FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Naona umekwepa swali umerukia kina Mkapa na Kikwete na wengine, rudia:KIKWETE pamoja na udhaifu wa Sirikali yake alitoka kufafanua mambo yaliyoleta taharuki ktk JAMII,
Magufuli pia alijaribu Kutoa ufafanuzi,
Mkapa ndo usiseme, Kila mwisho wa Mwezi alihutubia Taifa,
Suala la Bandari pamoja na kelele na sintofahamu iliyopo, kwanini Sa100 amekaa kimya?
Atoke kufafanua, maana kwenye Mnara Ule Dubei tuliona picha yake alipokwenda huko.
Ni BUSARA kunyamaza, lakini katika Issue ya bandari, atoke aitishe PRESS ahojiwe tumsikie.
Huyo nwengine aliyesaini mikataba 19 mimi simfahamu wala hiyo mikataba mingine siifaham. Inahusu nini?
Unayo, uiweke hapa tuijadili?