Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Samahani ndugu, una ushahidi na unachoongea...? ni maneno ya Tweeter?
 
Na mie pia, naona ka simuelewagi.
Anachotaka kutuambia nini?? Hakuna karatasi, hakuna utaratibu, au LEGACY?

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Yaani mahela yote hayo yamechotwa!!! Msiwe mnatuambia maana nahisi kuzimia ukizingatia kijimshahara kangu ka mwezi May kameshakata
 
Tanzania yetu inarudi; pesa zitakuwa nyingi sana mitaani tena na kila mtu atafurahi.
Na tukubaliane pesa yote inayopigwa huko Serekalini,na pesa zote za biashara haramu zote zitumike hapahapa Nchini ili zije kiurahisi mtaani! Hakuna Mtu kuzipeleka pesa zetu Ughaibuni!!
 
Kwa hiyo hapo wizara ya fedha ni mwendo wa kulipana posho tu daily, watumishi kwenye wizara nyingine kama elimu mtumishi anaweza kutoboa mwaka bila kuiona posho, kumbe mafungu ya kulipana posho yamebakizwa wizara ya fedha....ama kweli.
Kuna office zingine ukiwa mfanyakazi,posho siyo tatizo,mradi ujuwe jinsi ya kujenga hoja ya kuzichomoa tu!!
 
Very smart prime minister.

Ila kuwa Makini mzee maana imani ya Watanzania imeelekezwa zaidi kwako sasa,Japo Kundi la mafisadi,watumishi wazembe na wezi wa mali za umma bado linakuona wewe ni kikwazo kwao
Jiwe alimpiga roba kali, kila kitu alikuwa anataka aonekane yeye, Waziri Mkuu alikuwa hana meno kabisa, alikuwa kila akitaka kugusa mahali anakutana na watu pendwa wa Jiwe, inabidi arudi nyuma. Now Mama kamwachia uwanja ajimwage atakavyo, wakati yeye anadili zaidi na mambo makubwa makubwa. Jiwe bwana, hadi madarasa na vyoo alikuwa anataka azindue yeye, alikuwa anafuatilia hadi nani kamtongoza nani kwenye ofisi mbalimbali, very stupid president
 
Huyu naye anatafuta kumfuata mwendazake, Ndugai anachezea pesa za umma kwa wabunge fake na kutwa yupo naye lakini yupo kimya.
Babati, ofisi ya bunge haiwezi kuingiliwa na Majaliwa ndg yangu
 
Baeleze ukweli mama!
 
Hivi JPM alikutenda nini? Kila siku ni kumpalamikia kama msimbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…