Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kama Mungu yupo thibitisha uwepo wake na si imani za kufikirika tu.

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Anyway tujikite kwenye mada.
Haya yana mwisho
 
Haya yana mwisho
Mwisho wa kila kiumbe hapa duniani ni kifo chake yeye binafsi.

Dunia haina mwisho. Umezaliwa umeikuta, Utakufa utaiacha.

Ukifa, wengine wanazaliwa na wataendelea kuzaliwa na dunia itaendelea ku exist as normal.
 
Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.

Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.

Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.

Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.

Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.

Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutekeleza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.

Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.

Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.

Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.

Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.

Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.

This world [emoji288] is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.

I'm out.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mojawapo ya sifa ya kiumbe hai ni kuzaa. Kuzaa haingalii hali ya maisha ikoje
 
Mojawapo ya sifa ya kiumbe hai ni kuzaa. Kuzaa haingalii hali ya maisha ikoje
Hata kuku 🐔 ni kiumbe hai na akisha totoa vifaranga vyake huakikisha anavitunza na kuvihangaikia kuvihudumia.

Hukatazwi kuzaa ila hakikisha ukisha zaa watoto una uwezo wa kuwa hudumia.

Sio kuanza kusumbua watu wakusaidie.
 
Kuna watoto wa matajiri pale Bungeni wanatuibia kila leo. Kuna watoto wa matajiri wanatumia pesa zao kuteka wengine serikalini.

Maisha ni Fumbo.
 
Bora wanazaa watoto wachache, wangekuwa wanafyatua watoto wengi halafu wakawa na tabia hizo sijui ingekuwaje
Au sio!?
Km Hitler, ukute kazaliwa wa pekee na wazazi wenye uwezo lkn mambo alokuja kuyafanya hakuwa ht na faida ya kuzaliwa. Kuna disadvantages zake pia kulelewa bila kufunzwa maadili ya maisha
 
Kuna watoto wa matajiri pale Bungeni wanatuibia kila leo. Kuna watoto wa matajiri wanatumia pesa zao kuteka wengine serikalini.
Watanzania mmesharidhika na umaskini wenu na hali zenu za ufukara ndio maana hamjihangaishi kuwafurusha hao watawala wenu.

Na kwa hali yao mtaendelea kuteseka ninyi na vizazi vyenu.

Kama kuna watoto wa matajiri, Baba zao walipambana wakawa matajiri.

Wewe nenda kamuulize baba yako, Kwa nini alishindwa kuwa tajiri?
Maisha ni Fumbo.
Maisha si fumbo.

Maisha ni mikakati na mipango madhubuti.
 
Hizi mada zingine bhana unakaa umeshiba makande huko unakuja Jf na ushuzi wa makande yako
 
Mwisho wa kila kiumbe hapa duniani ni kifo chake yeye binafsi.

Dunia haina mwisho. Umezaliwa umeikuta, Utakufa utaiacha.

Ukifa, wengine wanazaliwa na wataendelea kuzaliwa na dunia itaendelea ku exist as normal.
Hata hicho unachokiongea ni Imani, kwasababu hujawahi kuona makaburi ya miaka ambayo ungehisi ni miaka ya mwanzo kabisa au kulikuwa na miaka mingine kabla ya hiyo, na ushahidi wake ni upi? Bado ni Imani hata historia za kawaida ambazo zina wafuasi Kama wewe nazo zinaelezea uwepo wa binadamu wa kwanza, je binadamu wa kwanza alizaliwa na nani?

Au tuassume binadamu wa kwanza aliota Kama mtu, je huo mtu ulitransform vip kuwa human reproductive characteristics, hakuna ushahidi kuhusu uwepo endelevu wa maisha ya Duniani, bado ni theory, Hata waliopima fuvu la binadamu wa kwanza bado hawana ushahidi wa kutosha kwamba alikuwa ni binadamu wa kwanza Ila kwasababu lile fuvu lilikuwa na miaka mingi kuliko masalia mengine bado ni theory na assumption tu hakuna ushahidi.

Human, emerge, exist, perish bado inasimama kwenye Imani Kama ya kwako, Wala nawewe huna ushahidi kwamba hakuna MUNGU.

Kama unataka ushahidi wa uwepo wa MUNGU tafuta ushahidi wa uwepo wa fuvu la miaka trillion 1000 iliyopita, usipopata type ushahidi utakaoturidhirisha kwamba MUNGU hayupo, ukishindwa bado nawewe ni walewale tu😂

Kama unaamini ukishakufa na habari yako inakuwa imeishia hapo, Basi upo sahihi kwasababu huo ndo ushahidi wa Imani uliyonanyo Sasa hivi.
 
Kama kuna watoto wa matajiri, Baba zao walipambana wakawa matajiri.
Maisha ni mikakati na mipango madhubuti.
Kwahiyo unafikri hao matajiri walipanga wazae wezi ama watekaji?
Kama huna la maana basi ficha hata ujinga ulionao.
Wewe nenda kamuulize baba yako, Kwa nini alishindwa kuwa tajiri?
Hatuwezi kuwa matajiri wote, maisha yatakosa maana kama umaskini utaondoka. Asipokuwepo wa kufa, uzima unakuwa hauna maana tena
 
Shida sio kuzaa bali namna ya kuzaa, hata wanyama mwituni hawazai kwenye ukame
tukiishi kwa mtazamo huu wa kutokuzaa kutokana na hali mbaya ya uchumi wa familia kuna hatari ya kupata idadi ndogo ya watu. Masuala ya kujamiana itakuwa hakuna. Matajiri tu ndio watakuwa wanajamiana tu kwa kuwa wana uhakika wa kutunza watoto. Acheni asili ichukue mkondo wake kila kiumbe hai huzaa
 
Unakuta mtu kwa bab
Makahaba woote almost wote wametoka kwenye familia zilizochoka hasa kwa kuzaana kama panya huku uwezo wa uchumi kidogo
a yake wako kumi kila mtu na mama yake huku kwengine Kwa mama watoto tisa kila mtu na baba yake akiicheki kushoto kwa baba hali Tete Kwa mama ndio ovyo yaan inabidi awe kahaba tu ili ajikwamue kiuchumi
 
tukiishi kwa mtazamo huu wa kutokuzaa kutokana na hali mbaya ya uchumi wa familia kuna hatari ya kupata idadi ndogo ya watu. Masuala ya kujamiana itakuwa hakuna. Matajiri tu ndio watakuwa wanajamiana tu kwa kuwa wana uhakika wa kutunza watoto. Acheni asili ichukue mkondo wake kila kiumbe hai huzaa
Maisha yamebadilika kuzaa watoto wengi ilikuwa zamani enzi za mababu zetu ila sasaivi imepungua niulize kwanni china wametoka kutoka watoto wawilii kwa mmoja? Becaue the country can not provide everything for those kids
 
Kwahiyo unafikri hao matajiri walipanga wazae wezi ama watekaji?
Kuna sehemu nimetaja matajiri walipanga wazae wezi ama watekaji?

Umesoma mada na kuelewa wewe kichwa maji?
Kama huna la maana basi ficha hata ujinga ulionao.
Wewe ni Tabularasa.

Umesoma na kuelewa nilicho andika?
Hatuwezi kuwa matajiri wote, maisha yatakosa maana kama umaskini utaondoka. Asipokuwepo wa kufa, uzima unakuwa hauna maana tena.
Una fikra za kimaskini, kikapuku na kifukara.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
 
Huyu mtoa mada kaongea kisomi zaidi mnajua population diversity ya china??? Kafuatilie wengine SIO wafungwa ila kwao wamejaa inabidi waende maeneo ya nchi nyingine kuwekeza
 
What if, wazazi wako wasingekuleta duniani kwa kumfikiria dhana hiyo na ikizingatiwa wewe si mtoto wa kwanza, usiogope majukumu we fyatua tu maana Mungu na shetani wanatupia jicho hapo hapo.

Kwahiyo asingeletwa duniani angepata hasara gani?
 
Back
Top Bottom