nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Kuna k.u.m.a bado zinamlaumu JPM hadi kwenye hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu kuamini kwanini mtu anaweza kumuona Mwigulu anafaa akakosa mtu mwingine anayefaa.Hivi Mwigulu Nchemba anaweza kazi gani zaidi ya porojo za siasa? Huyu jamaa hakuna wizara anaweza kufit
Kweli hii issue inafanyika Mwigulu yupo Sheria kwa maana Waziri na Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wa mawaziri na makatibu wa mkuu ndio wanaweza kutoa maelezo ya kina tauche siasa za chukiWaziri Mkuu ameshalishughulikia kwa kuona TATIZO LILIKO...
PM hakusita kuiagiza TAKUKURU ifanyie kazi jambo hilo....
Leo kumtuhumu WAZIRI ambaye hata ROBO MWAKA hana ni KUMUONEA TU .....
NI KUMUONEA TU....
NI SIASA KOKO TU ....
#KaziIendelee
👍Kweli hii issue inafanyika Mwigulu yupo Sheria kwa maana Waziri na Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wa mawaziri na makatibu wa mkuu ndio wanaweza kutoa maelezo ya kina tauche siasa za chuki
Kwa maelezo ya Waziri Mkuu haya matukio yametokea machi na aprili sasa kipindi hicho nani alikuwa Waziri fedha na Katibu Mkuu
castration mkuu Duh..u r going too Far.Hawa wangekatwa pumbu tu, wasichekewe hata kidogo.
Mkuu kwenye nyumba za IBADA nako siku hizi kunatisha.Khaaaa....🤣🤣
Maneno yanakutoka tu.....
Ingekuwa kuachia NGAZI ni jambo rahisi kihivyo basi hakuna KIONGOZI NA BOSI yeyote angesalia UONGOZINI kila "rafu" zinapochezwa CHINI YAKE....kwani ni NYINGI....ziko hadi katika MAKUSANYO YA NYUMBA ZA IBADA......
#KaziIendelee
Ndio maana alikuwa anajichotea anapotaka, anavyotaka na mkawa mnashangilia na kutetea mpaka makoo yanawauma. Rejea 1.5 tril, 2.4 tril na utitiri wa mabulungutu ya kununulia mvuto.JPM alikua kiboko.. yeye ndio alikua sheria.
Hapo kwa Mwigulu rais alichemka. Ni mwizi mzoefu anaenda kuongeza mabasi yake ya estherWasalaam wanajamii forum!
Kwanza kabisa naomba nitoe masikitiko yangu makubwa sana kuhusu upigwaji holela wa pesa za umma kienyeji kiasi hiki. Huu ni sawa na uuaji kabisa usiovumilika hata kidogo. Ninampa pole sana Mama yangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Nitashangaa sana kuona Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba mpaka muda huu yupo kazini wakati wizara yake imechafuka kiasi hiki. Yaani mpaka Waziri mkuu anagundua uchafu huu waziri ulikua umelala wapi? Haiwezekani waziri upo pesa za walipa kodi zinaliwa kiasi hicho na wewe upo huenda unajua au hujui kabisa kinachoendelea, maana yake wewe hujui upo ofisini unafanya nini, yaani upo sawa na wabunge wasiokua na vyeo.
Toka awali tulisema kabisa kua Dkt Mwigulu si mtendaji ni mwanasiasa wa kelele za majukwaani, huwezi kupewa wizara nyeti kama hii Madudu yote yanatokea mikononi mwako mchana kweupe wewe upo usingizi wa pono. Kama mwananchi mwenye haki ya kutoa maoni na kuhoji, nakuomba ujiuzulu mapema tu kulinda heshima yako, walishe watu wenye weledi wafanye kazi zao.
Chande chonde Mhe Rais tumbua huyu mtu au hamisha mpeleke mazingira kule, tuletee waziri smart atakayeweza kufuatilia yote yansyotendeka ndani ya wizara. Tuna vijana watendaji na waaminifu wasioweza kutafuna pesa ya mtu wape kazi Mama achana na Mwanasiasa huyu atakupotezea malengo yako. Ningeomba ikiwezekana kabisa Mteuea hata Prof Assad CAG Mstaafu mpe ubunge wa kuteuliwa katika nafasi 2 za Rais zilizobakua kisha mpe kazi ya kusimamia Wizara hii. Ikishindikana Mhamishie Waziri Ummy Mwalimu kwenye wizara yako, huyu ni kiboko ya mafisadi.
Mwigulu anawaza Urais 2021 angebakia kua mbunge wa kawaida tu ili afanye maandalizi yake vizuri, kazi za serikali hataweza. Mama usipoteze muda katika hili fanyika kazi kwa haraka, taifa linahitaji pesa sana kwa sasa halafu zinachezewa.
Nimemaliza, sina chuki binafsi na ndugu Mwigulu Nchemba na ni rafiki yangu wa karibu lakini Maslahi ya taifa ndio kubwa kuliko ukaribu wangu na Waziri.
WAZIRI ANAFANYA NINI? HAPO JE HAFAHAMU HILI? MWIGULI BROTHER PLS "RESIGN SOFLY" AND NO WAY OUT PLEASE PLEASE PLEASE.Very smart prime minister.
Ila kuwa Makini mzee maana imani ya Watanzania imeelekezwa zaidi kwako sasa,Japo Kundi la mafisadi,watumishi wazembe na wezi wa mali za umma bado linakuona wewe ni kikwazo kwao
Ndio lazima biashara iendeleeeEasther coach wameagiza Yutong F12 5 mpya toka china mwezi huu.[emoji1]
Ngoja tuone!
Naona Kakoko bado yuko pending!