Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Kwani mh rais hakuwasiliana nao kabla ya kuwatangaza. Au rais anaweza kunitangaza kuwa kuanzia sasa Stonecutter ni mkuu wa wilaya flani pasipo kunitaarifu mimi niridhie au nimkatalie kabla ya kulitangaza kwa umma, jambo ambalo halitaleta fedheha na kumvunjia heshima mkuu wa watu. Na kama alitangaza tu na wateuliwa wakaskia kwa mara ya kwanza kwenye media, basi ni haki yao kuamua waliyoyaamua. Lakini kwa wateule wote wanaotoka cwt kukataa, inaleta viulizo kwenye uhusiano kt ya serikali na chama cha walimu.
Uteuzi ni surprise!!
 
Huyu ana nini pale CWT mpaka angomea Rais wa nchi? Naomba serikali ianzishe ukaguzi maalum, hasa ukizingatia yeye ni Katibu Mkuu, accounting officer.

Je, kuna jambo anaficha kwamba akiondoka litabainika? Ana mirija ya wizi?

Nashauri dola imuamshie dude mapema kabisa. Hicho chama akione Kaa la moto. Afukuzwe ualimu tu, anakosa sifa za kushikilia cheo hicho.
 
Pasco, nichukulie kwa kadiri unavyopenda... ila mi nakujua vizuri sana nje ndani lakini wewe hunijui...

Naomba nikuhakikishie ikatokea umeteuliwa hutokaa.... narudia hutokataa!!!
Haiwezi kutokea kwasababu nimeisha uzuia uteuzi https://www.jamiiforums.com/threads...taki-teuzi-niko-naye-mbeya-nitamweza.2007857/
Naelekea 60!, ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea , kwa kazi tuu ya uandishi wa habari, kwa jinsi ninavyolisaidia taifa as journalist nalisaidia zaidi taifa na kumsaidia sana Samia kuliko kama ingekuwa DC.
P
 
Huyu ana nini pale CWT mpaka angomea Rais wa nchi? Naomba serikali ianzishe ukaguzi maalum, hasa ukizingatia yeye ni Katibu Mkuu, accounting officer ....je Kuna jambo anaficha kwamba akiondoka litabainika? Ana mirija ya wizi?

Nashauri dola imuamshie dude mapema kabisa. Hicho chama akione Kaa la moto.
Ndivyo mlivyoumbwa, mkiambiwa mliumbwa Kitumwa tawire salaam mnakasirika

Nani aliambiwa ukiteuliwa ni lazima ukubali? Au ulitaka wote ka akuna Polpole waliotumia muda mwingi kumpinga rais kuhusiana na chanjo ya COVID19, alipoteuliwa kuwa balozi kwenye nchi ambayo ni lazima uchanjwe akajybali kuchanja kwa Kigezo cha klanakubali sababu kumsaidia rais yuleyule aliyekua akimpinga?
 
Tena akipata teuzi kama alikuwa anaiba ndio atalindwa na teuzi nadhani ni kutokufikiria kwake sasa wacha tuone Nazi ikishindana na jiwe
Kumbuka huyo ni mwalimu. mpwayungu village anawajua vizuri mimi mwenyewe nimeshangaa anakataa offer ambayo ni sawa na pardon.

Angekaa hapo kama ni msafi ila kwa tuhuma zile ngoja tuone labda anajiamini hana hatia
 
Kumbuka huyo ni mwalimu. mpwayungu village anawajua vizuri mimi mwenyewe nimeshangaa anakataa offer ambayo ni sawa na pardon.

Angekaa hapo kama ni msafi ila kwa tuhuma zile ngoja tuone labda anajiamini hana hatia
Mnawajengea watu hali ya kutojiamini tu. Kwamba ukipe
Wa uteuzi hiyoo ni hukumu isiyo ma rufaa
 
Serikali kutangaza Tanzania Teachers Professional Board na kufutwa kwa CWT next week
Teachers professional board ina uhusiano gani na CWT? watanzania wengi ni wajinga kupindukia! CWT ni chama cha wafanyakazi kama ilivyo COTWU, TUGHE, TUICO RAAWU etc!

Sasa how professional board iingilie majukumi ya vyama vya wafanyakazi? Na ukute hapo unamiliki digrii!!!
 

Attachments

  • 4482332D-8634-4293-8768-50C67B997BD2.jpeg
    4482332D-8634-4293-8768-50C67B997BD2.jpeg
    71.5 KB · Views: 5
Teachers professional board ina uhusiano gani na CWT? watanzania wengi ni wajinga kupindukia! CWT ni chama cha wafanyakazi kama ilivyo COTWU, TUGHE, TUICO RAAWU etc!

Sasa how professional board iingilie majukumi ya vyama vya wafanyakazi? Na ukute hapo unamiliki digrii!!!
Walimu hawaitaki tena CWT, inawakata fedha kila mwezi kupitia mishahara yao kila mwezi maisha yote ya mwalimu.
TSC ifutwe pia iwepo board tu
Michango ya CWT wanachama wake walipe michango kwa kulipia kwa mikono au mwalimu akawawekee bank badala ya kukatwa kwrnye mishahara
 
Teachers professional board ina uhusiano gani na CWT? watanzania wengi ni wajinga kupindukia! CWT ni chama cha wafanyakazi kama ilivyo COTWU, TUGHE, TUICO RAAWU etc!

Sasa how professional board iingilie majukumi ya vyama vya wafanyakazi? Na ukute hapo unamiliki digrii!!!
Mkuu kuna watu humu ni kama copies of human being
 
Ndivyo mlivyoumbwa, mkiambiwa mliumbwa Kitumwa tawire salaam mnakasirika

Nani aliambiwa ukiteuliwa ni lazima ukubali? Au ulitaka wote ka akuna Polpole waliotumia muda mwingi kumpinga rais kuhusiana na chanjo ya COVID19, alipoteuliwa kuwa balozi kwenye nchi ambayo ni lazima uchanjwe akajybali kuchanja kwa Kigezo cha klanakubali sababu kumsaidia rais yuleyule aliyekua akimpinga?
Ukiteuliwa kwa mpango maalum hasa kwa manufaa ya nchi ama ya kiuchumi au kiusalama ni ngumu sana kukataa, huwezi bishana na tasisi wewe ni nani?
 
UTOVU WA NIDHAMU!

NANI AIJUAYE KESHO!!?

UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!

MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!

CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!

HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!

WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!
.
 
Back
Top Bottom