Wateule wa Rais mbona hamumsaidii kujibu hoja za Mkataba wa Bandari!

Naona umekwepa swali umerukia kina Mkapa na Kikwete na wengine, rudia:

Huyo nwengine aliyesaini mikataba 19 mimi simfahamu wala hiyo mikataba mingine siifaham. Inahusu nini?

Unayo, uiweke hapa tuijadili?
 
Hilo ni dili la Rais Samia na Mbarawa, ndiyo wamesaini makaratasi; wamelikoroga, walinywe.
Hao wengine mnataka kuwafanya wanyamwezi tu kwa kuwabebesha mizigo mizito isiyokuwa yao.
Kwa "dili" unamaanisha nini? Umeusoma mkataba waliousaini? Au unahororoja tu bila mpango?
 
Naona umekwepa swali umerukia kina Mkapa na Kikwete na wengine, rudia:

Huyo nwengine aliyesaini mikataba 19 mimi simfahamu wala hiyo mikataba mingine siifaham. Inahusu nini?

Unayo, uiweke hapa tuijadili?
Mimi Sina, kama unaweza kuvujisha kama huu wa Bandari tumegee bi Faiza Fox.

Atoke kufafanua, Nchi inahitaji kujua nini kilitokea.
 
Hoja ya nani waijibu? Sijaona hoja ambayo haijajibiwa na Mbarawa.
Mbarawa katoa majibu na sio majawabu. Kwa ufupi hakuna mwananchi anaelewa mnaongea nini. Nyie majizi mnaofaidika na huo wizi, ndio mnaelewa mnaongea nini.
 
Mkataba ni siri ausome vipi? Tunachojua wazanzibari mmeamua kuuza mali ya wajinga wa Tanganyika.
Mkataba umejadiliws bungeni na upo hata hapa JF siri gani mkataba wa mashirikiano ya nchi kwa nchi?
 
Mkataba umejadiliws bungeni na upo hata hapa JF siri gani mkataba wa mashirikiano ya nchi kwa nchi?
Ule sio mkataba bali ni makubaliano ya ushirikiano. Mikataba nchi hii ni siri.
 
Naona huna ulijuwalo.

Kuna Tanzania bila Zanzibar?

Hivi Tanganyika iko wapi?
Ccm ndio hamuijui Tanganyika. Tanzania ndio inalazimisha kujivika koti la Tanganyika.
 
Mbarawa katoa majibu na sio majawabu. Kwa ufupi hakuna mwananchi anaelewa mnaongea nini. Nyie majizi mnaofaidika na huo wizi, ndio mnaelewa mnaongea nini.
Kashtski basi polisi. Au hujuwi kuwa "majizi" yanashtakiwa polisi?


Tunafahamu kwanini roho zinawauma.


Mtakufa navyo vijiba vya roho.
 
Naona huna ulijuwalo.

Kuna Tanzania bila Zanzibar?

Hivi Tanganyika iko wapi?
Ukitaka kujua Tanganyika ipo, toka huku Tanganyika nenda Zanzibar kagombee uongozi, ukikubaliwa uje utoe mrejesho hapa jf.
 
Kashtski basi polisi. Au hujuwi kuwa "majizi" yanashtakiwa polisi?


Tunafahamu kwanini roho zinawauma.


Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Nikashitaki Polisi ipi, hii hii inayolinda majizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…