FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Upo kwenye hirizi Tanga?Unauliza hirizi Tanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo kwenye hirizi Tanga?Unauliza hirizi Tanga?
Unauliza au unapigia jibu mstari?Upo kwenye hirizi Tanga?
Yes, na kurudia kuusoma tena 2×, jumla mara 3.Umedanganywa na ukadanganyika.
Umeusoma mkataba?
Hii dhana ya "kusaidia" , "kutetea" inazidi kuota mizizi katika utendaji wa kiserikali. Watu wafanye majukumu yao.Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Mkataba liousoma ni wa ni IGA? Au?Yes, na kurudia kuusoma tena 2×, jumla mara 3.
Siamini kabisa ndugu zetu wanaweza kutuuza kwa waarabu bila hata huruma. Huko tunakoenda lazima tutoane ngeu tu, na kesi za uhaini juu!
Kwenye hii mikataba ya bandari unataka tujibu nini sasa au unataka wana ccm tucheze ngoma tusioijua?Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Hii dhana ya "kusaidia" , "kutetea" inazidi kuota mizizi katika utendaji wa kiserikali. Watu wafanye majukumu yao.
Maana hata mtu akiteuliwa utasikia "naenda kimsaidia rais!". Huendi kumsaidia rais, unaenda kutekeleza majukumu yako ya kichama au kiserikali kuendana na job description yako. Sio "msaada"
Na fedha zinapotumwa kwa miradi mbali mbali ya maendeleo sio "msaada" unaotolewa na rais unaohitaji shukrani. Bali ni serikali inatekeleza majukumu yake ya kikatiba....
Mkataba ni wa Samia na Makame hao wengine wanaogopa kupoteza nafasi zao, ila wangekuwa wazalendo wangebwaga manyanga ili kielewekeWateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Mkuu umeua,wasimwingilie Mama kwani Mjomba nae ni Mama![emoji1787][emoji1787]Yaani unataka waingilie makubaliano ya mtu na wajomba zake?
Uwe unafikiri sawasawa.
Kama DP world Kweli Ina manufaa, kwann asiwapeleke Zanzibar?
Hilo ni lake, alinywe mwenyewe.
Kwanini Mbarawa anadanganya taifa?Hoja ya nani waijibu? Sijaona hoja ambayo haijajibiwa na Mbarawa.
Wengi walikuwa ni wanufaika (crooks)
Nje ya Muungano hakuna Zanzibar,kuna Pemba na Unguja ila Tanganyika itasimama daima!Naona huna ulijuwalo.
Kuna Tanzania bila Zanzibar?
Hivi Tanganyika iko wapi?
Kwenye hii mikataba ya bandari unataka tujibu nini sasa au unataka wana ccm tucheze ngoma tusioijua?
Suala la bandari limeisha na watu wako busy kwenye utekelezaji tu.Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
La bandari lishaisha hiloYaani unataka waingilie makubaliano ya mtu na wajomba zake?
Uwe unafikiri sawasawa.
Kama DP world Kweli Ina manufaa, kwann asiwapeleke Zanzibar?
Hilo ni lake, alinywe mwenyewe.
Tulikubalia tusimshike kipofu mkono kutupige dili ndogo ndogo ambazo ni ngumu kutstukia sio hizi ndefu hadi zimebumbuluka tuongee ninimwanzo mlipiga mapambio mama anafungua nchi,vipi kwa sasa mmekua Sukuma gang mnamkwamisha Rais,au mmegundua kuna pumba na mchele mnaamua kumkataa mama?
haaa,dah,,,!mama katoa boko sio😅😂Tulikubalia tusimshike kipofu mkono kutupige dili ndogo ndogo ambazo ni ngumu kutstukia sio hizi ndefu hadi zimebumbuluka tuongee nini
kweli kabisa hili lishapita,kama ingekua ni uongo press ya Dr.Slaa kwa ninavyowajua CCM na serikali yake wasingeacha kumjibu,ila kwasababu ni kweli wameuchuna kimyaa!Suala la bandari limeisha na watu wako busy kwenye utekelezaji tu.
Sasa hayo ya sijui nani asaidie kujibu sioni kama yatasaidia kubadili chochote!
Na hili litapita tu....