mtu Mwingine.

Wateule wengine ambao wamekataa uteuzi ni:

Leah Ulaya aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe, Mkoa wa Geita na na Dina Mathamani aliyeteuliwa kwenda Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma

Wote waliokataa Uteuzi wa Rais Samia ni Viongozi wa juu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).

Leah Ulaya ni rais wa CWT, Dinah Mathamani ni Makamu wa Rais wa CWT huku Japheth Maganga akiwa Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT)

======

Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Japheth Maganga ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ameshiriki kuongoza mkutano wa viongozi wa chama hicho jijini Tanga huku akisema kwa sasa hawezi kueleza kwanini hajaripoti katika wilaya aliyopangiwa ya Kyerwa, mkoani Kagera.

Vilevile, Maganga alihojiwa na Mkuu wa Upelelezi wa Polisi Mkoa wa Tanga na Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Tanga zaidi ya dakika 50 lakini si yeye wala wanausalama hao walioweka wazi sababu za mahojiano hayo.

Maganga na Rais wa CWT, Leah Ulaya waliteuliwa wiki iliyopita na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa wakuu wa wilaya lakini wakati wenzao wakiapishwa kwenye maeneo yao leo Jumatatu, Januari 30, 2023 wao wapo Tanga wakiongoza mkutano wa viongozi wakuu wa CWT.

Ulaya aliteuliwa kuwa DC wa Mbogwe, Mkoa wa Geita ambapo wenzake wanaapishwa leo Jumatatu na Mkuu wa Mkoa huo, Martin Shigela.

Mara baada ya kumaliza kuhojiwa na polisi kuanzia saa 4:36 hadi saa 5:24 asubuhi nje ya ukumbi wa mkutano huo unaofanyikia katika Hoteli ya Regal Naivera, Mtaa wa Bombo jijini Tanga Maganga alirejea ukumbini na baadaye kidogo alitoka nje.

Nje ya ukumbi ambapo Mwananchi Digital limeweka kambi, Magamba amesema, “kwa sasa nimeziba mdomo labda usubiri tutakapomaliza kikao ndipo nitazungumza kuhusu nafasi ya U-DC na CWT."

Wakati Maganga akisema hayo, Rais wa CWT hakutoka ndani ya ukumbi wa mkutano huo huku maofisa wa CWT wakisema hajaruhusiwa kuzungumza na vyombo vya habari.

Kitendo cha viongozi wakuu hao wa CWT kuonekana Tanga wakati wenzao wakiapishwa kimezua mjadala mitandaoni na kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa kwamba wameomba wateuliwe wengine kwenye nafasi hizo za U-DC ili kuwawezesha kuendelea na majukumu yao katika chama cha walimu.

Chanzo: DC mteule ahojiwa na polisi dakika 50, Rais CWT…
Kwa bahati nzuri sana safari hii wamepatikana watu ambao watakuwa mfano kwenye swala hili ili tusiendelee tena kuwa tunabishana bishan humu mitandaoni. Uteuzi wa mamlaka ya Rais huwa siyo hiari, ni lazima. Sema kuna ile room ya kuweza kutao udhuru na kuomba ateuliwe mtu mwingine ila SIYO KUKATAA. Bahati nzuri safari hii imepatikana sample ili tusiendelee tena kuwa tunabishana humu mitandaoni.
Baba nyumbani anakua-sign jukumu la kwenda shamba ukavune mpunga umekomaa, halafu wewe unakataa; unataka uende nani? Tupo wote, tutaona kitakachofuata baada ya hapo
 
Una kichwa kigumu sana. Nimeandika kuna ugumu kuendesha mashtaka wewe unasema kunamuweka huru dhidi ya shutuma. Vitu viwili tofauti mno.

Ditopile alipomuua dereva daladala mchana kweupe kwa risasi alifungwa? Chukua bastola nawe mpige risasi mtu mchana kwenye foleni uone kama hatujakusahau. Unakaza fuvu badala ya kuelewa context ya ninachomaanisha.

Mkuu wa wilaya gani aliwahi fungwa tuseme kuanzia awamu ya nne? Wakati kibao walikuwa na tuhuma mbalimbali
Heri kuwa na kichwa kigumu kama changu kuliko kuwa kama unavyojidhania.
Ugumu wa kumshitaki utatoka wapi kwa kukataa teuzi?
Taratibu za uchunguzi hadi kushitaki zipo wazi kabisa, kama watachunguzwa au kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi ni lazima wakae Kando.
Kwamba mnaamini kuwa kwa kuendelea kubaki pale basi kama tuhuma ni legit bado hawatachukuliwa hatua?
 
kwa mshahara wa dc ni shilingi ngapi maana kwa tambo zao za kujiita waheshimiwa kama hawalipwi kuanzia 15mil nitashangaa sana
Kwa heshima ya ma DC naomba nisikutajie mshahara wao, utashangaa!. Mshahara wa top boss wao, rais wa JMT ni TZS. 9,500,000,
From DC to president kuna gap ya ngazi 10!. Mkurugenzi wa halmashauri ana mshahara mkubwa kuliko DC, mbunge ana mshahara mkubwa kuliko DC!. Hivyo kimshahara DC ni Bwana mdogo sana!. Mimi na kijikampuni changu cha PPR, namsaidia Samia kuwalipa mishahara ma dc wake kadhaa!. Ila pamoja na mshahara kiduchu wa DC, ana marupurupu mengi na posho nyingi zikiwemo posho za vikao, na posho za safari.
P
 
Back
Top Bottom