Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wanaokataa ndio wangeanza kuchunguzwa mali zao, majizi hayoGood[emoji818]Jibu ni hili [emoji115]
Wanufaika wakubwa wa bandari ni hao viongozi wakubwa wastaafu na waliopo madarakani.
wapo viongozi wengi wana share kwa wafanyabiashara wakubwa na wapo wanaofanya biashara wanao import & export kupitia bandari,sasa mirija ya upigaji iaenda kufyekelewa mbali.
Daah🤣🤣🤣 kweli pesa mwana kharam!! Sio kwa povu hilo 🤣🤣Unaboa kuuliza maswali ya kipuuzi aisee acha upumbafu!
Pambana nae huyo mpotoshaji anataka kutupotezea ugali wetu!!Lipi na makaratasi yepi waliyosaini? Yanhusiana na nini?
Kwa nini hakuna ukomo wa mkataba kama ilivyokuwa wakati wa TICKS?Hoja ya nani waijibu? Sijaona hoja ambayo haijajibiwa na Mbarawa.
Mkataba unaoungolea wewe siyo wa utendaji, ni wa maridhiano ya mashirikiano baina ya serikali na serikali (IGA).Kwa nini hakuna ukomo wa mkataba kama ilivyokuwa wakati wa TICKS?
Hii tabia haikuanza kwa mama ilianza kwa mwendazake. Mambo ya "kumsaidia rais", wakati wote wanafanya kazi zao kwa fedha za serikali. Na miradi sio misaada ni majukumu ya serikali!Wazo lako unalitoa wakati huu,mnaanza kumkataa mama kipindi hiki!
Unaruka ruka Faidha.Mkataba unaoungolea wewe siyo wa utendaji, ni wa maridhiano ya mashirikiano baina ya serikali na serikali (IGA).
Kama unao mkataba wa utendaji baina ya TPA na DP World uweke tuuone.
Mama anaupiga Kimataifa.
Sasa mbona umepanic [emoji23][emoji23][emoji23]Pimbi wewe kuna swali au hoja gani haijajibiwa na kuwekwa sawa! Au ujitaka kujibeba ufala!
Sijamsikia hayo usemayo kama unayo link iweke niisikilize, baada ya yale aliyoongea bungeni ndani,. Nmemsikia akiongea na waandishi wa habari 👇🏾Unaruka ruka Faidha.
Profesa Mbarawa kasema mkataba utaisha baada ya mida kuisha. Ni nini maana ya muda kuisha?? 🙄
Pili kuna vifungu vinatubana hatuwezi uvunja mkataba ata kama kuna ukiukwaji wa mkataba
Tulishamuambia kuwa teuzi za dokezo zina gharama yakeWateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Majibu ya vijiwe vya kahawapolisi
Chukua mkataba na appendix zake zote halafu tuonyeshe bandari ya Zanzibar iliyoingizwa kwenye haya makubaliano.Naona huna ulijuwalo.
Kuna Tanzania bila Zanzibar?
Hivi Tanganyika iko wapi?
Kutetea hujuma ni kazi ngumu sana. Labda uwe na akili ndogo kama Musukuma au Kibajaji, utaweza maana wao hawana tafakuri ya mbeleni.Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Nenda kazijibu HOJA za Dr Slaa, Pengo, Lissu nk nk.
Kwako upuuzi Ule wa Musukuma ndo HOJA zimejibiwa vile?
Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Mkataba ukajadiliwe bungeni, kwa hiyo siku hizi mikataba sio siri tena?! Jiridhishe ni nini kilijadiliwa bungeni. Ila sio mkataba. Jitahidi kupunguza upotoshaji usio na tija.Mkataba umejadiliws bungeni na upo hata hapa JF siri gani mkataba wa mashirikiano ya nchi kwa nchi?
Kwani hujamsikia RC Makalla?Wateule wa Rais Katibu Mkuu, Katibu Mwenezi, Makamu Mwenyekiti Taifa, Wenyeviti na Makatibu wa CCM Mikoa, UVCCM, UWT na Mawaziri, siwaoni wakimsaidia Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wa Chama Taifa kujibu hoja za uwekezaji wa bandari!
Kwenye maamuzi ya Rais Samia siku za nyuma waliitisha press, makongamano na maandamano ya kumuunga mkono.
Mfano mmoja wapo ni suala la pesa za mikopo, Mama Samia alitetetewa na ngazi zote za chama na serikali ndani na nje ya Bunge, kwenye swala la mikataba ya bandari siwaoni, wamepatwa na nini?
Wajitokeze wawe wawazi wanapinga au wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sambamba na kujibu hoja zote za kupotosha na za kweli kuhusu mikataba ya bandari!
Kila waziri anaongea yake kuhusu Bandari, Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense! Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA...www.jamiiforums.com
Inasikitisha...Kwanini Mbarawa anadanganya taifa?View attachment 2659357View attachment 2659358View attachment 2659359
Nashukuru hujatuingiza kwenye siasa zenu sisi wangujaHii hii post ya kuuliz tu inakuaje mzee, atakuja sufian, sababu ashawah kuliwa KINYUME NA MAZINGIRA basi atasema kitu WANAUME WOTE HAWAJAWAH SEMA... ALOOO ACHA KABISAAAAA... WAPEMBA WAPO 2M, SISI TUPO 60M, TUNATAKIWA TUJITAFAKARI