Kwaiyo wewe unatakaje?unataka Rais anayefatilia watendaji wake au huyu tuliyenaye anayeshinda kwenye kioo anajipodoa utafikiri anatafuta mchumba,hapa atuna Rais tuna picha ya Rais tu,juzi tu tuliona Waziri mkuu anafukua madudu hapo UDAT mpaka akasimamisha watendaji wake,akabaki Mkurugenzi ambaye waziri mkuu,akuwa na uweza naye wa kutengua, akasema anampereka kwa Rais maana yeye ndiye alikuwa na mamlaka naye, mpaka sasahivi hatuoni chochote,yule Mkurugenzi bado yupo pale pamoja na madudu yote yale.Hapa atuna Rais tuna rais wa kutafuta wawekaji tu.