Wateule wa Rais mbona hamumsaidii kujibu hoja za Mkataba wa Bandari!

Wateule wa Rais mbona hamumsaidii kujibu hoja za Mkataba wa Bandari!

Umedanganywa na ukadanganyika.

Umeusoma mkataba?
Yes, na kurudia kuusoma tena 2×, jumla mara 3.
Siamini kabisa ndugu zetu wanaweza kutuuza kwa waarabu bila hata huruma. Huko tunakoenda lazima tutoane ngeu tu, na kesi za uhaini juu!
 
Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!

Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.

Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?

Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!

Hii dhana ya "kusaidia" , "kutetea" inazidi kuota mizizi katika utendaji wa kiserikali. Watu wafanye majukumu yao.

Maana hata mtu akiteuliwa utasikia "naenda kimsaidia rais!". Huendi kumsaidia rais, unaenda kutekeleza majukumu yako ya kichama au kiserikali kuendana na job description yako. Sio "msaada"

Na fedha zinapotumwa kwa miradi mbali mbali ya maendeleo sio "msaada" unaotolewa na rais unaohitaji shukrani. Bali ni serikali inatekeleza majukumu yake ya kikatiba....
 
Yes, na kurudia kuusoma tena 2×, jumla mara 3.
Siamini kabisa ndugu zetu wanaweza kutuuza kwa waarabu bila hata huruma. Huko tunakoenda lazima tutoane ngeu tu, na kesi za uhaini juu!
Mkataba liousoma ni wa ni IGA? Au?
 
Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!

Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.

Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?

Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!

Kwenye hii mikataba ya bandari unataka tujibu nini sasa au unataka wana ccm tucheze ngoma tusioijua?
 
Hii dhana ya "kusaidia" , "kutetea" inazidi kuota mizizi katika utendaji wa kiserikali. Watu wafanye majukumu yao.

Maana hata mtu akiteuliwa utasikia "naenda kimsaidia rais!". Huendi kumsaidia rais, unaenda kutekeleza majukumu yako ya kichama au kiserikali kuendana na job description yako. Sio "msaada"

Na fedha zinapotumwa kwa miradi mbali mbali ya maendeleo sio "msaada" unaotolewa na rais unaohitaji shukrani. Bali ni serikali inatekeleza majukumu yake ya kikatiba....

Wazo lako unalitoa wakati huu,mnaanza kumkataa mama kipindi hiki!
 
Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!

Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.

Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?

Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!

Mkataba ni wa Samia na Makame hao wengine wanaogopa kupoteza nafasi zao, ila wangekuwa wazalendo wangebwaga manyanga ili kieleweke
 
Yaani unataka waingilie makubaliano ya mtu na wajomba zake?

Uwe unafikiri sawasawa.

Kama DP world Kweli Ina manufaa, kwann asiwapeleke Zanzibar?

Hilo ni lake, alinywe mwenyewe.
Mkuu umeua,wasimwingilie Mama kwani Mjomba nae ni Mama![emoji1787][emoji1787]
 
Hoja ya nani waijibu? Sijaona hoja ambayo haijajibiwa na Mbarawa.
Kwanini Mbarawa anadanganya taifa?
20230615_201329.jpg
20230615_201321.jpg
20230615_201246.jpg
 
Wengi walikuwa ni wanufaika (crooks)

Good✔Jibu ni hili 👆

Wanufaika wakubwa wa bandari ni hao viongozi wakubwa wastaafu na waliopo madarakani.

wapo viongozi wengi wana share kwa wafanyabiashara wakubwa na wapo wanaofanya biashara wanao import & export kupitia bandari,sasa mirija ya upigaji iaenda kufyekelewa mbali.
 
Kwenye hii mikataba ya bandari unataka tujibu nini sasa au unataka wana ccm tucheze ngoma tusioijua?

mwanzo mlipiga mapambio mama anafungua nchi,vipi kwa sasa mmekua Sukuma gang mnamkwamisha Rais,au mmegundua kuna pumba na mchele mnaamua kumkataa mama?
 
Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!

Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.

Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?

Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!

Suala la bandari limeisha na watu wako busy kwenye utekelezaji tu.
Sasa hayo ya sijui nani asaidie kujibu sioni kama yatasaidia kubadili chochote!
Na hili litapita tu....
 
Yaani unataka waingilie makubaliano ya mtu na wajomba zake?

Uwe unafikiri sawasawa.

Kama DP world Kweli Ina manufaa, kwann asiwapeleke Zanzibar?

Hilo ni lake, alinywe mwenyewe.
La bandari lishaisha hilo
 
Suala la bandari limeisha na watu wako busy kwenye utekelezaji tu.
Sasa hayo ya sijui nani asaidie kujibu sioni kama yatasaidia kubadili chochote!
Na hili litapita tu....
kweli kabisa hili lishapita,kama ingekua ni uongo press ya Dr.Slaa kwa ninavyowajua CCM na serikali yake wasingeacha kumjibu,ila kwasababu ni kweli wameuchuna kimyaa!
 
Back
Top Bottom