Haya yana mwishoMungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Kama Mungu yupo thibitisha uwepo wake na si imani za kufikirika tu.
Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Anyway tujikite kwenye mada.
Mwisho wa kila kiumbe hapa duniani ni kifo chake yeye binafsi.Haya yana mwisho
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.
Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.
Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.
Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.
Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.
Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutekeleza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.
Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.
Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.
Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.
Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.
Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.
Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.
Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.
This world [emoji288] is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.
In the jungle of life salvation is largely on your hands.
Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.
I'm out.
Hata kuku 🐔 ni kiumbe hai na akisha totoa vifaranga vyake huakikisha anavitunza na kuvihangaikia kuvihudumia.Mojawapo ya sifa ya kiumbe hai ni kuzaa. Kuzaa haingalii hali ya maisha ikoje
Shida sio kuzaa bali namna ya kuzaa, hata wanyama mwituni hawazai kwenye ukameMojawapo ya sifa ya kiumbe hai ni kuzaa. Kuzaa haingalii hali ya maisha ikoje
Au sio!?Bora wanazaa watoto wachache, wangekuwa wanafyatua watoto wengi halafu wakawa na tabia hizo sijui ingekuwaje
Watanzania mmesharidhika na umaskini wenu na hali zenu za ufukara ndio maana hamjihangaishi kuwafurusha hao watawala wenu.Kuna watoto wa matajiri pale Bungeni wanatuibia kila leo. Kuna watoto wa matajiri wanatumia pesa zao kuteka wengine serikalini.
Maisha si fumbo.Maisha ni Fumbo.
Hata hicho unachokiongea ni Imani, kwasababu hujawahi kuona makaburi ya miaka ambayo ungehisi ni miaka ya mwanzo kabisa au kulikuwa na miaka mingine kabla ya hiyo, na ushahidi wake ni upi? Bado ni Imani hata historia za kawaida ambazo zina wafuasi Kama wewe nazo zinaelezea uwepo wa binadamu wa kwanza, je binadamu wa kwanza alizaliwa na nani?Mwisho wa kila kiumbe hapa duniani ni kifo chake yeye binafsi.
Dunia haina mwisho. Umezaliwa umeikuta, Utakufa utaiacha.
Ukifa, wengine wanazaliwa na wataendelea kuzaliwa na dunia itaendelea ku exist as normal.
Kama kuna watoto wa matajiri, Baba zao walipambana wakawa matajiri.
Kwahiyo unafikri hao matajiri walipanga wazae wezi ama watekaji?Maisha ni mikakati na mipango madhubuti.
Hatuwezi kuwa matajiri wote, maisha yatakosa maana kama umaskini utaondoka. Asipokuwepo wa kufa, uzima unakuwa hauna maana tenaWewe nenda kamuulize baba yako, Kwa nini alishindwa kuwa tajiri?
tukiishi kwa mtazamo huu wa kutokuzaa kutokana na hali mbaya ya uchumi wa familia kuna hatari ya kupata idadi ndogo ya watu. Masuala ya kujamiana itakuwa hakuna. Matajiri tu ndio watakuwa wanajamiana tu kwa kuwa wana uhakika wa kutunza watoto. Acheni asili ichukue mkondo wake kila kiumbe hai huzaaShida sio kuzaa bali namna ya kuzaa, hata wanyama mwituni hawazai kwenye ukame
FactAu sio!?
Km Hitler, ukute kazaliwa wa pekee na wazazi wenye uwezo lkn mambo alokuja kuyafanya hakuwa ht na faida ya kuzaliwa. Kuna disadvantages zake pia kulelewa bila kufunzwa maadili ya maisha
a yake wako kumi kila mtu na mama yake huku kwengine Kwa mama watoto tisa kila mtu na baba yake akiicheki kushoto kwa baba hali Tete Kwa mama ndio ovyo yaan inabidi awe kahaba tu ili ajikwamue kiuchumiMakahaba woote almost wote wametoka kwenye familia zilizochoka hasa kwa kuzaana kama panya huku uwezo wa uchumi kidogo
Don't come to vomit your nonsense here. You fool.Hizi mada zingine bhana unakaa umeshiba makande huko unakuja Jf na ushuzi wa makande yako
Maisha yamebadilika kuzaa watoto wengi ilikuwa zamani enzi za mababu zetu ila sasaivi imepungua niulize kwanni china wametoka kutoka watoto wawilii kwa mmoja? Becaue the country can not provide everything for those kidstukiishi kwa mtazamo huu wa kutokuzaa kutokana na hali mbaya ya uchumi wa familia kuna hatari ya kupata idadi ndogo ya watu. Masuala ya kujamiana itakuwa hakuna. Matajiri tu ndio watakuwa wanajamiana tu kwa kuwa wana uhakika wa kutunza watoto. Acheni asili ichukue mkondo wake kila kiumbe hai huzaa
Kuna sehemu nimetaja matajiri walipanga wazae wezi ama watekaji?Kwahiyo unafikri hao matajiri walipanga wazae wezi ama watekaji?
Wewe ni Tabularasa.Kama huna la maana basi ficha hata ujinga ulionao.
Una fikra za kimaskini, kikapuku na kifukara.Hatuwezi kuwa matajiri wote, maisha yatakosa maana kama umaskini utaondoka. Asipokuwepo wa kufa, uzima unakuwa hauna maana tena.
What if, wazazi wako wasingekuleta duniani kwa kumfikiria dhana hiyo na ikizingatiwa wewe si mtoto wa kwanza, usiogope majukumu we fyatua tu maana Mungu na shetani wanatupia jicho hapo hapo.