Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Kwa nini wanawateua bila kushauriana nao?

Kwanza huko mtaani watu wanadharau cheo Cha DC kwamba hakina maslahi, unadhani wangeteuliwa kuwa Ma DED wangekataa?

Wanayofanya vetting ni wapuuzi Kwa sababu huwezi mtoa mtu sehemu yenye ulaji umpeleke huko kusiko na ulaji..

Hizo nafasi wawape watu wenye vyeo na ulaji mdogo tena wako wengi tuu.
 
Kama habari yako ni kweli. Mbona rahisi tu, si waandikiwe barua za kujiuzuru vyeo vyao vya CWT wapelekewe wasaini hizo barua. Halafu tuone watakavyokataa u-DC. Waombe tu wasifanyiwe hivyo baada mama kuteua wengine kuziba nafasi zao. " Mama juzi katoka kukopa,, nchi hii itapigwa Mnada".
 
Naunga mkono hoja, hizi post za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, but in reality the post is redundancy, just wastage of time, money and resouses za Watanzania masikini wa kutupa wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea.
P
 
Hawa si wametajwa kuwa na tuhuma lukuki!!!
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…