Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Umeshajiuliza waliowahi kupata viwanja kariakoo Sasa Wanaishi kama wafalme, mnaziona zile slums ambazo zipo Buguruni, Manzese zote ni hela ndefu jaribu kumuamisha mtu uone bei utakayo pewa.
Jiji la Dar es Salaam kama vile limeshajaa tu, Ukiwa na kipato kidogo jiandae kujenga kibaha kwa Mathias, au Kigamboni mbali mbali siijui hata panaitwaje, Kuna rafiki yangu machinga kajenga zake Mkuranga Lakini anafanya shughuli zake Dar, wengine Kariakoo but wanakaa Bagamoyo huko, kupata eneo mjini imekuwa shughuli sio kidogo but Ukiwa na pesa unaweza kujenga popote tu na kumuamisha mtu yoyote.
Ukienda Mwanza napo Kama unafanya kazi town na huna hela unabangaiza bangaiza kupata kiwanja labda uende sehemu wanapaita ilalila au kahama ndani ndani kabisa, nyanshishi au usagara huko, Nyasaka, buhongwa kayenze ambayo mara ya kwanza nilipoingia Mwanza yalikua ni mapori Lakini sasahivi kiwanja kidogo nimeambiwa Million 20 nikatoka nduki.
Kizazi kijacho nadhani wataanza kujenga misungwi huko, wenye pesa wawekeze kwenye real estate, nadhani ni biashara ambayo inakua thamani Kila siku, Kuna maeneo watu wanauza kama mashamba huko ndio pakununua kwa ajili ya baadae.
Jiji la Dar es Salaam kama vile limeshajaa tu, Ukiwa na kipato kidogo jiandae kujenga kibaha kwa Mathias, au Kigamboni mbali mbali siijui hata panaitwaje, Kuna rafiki yangu machinga kajenga zake Mkuranga Lakini anafanya shughuli zake Dar, wengine Kariakoo but wanakaa Bagamoyo huko, kupata eneo mjini imekuwa shughuli sio kidogo but Ukiwa na pesa unaweza kujenga popote tu na kumuamisha mtu yoyote.
Ukienda Mwanza napo Kama unafanya kazi town na huna hela unabangaiza bangaiza kupata kiwanja labda uende sehemu wanapaita ilalila au kahama ndani ndani kabisa, nyanshishi au usagara huko, Nyasaka, buhongwa kayenze ambayo mara ya kwanza nilipoingia Mwanza yalikua ni mapori Lakini sasahivi kiwanja kidogo nimeambiwa Million 20 nikatoka nduki.
Kizazi kijacho nadhani wataanza kujenga misungwi huko, wenye pesa wawekeze kwenye real estate, nadhani ni biashara ambayo inakua thamani Kila siku, Kuna maeneo watu wanauza kama mashamba huko ndio pakununua kwa ajili ya baadae.